john heche

John Heche is a Tanzanian politician. He serves as a member of the Parliament of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. Tindo

    John Heche anastahili kuwa Mwenyekiti ajaye baada ya Kamanda Mbowe

    Tena hata sasa amechelewa. Yeye ndio alipaswa kuwa mwenyekiti hata sasa, ila Mbowe alilazimisha kuendelea kuwa mwenyekiti.
  2. Nigrastratatract nerve

    Nimemsikiliza kwa umakini Ester Bulaya kisha John Heche, wanasikitisha sana na wanahitaji huruma

    Aliyekuwa Mbunge wa Bunda Mjini kupitia CHADEMA ndugu ESTER BULAYA nilimsikiliza kwa umakini sana wakati akiwahutubia wananchi wake. Alijinasibu kuwa yeye simba jike alijinasibu kuleta maendeleo Bunda mjini ikiwemo maji, madawati, Barabara huku akiiponda serikali ya CCM. Nilijiuliza sana...
  3. Erythrocyte

    John Heche asimamia semina elekezi Karatu, ukumbi wazidiwa na umati

    Huu ni mwaka wa uchaguzi na mnakumbuka kwamba tuliwahi kuonya kwamba kuiteketeza ccm inahitaji siku 7 tu , na hali ndio kama mnayoiona. Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
  4. Sky Eclat

    John Heche amwambia Ndugai kesho anaingia bungeni na hakuna wa kumzuia

    Baadhi ya Wabunge wa Chama Kikuu cha Upinzani (CHADEMA) wamepinga vikali maamuzi ya Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai ya kuwataka Wabunge hao kutorejea bungeni hadi pale watakapopimwa na kuthibitika kuwa hawana Corona. Aidha, inaelezwa kuwa Wabunge hao wa Chadema wamejiweka Karantini ya hiyari kwa...
  5. Mfikirishi

    Tuhamasishane: Hatua hizi zichukuliwe haraka kukabiliana na Covid-19

    Hili ni wazo fikirishi linahitaji tafakuri ya kina zaidi! Siasa na rangi ya vyama vikae pembeni. Kwa inavyoonekana na kama ilivyotabiriwa awali na WHO; hali ya maambukizi na kusambaza kwa ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya SARS-CoV-2 imefikia hatua mbaya sana! Hivi mpaka usikie...
  6. AbdurRahman

    Natafuta kazi nimesomea fani ya umeme

    Habari! Natafuta Ajira nimesomea uhandisi wa Umeme 'MUST', nimemaliza mwaka 2019. kazi yoyote ya Umeme nipo tyr kufanya hata Kama ni wiring n.k,,, Kwasasa napatikana Morogoro 'Msamvu', Nahitaji msaada wenu nipate japo connection niapate kazi ya kusogeza maisha. Simu 0654409392
  7. T

    Tetesi: Sekretariet ya Kamati Kuu CHADEMA kufumuliwa

    Ni taharuki katika viunga vya mitaa ya ufipa, taarifa zisizo rasmi ni kuwa Katibu Mkuu bora zaidi wa Chama Afrika Mh. John John Mnyika anatarajia kufanya mabadiliko makubwa ya think tanks wa chama katika kipindi kisicho zidi wiki moja ijayo. Hii inatokana na msukumo mkubwa uliopo katika kutimiza...
  8. Erythrocyte

    Sirari: MwanaCCM aliyehamia CHADEMA kwenye mkutano wa John Heche akamatwa na Polisi

    Maagizo ya Bashiru Ally yanaendelea kutekelezwa kwa kishindo na dola. Pamoja na huyu wako viongozi wengine 8 waliokamatwa na kunyimwa dhamana kwa sababu zisizoeleweka. Uonevu wa kishamba kama huu utakuja kuleta machafuko yasiyo ya lazima.
  9. Erythrocyte

    John Heche atikisa Sirali

    CCM na vyombo vya dola CHADEMA na Nguvu ya Umma
  10. Tindo

    John Heche mubashara ndani ya star TV

    Karibuni tumsikilize John Heche mubashara ndani ya star Tv.
  11. CalvinKimaro

    Viroja vya CHADEMA havina ukomo

    Awali ya yote niwape pole wale wote watakaofuata agizo la kutoshiriki uchaguzi kwa kutopiga kura. Watakuwa kwa hiyari yao wenyewe wamejinyima haki yao. Hakuna mwingine atakayeumia isipokuwa wao wenyewe na chama chao. Nadhani CHADEMA wanadhani kwa kususa mpango wao wa kuonyesha kuwa TANZANIA...
  12. Petro E. Mselewa

    Si Cecil Mwambe wala John Heche wanaotosha uenyekiti CHADEMA Taifa, Uenyekiti una mambo mengi

    Mwanzo mwanzoni niseme wazi kuwa mimi si na sijawahi kuwa mwanachama wa CHADEMA au chama kingine chochote cha siasa hapa Tanzania au kwingineko duniani. Hilo linatosha kutoa maoni yangu huru kuhusu siasa za nchi yangu kwakuwa nazifuatilia. CHADEMA wanapaswa kufanya uchaguzi mkuu wa kichama...
Back
Top Bottom