john heche

John Heche is a Tanzanian politician. He serves as a member of the Parliament of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania Nakubaliana na John Heche hayati JPM alikuwa serious kudhibiti uzembe na ufisadi. Na ninaongezea asingethubutu kutembea na mtoto kama tunavyoshuhudia

    Naona wanaChadema wameanza kukubaliana na mimi juu namna hayati Magufuli alivyokuwa shujaa na mpambanaji kuzuia uzembe na ufisadi. Kwanza asingeweza kwenda Urusi na na mtoto wake au delegation kubwa namna ile na kuharibu pesa za Watanganyika.
  2. JamiiForums Tanzania John Heche: Magufuli alikuwa bora kusimamia rasilimali na kurekebisha ujinga

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, John Heche, ametoa uchambuzi wake kuhusu jinsi viongozi waliopita walivyoshughulikia rasilimali za nchi. Heche akiwa Kilwa mkoani Lindi, Juni 3, 2026 alikiri kuwa ingawa walikuwa na tofauti kubwa ya kimtazamo kuhusu masuala ya demokrasia na haki za kisiasa...
  3. JamiiForums Tanzania Heche: Sauti ya CHADEMA ikifutwa, watawauzeni, tupeni nchi na nyie mnufaike na keki

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, John Heche, ametoa wito kwa wananchi kuunga mkono chama chake ili kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kijamii nchini. Katika hotuba yake akiwa Lindi Juni 3, 2026, Heche alikosoa vikali usimamizi wa rasilimali za nchi, akibainisha kuwa ingawa Tanzania ina utajiri...
  4. JamiiForums Tanzania Heche: Tutakwenda Kila Wilaya, Wasipotusikiliza Tutaitisha Maandamano nchi nzima hadi mtoto atatoka na tutakiwasha vibaya sana

    Makamu Mwenyekiti wa Chadema amesema watafanya mikutano kila Wilaya nchi nzima na kama serikali isipowasikiliza wataitisha maandamano nchi nzima na watakiwasha sana siku hiyo. Tulisema no reforms na tulisimama hapo na sasa hivi tunawaambia tunataka katiba mpya, tunataka katiba mpya. Tunazunguka...
  5. JamiiForums Tanzania Heche: Kuna mambo mengine Tanzania bora usiyajue maana ukiyajua unaweza kupata ugonjwa wa moyo

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche akizungumza kwenye mkutano wa hadhara huko Kilwa amesema kuna mambo ambayo yanaendelea kwenye nchii hii ya Tanzania ukiyajuwa unaweza kupata ugonjwa wa moyo. Watu wa Kilwa wakati mwingine bora usiyajue mambo ya nchi hii kwa sababu ukijua unaweza kupata...
  6. JamiiForums Tanzania John Heche:Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa inafanya kazi ya kuchochea machafuko

    Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa inafanya kazi ya kuchochea machafuko. Sisty Nyahoza aliekwenda kwa marehemu mama Komu na kumshawishi kusaini karatasi ya kufungua kesi ambayo ilifungia chama chetu kufanya kazi siku 309.. Madhara mengi walitaka kukifuta chama kupitia kesi hiyo ya Said Issa...
  7. JamiiForums Tanzania John Heche: Kesi ya Mgawanyo wa mali za Chama iliratibiwa na Sisty Nyahoza na Salehe Bohora aliyetumwa na Rais Samia

    Kesi ya uongo ya mgogoro fake wa mali, ni kesi ya Msajili wa vyama.. Kesi husika ipo hapa>> Mahakama yafuta kesi ya mgawanyo wa mali CHADEMA Marehemu mama Komu alituelezea namna ambavyo Sisty Nyahoza, Msajili msaidizi akiwa na mtu anaitwa Salehe Bohora, walivyomfuata nyumbani kwake na kuomba...
  8. K

    JamiiForums Tanzania John Heche Anaweza: Kikwazo Chake ni Lissu

    Umofia wakuu... Katika ulimwengu tangu kale,jamii zote hupitia vipindi tofauti mara zote,Msosholojia Auguste Comte aliwahi kuzitaja kuwa ni metaphysical,religious na positive science. Hali hizo pia kwa wataalamu wa siasa na utawala tunakubaliana kuwa chadema imepitia vipindi hivyo tangu...
  9. JamiiForums Tanzania SI KWELI Je, John Heche amesema pesa za tonetone zitajenga nyumba ya Lissu na kuzigawa kwa viongozi?

  10. L

    JamiiForums Tanzania John Heche inatakiwa akamatwe na kuunganishwa kwenye kesi za Lissu kwa kauli zake zilizochochea vurugu za uchaguzi

    Ndugu zangu Watanzania, John Heche Inapaswa kwa sasa asiwepo Mitaani,inapaswa awe ndani ,inapaswa awe kwenye ulinzi mkali wa Magereza ,inapaswa awe kwenye Mfululizo wa mahojiano na kujibu mashitaka ya kauli zake za kuchochea vurugu wakati wa uchaguzi,anapaswa kuunganishwa katika kesi...
  11. U

    JamiiForums Tanzania Dangote aipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji

    #HABARI Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, ameipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji nchini. Katika taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Tanzania baada ya Mfanyabiashara huyo kufanya mazungumzo...
  12. JamiiForums Tanzania John Heche nakusihi itisha maandamano Tanzania na Duniani kote ili Tundu Lissu aachiwe

    Kwanza maandamano ni haki ya kikatiba hapa nchini. Hii ni kwa mujibu wa ibara ya 20 ya katiba ya JMT Dunia nzima ilipambana kwa njia ya maandamano ili Mandela afunguliwe. Najua Watawala wote dhalimu huwa wanaogopa maandamano.
  13. JamiiForums Tanzania Jinsi Tundu Lissu na John Heche walivyokizika chama Chadema kwa mihemko na chuki

    Malengo ya waasisi wa CHADEMA yalikuwa ni kukijenga chama kwenye misingi imara ya kisiasa nchini kikisimama kama taasisi kuu ya upinzani iliyokusudiwa kutoa ushindani wa kisera na kuwa mbadala wa fikra baada ya CCM. Hata hivyo mwelekeo huo wa kimaono ulianza kupotea na kuyumba pale chama...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Heche: Kuna vijana wanadai walitumwa kuja kufanya fujo kwenye Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Chaso

    Jana nilipokwenda kuhuduria Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Chaso. Walitumwa baadhi ya vijana kutoka UVCCM, kwa kulipwa vifedha kidogo… Sina tatizo na vijana hata kama ni wa ccm kuhudhuria na kusikiliza sera, misimamo na hoja zetu. Lakini huyu kijana, watu wetu walipomgundua na kumhoji...
  15. JamiiForums Tanzania Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche kesho Mei 2 ataongea na Watanzania Makao Makuu ya chama

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche kesho Mei 2 ataongea na Watanzania Makao Makuu ya chama saa sita kamili mchana! Kaa tayari kusikia atachokisema
  16. JamiiForums Tanzania John Heche: Huyu Mama alitoa ndege iendea Dubai kuwaokoa ndugu zake dhidi ya Mabomu ya Iran si Watanzania

    Salaam, Leo Makamu Mwenyekiti akiwa kwenye Mkutano wa Ndani ya chama huko Kibamba Shule Dar Es Salaam, amesema Huyu mama anayeongoza Nchi, alitoa ndege ifuate ndugu zake na Familia yake huko Dubai kwa gia ya kwamba wanawafuata Watanzania Wasidhuriwe na Mabomu ya Iran. Kama alitoa ndege...
  17. JamiiForums Tanzania SI KWELI Heche Aibana Serikali: Harakisheni Maridhiano

    📍HECHE AITAKA SERIKALI KUHARAKISHA MCHAKATO WA MARIDHIANO NCHINI Na Mwandishi Wetu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Heche, ameitaka serikali kuharakisha mchakato wa maridhiano nchini, akisisitiza kuwa hatua hiyo ndiyo njia sahihi ya kudumisha amani...
  18. JamiiForums Tanzania John Heche amjibu Gerson Msigwa: Msemaji wa Serikali au Serikali inawezaje kuita watu Nguchiro

    Anaandika John Heche kwenye ukurasa wake wa X: Kama kuna mtu alikua hajui kwanini serikali hii haiwajali Watanzania, Kama kuna mtu alikua hajui kwanini watu wanatekwa, wanauwawa, kama kuna mtu alikua hajui kwanini watu hawana maji, hawana barabara, hawana shule bora, kama kuna mtu alikua hajui...
  19. R

    JamiiForums Tanzania John Heche: Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown

    Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown. Fikiria kijana ambae ameanza maisha hapa Dar, kutokana na adha ya usafiri anajibana ananunua kagari ka usd 6,000 ambazo ni sawa na 14 m. Hiyo gari ikifika inatozwa ushuru mwingine wa 14 m, yaani fikiria ushuru unalingana na ununuzi wa...
  20. JamiiForums Tanzania Haji Manara kaacha ndara (ndala) mbele ya John Heche

    Aiseeh! Haji Manara ni muongeaji mzuri Sana. Na mwenye uwezo mkubwa hasa akikutana na watu wajingawajinga, wenye uelewa Mdogo. Umaarufu na nguvu yake kuu ya kuongea ipo kwenye udhaifu wa wanaomsikiliza na anaokutana nao head by head. Wengi amewatoa nishai kwa sababu zifuatazo; 1. Haji Manara...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…