jeshi la marekani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Waziri wa Ulinzi ashuhudia Jeshi la Wananchi na Jeshi la Marekani wakisaini Makubaliano ya Ushirikiano Kijeshi

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Rhimo Nyansaho (Mb), tarehe 12 Machi,2026, katika ofisi ndogo za Wizara ya Ulinzi na JKT, Upanga, jijini Dar es Salaam amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi cha Jimbo la Nebraska nchini Marekani (Nebraska National Guard)...
  2. Just Pray

    SI KWELI Jeshi la Marekani limetangaza kifo cha Benjamin Netanyahu

  3. Waufukweni

    Ndege ya Kijeshi ya Marekani yaanguka Iraq

    Jeshi la Marekani limethibitisha Ndege yake ya Kijeshi kuanguka nchini Iraq. Ndege hiyo ya kijeshi ya KC-135 ilianguka baada ya ajali kati ya Ndege mbili. KC-135 ni Ndege iliyotengenezwa na Boeing ambayo hutumiwa kusafirisha na kuhamisha Mafuta. Makao Makuu ya kanda ya Jeshi la Marekani...
  4. Dalton elijah

    Jeshi la Marekani linajiandaa kwa operesheni zinazoweza kuchukua wiki kadhaa nchini Iran

    Maafisa wawili wa Marekani wamekiambia chombo cha habari cha Reuters, kuwa Jeshi la Marekani linajiandaa kwa uwezekano wa operesheni endelevu za wiki moja dhidi ya Iran ikiwa Rais Donald Trump ataamuru shambulio. Ufichuzi huo wa maafisa hao, ambao walizungumza kwa sharti la kutotajwa majina...
  5. funaku

    Jeshi la Venezuela latoa tamko. Lasema kitendo cha Marekani ni kinaashiria "uoga" na Venezuela itaendelea kulinda watu wake

    Hii ni ishara kuwa bado kutakuwa na safari ndefu ya mkanganyiko ndani ya Venezuela. Jeshi tiifu kwa Maduro. Wapinzani hawakubaliki na wananchi Makamu wa Rais anakosa nguvu za kisheria kufanya makubaliano yoyote. Yaani ni kama Kongo nyingine hivi. ------------------- Jeshi la Kitaifa la...
  6. gallow bird

    Ndege za jeshi la Marekani zaingia kwa wingi uUaya, Iran kufuata baada ya Venezuela!?

    Ndege za jeshi la marekani zinaingia kwa wingi uingereza na nchi zingine za ulaya ikiwemo uturuki Inaongeza wasiwasi kwamba huenda Iran itakumbwa na kile kilichoikumba Venezuela Iran kwa upande wao wameweka bango lenye picha za majeneza yenye bendera za marekani na Israel yenye ujumbe 'jalini...
  7. S

    Jeshi la Marekani wanategemea sana hesabu

    Wamerekani wamekuwa wakionesha Dunia kuwa Hesabu ndio kila kitu Jeshini kwani 100% ya maamuzi yanayofanyika jeshini/vitani ni Hesabu & Physics Mfano: 1. Kurushusha mabomu ni hesabu kwa huku kwetu ipo kwa kidato cha tano Phy/maths 2. Mambo mengi vitani yanahitaji prediction (probability) ipo...
  8. Genius Man

    BBC: Rais wa Venezuela akamatwa na jeshi la marekani ndani ya nchi yake kwa mda mchache tu

    BBC: Rais wa Venezuela akamatwa na jeshi la marekani ndani ya nchi yake kwa mda mchache tu. Sasa kwenye nchi ya cuba huku kila mtu ni mpenda rushwa akitakiwa kukamatwa na ICC ni dakika chache tu washa mtoa chura kiziwi.
  9. Troll JF

    Jeshi La Marekani Limefanikiwa Kumkamata Rais wa Venezuela Nicholaus Maduro pamoja na Mke wake Cilia Adela Flores de Maduro

    Rais wa Marekani, Donald Trump amedai Taifa hilo limefanya shambulio kubwa Nchini Venezuela na kuwakamata Rais wake, Nicolas Maduro, na mkewe na kusafirishwa kwa ndege kutoka nchini humo Kupitia chapisho lake kwenye mtandao wa Truth Social, Trump ameandika: “Marekani imefanikiwa kutekeleza...
  10. ELI COHEN

    Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani

    Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa Marekani imefanya mashambulizi makubwa ya kijeshi dhidi ya Venezuela na kufanikiwa kumkamata Rais wa nchi hiyo, Nicolás Maduro, pamoja na mke wake. Kupitia taarifa aliyotoa kwenye mtandao wake wa Truth Social, Trump amesema operesheni hiyo...
  11. Lord Denning

    PostGE2025 Tunaomba Jeshi la Marekani lije kulinda Waandamanaji Desemba 9 kuepuka mauaji mengine ya halaiki

    Najua Ubalozi wa Marekani mpo Active JF Kwa kuwa Serikali ya Marekani imetoa tamko rasmi kuoneshwa kuguswa na ushenzi unaofanywa na Serikali ya CCM na Samia dhidi ya Watanganyika sasa tunawasiliaha maombi rasmi kwa Rais Trump atume jeshi lake lije kulinda Waandamanaji tunaotarajiwa kuandamana...
  12. ELI COHEN

    Tazama jinsi boti iliokuwa imebeba madawa ya kulevya kutoka Venezuela kuelekea Marekani ilivyodunguliwa na jeshi la Marekani.

  13. Moto wa volcano

    Nawashangaa sana wa Afrika kwa ufinyu wa kufikiri , miaka ya hivi karibuni jeshi la marekani limekuwa likitoa nafasi za kazi katika jeshi lao kwa watu

    Nawashangaa sana wa Afrika kwa ufinyu wa kufikiri , miaka ya hivi karibuni jeshi la Marekani limekuwa likitoa nafasi za kazi katika jeshi lao kwa watu wa mataifa mengine na wamekuwa wakitoa mshahara mzuri wa kushawishi , wa Afrika kutokana na kuwa na mihemko na ulimbukeni wanakimbilia huko...
  14. Camilo Cienfuegos

    Manhattan Project: Mpango wa Siri wa Jeshi la Marekani na namna walivyotengeneza Mabomu ya Nyuklia wakati wa Vita ya Pili ya Dunia

    Manhattan Project ulikuwa ni mpango wa siri wa Marekani wa kutengeneza silaha ya nyuklia (atomic bomb) wakati wa Vita ya Pili ya Dunia. Mpango huu ulianza mwaka 1939 lakini ukawa rasmi zaidi mwaka 1942, ukiendeshwa na serikali ya Marekani kwa ushirikiano na Uingereza na Kanada. Wazo la bomu la...
  15. P

    Trump: Marekani inaweza kumuua Ali Khamenei, ni "easy target" inajua wapi yupo ila haitafanya kwa sasa

    Rais wa Marekani, Donald Trump amesema kuwa Marekani inaweza kumuua Supreme Leader Ali Khamenei kwasababu ni "easy target" na inajua wapi alipo ila haitafanya kwa sasa ====== Trump: US could kill Iranian leader but won't - "for now" Donald Trump says the US knows where Iranian Supreme Leader Ali...
  16. M

    Watanzania kwenye jeshi la Marekani

    Wana jamvi, naomba kupata elimu kuhusu Watanzania wanao hudumu kwenye jeshi la marekani. Watanzania ambao si wanajeshi wa JWTZ lakini ni wanajeshi wa jeshi la Marekani, Je wakirudi nyumbani wanatambulikaje na jeshi letu hasa wanapokuwa likizo?? Je hawa watu wanajiungaje na jeshi la Marekani??
  17. R

    Panama yaruhusu jeshi la Marekani kulinda na kuendesha mfereji wa Panama, Wachina watimuliwa

    Yani mngejua tu namna China anavyoichukia Marekani ya awamu hii na jinsi walivyo na hasira acheni tu, Soko kubwa la dunia nzima lipo Marekani wao wamepigwa pin kwa ushuru mrefu halafu nchi zingine wamepunguziwa 10 % tu, Hawajakaa sawa Marekani imewashinikiza Panama kuwafukuza wachina kwenye...
  18. ELI COHEN

    Trump ameshare video ya shambulio la mlipuko kutoka kwa jeshi lake dhidi Wahouthis waliokuwa katika mkusanyiko huko Yemen

  19. N'yadikwa

    Mambo 7 usiyoyajua kuhusu Viwanja vya Ndege vya Jeshi la Marekani vinavyoelea baharini " US Aircraft Carriers"

    Kama unayajua piga kimya. Kama huyajui haya hapa:- Mambo 7 muhimu kuhusu Aircraft Carrier ya Marekani: Idadi ya Waajiriwa – Kila aircraft carrier ya Marekani ina wastani wa 5,000 – 6,000 waajiriwa, wakiwemo marubani, wahandisi, wahudumu wa meli, wataalamu wa silaha na wahudumu wa matibabu...
  20. The Mongolian Savage

    Trump kamfukuza aliyekuwa mkuu wa Coastguard kwenye kota za Serikali kama mbwa

    Aliyekuwa mkuu wa CoastGuard Commandment Marekani Linda Fagan ( four star admiral) kafukuzwa kwenye kota za Serikali kwa kupewa notice ya masaa matatu. Linda ambaye alitenguliwa na Trump kwenye nafasi yake siku mbili tu baada ya kuapishwa kuwa rais wiki mbili zilizopita alipewa siku 60...
Back
Top Bottom