jesca magufuli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Meneja Wa Makampuni

    Watoto wakisoma shule za St. Kayumba wanakua strong sana kichwani na wanakua na hekima msikilize Jesca Magufuli

    Elimu siyo tu madarasa ya kifahari, bali ni msingi wa maadili, busara, na hekima. Watoto wa viongozi wanaosoma shule za kawaida kama St. Kayumba hukutana na changamoto nyingi zinazowajenga kiakili na kimaisha. Hawa watoto hujifunza kuwa na nidhamu, kuwaheshimu watu wa kila hali, na kuthamini...
  2. MABATI YA SUNBAK TANZANIA

    Ilikuaje Jesca Magufuli aliyepata four ya 30 mwaka 2011 st Mathew akaruhusiwa kusoma Degree mwaka 2014?

    Elimu ya Tanzania imechezewa Sana wakuu
  3. W

    Jesca Magufuli: Wadogo zetu wanalipiwa ada ya chuo na Rais Samia

    Wakati akifanya mahojiano na Millard Ayo hivi karibuni, Jesca Magufuli ameeleza kuwa Rais Samia Hassan ameendelea kuwa na mchango mkubwa katika familia yao. Ameeleza kuwa bado anaendeleza matibabu ya bibi yao ambaye amekuwa akiugua hata kabla John Magufuli hajafariki. Aidha wadogo zao waliokuwa...
  4. Binti wa zamani

    Tuchambue kwa upana Part 1 ya interview ya Jesca Magufuli na Millard Ayo

    Ushabiki wa kisiasa pembeni, nafikiri mahojiano haya yametupa taarifa nyingi mpya za maisha binafsi na ya kifamilia ya Hayati Magufuli ambazo zilikua hazifahamiki hapo kabla. Kipi umejifunza kuhusu hayati Magufuli na familia yake kupitia hii interview? Binafsi kwa mara ya kwanza nimejua...
  5. Knock life

    Nchi imefika sehemu mbaya sana , ikiwa Jesca Magufuli atapewa ubunge basi hii nchi imeshakuwa ya familia

    CCM kuweni makini msirudie makosa tena. Hawa watoto wa viongozi hawawezi Kufanya Kazi nyingine . Au waliambiwa wao ndio wanastahili kuongoza hii nchi . Gharama alizompa Millardayo kwanini asingesaidia kununua hata madawati We are not serious.
  6. MABATI YA SUNBAK TANZANIA

    Jesca Magufuli ni mtu ambaye analazimisha Mfumo umbembe wakati hana uwezo wa kiuongozi, CCM stay alert!

    To be honest Jesca Magufuli, she is not smart and visionary. Hakuna kitu kibaya Kama hawa watoto wa viongozi kuamini kuwa they deserves kuwa viongozi wao tu. Wananchi wa Chato mpigeni chini huyo Jesca Magufuli. Mirrad ayo unatumika vibaya.
  7. USSR

    Jesca Magufuli asimulia moja ya OUTING ya baba yeke

    Kuna siku Baba alisema anatutoa OUT...! Tulijiandaa tukavaa vizuri ila tukashangaa tunaenda kukagua daraja la Kigamboni na sisi tukageuka wasaidizi wake akawa anaomba tumpigie picha...! Tulivyomaliza akasema OUTING imeisha turudi nyumbani...! Akatupatia hela kidogo"-JESSICA
  8. Allen Kilewella

    Jessica Magufuli: Nilipata taarifa za kifo cha baba kupitia mitandao ya kijamii

    Akihojiwa kupitia Ayotv mtoto wa Hayati John Magufuli , Jessica Magufuli, amesema kuwa taarifa za kifo cha baba yake alizipata wakati huo akiwa Dodoma kupitia mitandao ya kijamii kama watanzania wengine walivyopata.
  9. mtetezi wa MAGU

    Jesca Magufuli: Katika safari yake ya uongozi Magufuli alijifunza kwa Hayati Nyerere, Mkapa na Ally Hassan Mwinyi. lipo lakujifunza hapa

    Katika kumbukizi ya Miaka minne ya kifo cha Magufuli yaliyoazimishwa Wilayani chato, Binti wa HAYATI Magufuli, Jesca alihutubia mamia ya wanacchi waliohudhuria katika Ibada hiyo. Moja ya sehemu ya hotuba yake nanukuu "katika safari yake ya uongozi ALIJIFUNZA toka kwa viongozi waliomtangulia...
  10. Waufukweni

    Familia ya Hayati Magufuli yaongoza maandamano ya Amani Chato, yapongeza Rais Samia kwa kukamilisha miradi

    Familia ya Hayati Rais John Pombe Magufuli ikiongozwa na Mtoto wa Dr. Magufuli aitwaye Jesca Magufuli, imeongoza maandamano ya amani leo March 16 2025 Chato, Geita kumuenzi Hayati Magufuli na kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutekeleza na kukamilisha miradi iliyoanzishwa na Hayati...
  11. chiembe

    Jesca Magufuli amemtembelea Odinga ili kumtakia heri katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC)

    Sasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Back
Top Bottom