jerry muro

  1. Sifi Leo

    Mama wakumbuke Wenje, Mchungaji Peter Msigwa na Jerry Muro

    Mama Hawa hawakurudi ccm kwamba wanaipenda nchi au wanataka siasa safi walikuja kufata vyeo vya udc au UuRC Mama wakumbuke Hawa watu walizunguka nchi nzima kuisema chadema ilivyo mbaya na Ili Hali haishiriki uchaguzi. Wenje aliongea mpaka kujikojolea jukwaa Mzee wasukuma ndani yeye ni ccm...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Jerry Muro: Wakikuuliza naendeleaje waambie naendelea vizuri zaidi ya wao

    Anaaandika Mwanasiasa Jerry Muro kupitia ukurasa wake wa Instagram,. 👇👇 "Wakikuulza naendeleaje waambie naendelea vizuri zaidi ya wao, Tunashukuru kwa mkutano mzuri wa Mgombea Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama cha mapinduzi CCM Mheshimiwa Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan katika...
  3. mwanamwana

    GE2025 Kuna la kujifunza kutoka kwa Jerry Muro; Madaraka ni kama koti la kuazima

    Video zinajielezea, sina maneno mengi Ya kwanza - Jerry Muro akiwa na madaraka Ya Pili - Jerry Muro akiwa Raia wa kawaida V/S
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Video: Jerry Muro anaonekana hayupo sawa. Ameanza kuongea mwenyewe na afya yake ina mashaka sana

    Jamani nimeitizama hii video ya Jerry Muro hadi machozi yakatoka! Anaonesha kabisa hayupo sawa na anahitaji msaada wa haraka mnoo Video inamuonyesha akiwa kwenye mkutano wa kampeni ya mgombea urais wa CCM halafu cha kushangaza amesimama kwa wanazengo wengi kama vile yeye ajawahi kuwa kiongozi...
  5. Mkalukungone Mwamba

    Kumbukizi: Mvutano wa Jerry Muro alivyokuwa mkuu wa Wilaya ya Arumeru na mkurugenzi wake Dkt. Mahera

    Ilikuwa ni moja ya mvutano huku Jerry Muro akionekana akimlalamikia moja ya kiongozi ambaye Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Arusha wilayani Arumeru Dkt. Wilson Mahera Charles kwa kuchelewa kufika katika ziara. Naye wakati anaambiwa hivyo alionyesha kucheka na Muro kutafsiri kama kitendo cha...
  6. SSH2025_2030

    Jerry Muro kapigwa ganzi haelewi achukue Fomu Jimbo gani?

    DC Mstaafu kapigwa ganzi kelele anapigia KAWE Fomu anachukulia Hai Maombi ya Jasusi Mkuu wa KAWE hayatamuacha salama
  7. R

    GE2025 Jerry Muro amekuchukua fomu kugombea Ubunge Jimbo la Hai Mkoani Kilimanjaro kupitia CCM

    Ikiwa imebaki siku moja kuhitimisha zoezi la uchukuaji fomu za Udiwani, Uwakilishi na ubunge ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Makada mbalimbali wameendelea kujitokeza na kuchukua fomu za kuomba ridhaa ndani ya CCM, mchakato uliotawaliwa na sura ngeni na wale makada maarufu kwenye siasa za...
  8. N

    Jerry Muro tueleze zile pingu ulikamatwa nazo zilikuwa za nini? Je wewe ni polisi?

    Jerry Muro sikupingi wewe kumjibu Gwajima sababu alijitokeza hadharani kuongea aliyoyaongea na kujibiwa ni sawa . Sasa wewe unakuja kumjibu halafu unabagaza hadi viongozi wa nchi hii waliotoa maisha yao kupigania nchi, unasema utekaji ulikuwepo tangu enzi ya mwalimu..Yani unamwingiza baba wa...
  9. mwehu ndama

    Video: Jerry Muro aropoka na kusema Rais ni wa ovyo

    Baada ya Gwaji boy kutupa jiwe gizani kupitia mkutano wake na waandishi wa habari , ambapo hoja zake zilienda moja kwa moja katika kuhoji uwajibikaji wa taasisi ya Raisi kufuatia kuongezeka kwa matukio ya utekaji , uteswaji na hata unyanyasaji wa kijinsia wa raia wa Tanzania na hata wale...
  10. W

    PreGE2025 POTOSHI Gwajima amjibu Jerry Muro na Msukuma

    Wakuu nimekutana na hii sauti inadaiwa kuwa ni ya Gwajima akimjibu Msukuma na Muro.
  11. Ngengemkenilomolomo

    Press ya Jerry Muro ni press ya hovyo kuwahi kufanyika nchini

    Wakuu Nimesikiliza press ya Jerry muro nimelia sana yn ningekua ndugu yangu luka ningesema nimebubujikwa na machozi Yani kanavoongea unaona kabisa kama njaa anafukuzia teuzi Yan mtu kabsa unaitisha press kusema lazma umtetee mtu kwa sababu alikuteua? Kwahiyo kukuteua tuu imetosha kumtetea...
  12. MamaSamia2025

    PreGE2025 Ifike wakati CCM izuie makada wake kufanya press conference kiholela. Jerry Muro kaharibu sana

    Mimi ni mwanaCCM niliye na kadi hai ila napinga vikali tabia ya makada kuandaa mikutano na waandishi wa habari wakiwa hawajajipanga. JERRY MURO kaharibu sana zaidi ya kujenga. Kakurupuka mno na kuongea uharo mtupu. Ishu ya Gwajima ni sensitive na ya kujibiwa kiakili kwa sababu Gwajima pia ni...
  13. Waufukweni

    Jerry Muro haelewi kama hakuna mwekezaji ataenda kuwekeza kwenye nchi ambayo anajua muda wowote anaweza kutekwa na watu wasiyojulikana?

    Jerry Muro naona huelewi kama hakuna mwekezaji anaweza kwenda kufanya uwekeza kwenye nchi ambayo anajua muda wowote anaweza kutekwa na watu wasiyojulikana.
  14. JanguKamaJangu

    PreGE2025 Jerry Muro: Askofu Gwajima najua kuna kitu unakitafuta

    Mwanasiasa Jerry Muro amezungumzia ujumbe uliotolewa na Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima kwa kusema “Sijui unatafuta nini baba yangu, kuna kitu fulani naona una kitu, kuna kitu unakitafuta, lakini hakuna kitu kimefanyika Rais Samia hajawahi kutolea maelekezo.” Soma Pia: Askofu...
  15. McLaren

    PreGE2025 Jerry Muro: Gwajima umevua nafasi ya Ubunge, ushindane na Rais. Hata kama Rais wetu ni wa hovyo kiasi gani, ni lazima tumtii

    Wakuu, "Tunajua Rais naye kuna saa anahemewa. Lakini mzee, sisi tuko kwa ajili ya kumlinda Rais wetu. Hebu kaa sawasawa. Sitaki kukujibu kwa sababu nitakukosea adabu. Naogopa kushindana na wewe, najua mashindano yako. Najua unapenda mashindano. Najua umeshahindana na watu wengi huko ulipotoka...
  16. Carlos The Jackal

    PreGE2025 Watu aina ya Jerry Muro ni wakupigwa vita kila mahali, huwezi kutumia utekaji wa nyuma kuhalalisha utekaji wa sasa

    Hili lijitu baada ya kukuona limesahauliwa na Uongozi wa Kifisadi wa Awamu ya Sita sasa limeona like na Ujuha na Upumbavu wa kijinga ili lionekane linatetea Awamu ya Sita. Huwezi kuhalalisha UTEKAJI na UUAJI unaoendelea nchini, Kwa kusema Et "Toka Enzi za kambona watu waliotekwa". Swali la...
  17. Waufukweni

    PreGE2025 Jerry Muro anena kwa lugha katikati ya press akimchana Askofu Gwajima, asema angetumia Uaskofu wake kumwombea Rais

    Jerry Muro anena kwa lugha katikati ya press akimchana Askofu Gwajima, asema angetumia Uaskofu wake kumwombea Rais
  18. R

    PreGE2025 Jerry Muro unatafuta uteuzi?

    Ulipotea kwenye ulingo wa siasa, now you want to maka use of this "opportunity" to impress Samia na hivyo akukumbuke. Jaribu unaweza kupata bahati! Pia soma: Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya mwanasiasa aliyewaweka
  19. McLaren

    PreGE2025 Jerry Muro: Gwajima ningependa kukwambia huu sio wakati wa kutengeneza "drama" za kutuondoa kwenye Uchaguzi Mkuu

    Wakuu, Kwenye press yake leo, Jerry Muro amesema kuwa Gwajima aache kutengeneza "drama" na kwamba anapaswa kutambua kuwa kwa sasa wako kwenye kipindi cha Uchaguzi. "Ningependa kukwambia kuwa huu sio wakati wa kuanza kutengeneza drama za kutuondoa kwenye Uchaguzi Mkuu. Huu ni wakati taifa...
  20. McLaren

    PreGE2025 Jerry Muro: Hata Dr Slaa alishawahi kusema kuna vyama vya siasa vinateka watu ili kuichafua Serikali. Tujiulize nini kilimuua Chacha Wangwe!

    Wakuu, Jerry Muro kwenye press amesema kuwa Gwajima anatakiwa arudi kwa Dkt Slaa amuulize yaliyomo kwenye kitabu chake cha nyuma ya pazia. Muro amesema kuwa hata Dkt Slaa alishawahi sema kuwa kuna baadhi ya vyama vya siasa vinateka watu ili kuichafua serikali ambapo katika press yake amemtaja...
Back
Top Bottom