Mimi ni mtu ambaye naona aibu sana kuomba msaada. Sijawahi kuzoea maisha ya kutegemea kwamba siku nikikwama nitampigia mtu simu aniokoe. Kwa namna nilivyojijenga, naona kuomba msaada ni hatua ya mwisho kabisa, na huwa najitahidi nisiifikie.
Kwa sababu hiyo, nimejifunza kuishi kwa mipango...
NI JAMBO LA KAWAIDA WATU MNAOFAHAMIANA KUKUCHUKIA UNAPOFANIKIWA. USIWALAUMU.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
1. Mafanikio yapo ya aina nyingi Sana. Yapo mafanikio ya kiuchumi, kimahusiano, kisiasa, kimitandao ya kijamii n.k
2. Ni MTU asiye na uelewe pekee ambaye atataka mafanikio alafu...
Nilipokuwa shule ya sekondari nikisoma historia ya Ulaya, hasa kuhusu ukatili uliotekelezwa chini ya Hitler na Mussolini, nilikuwa nadhani kwamba dunia—hasa Ujerumani—lazima ilikuwa imejaa watu wakatili na waovu. Sikuweza kuelewa jinsi uhalifu wa namna hiyo ungeweza kutokea bila kulaaniwa kwa...
Sativa ambaye pia aliwahi kutekwa na watu wasiojulikana, Anaona kuwa intelijensia inatumiwa dhidi ya CHADEMA badala ya kulinda wananchi. Sativa pia amesema utekaji wa raia unaoendelea na kusema wananchi hawana kinga halisi kwenye maisha yao licha ya haki zao za kikatiba.
Fikiria jeshi la polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.