israel

  1. L

    Vita ya USA Israel na Iran wote wameishiwa ADS imekua piga nikupige

    Ni hakika kabisa pande zote mbili katika vita hii ambayo USA akishirikiana na Israel kupigana na Iran,pande zote mbili zimeishiwa Air Defense Systems,kilichobaki hivi Sasa imekua ni piga nikupige. Ni kweli zipo chache zilizofichwa sana lkn naamini sehemu kubwa sana ya hizi ngao zimekwisha...
  2. Taarifa ya Mwamba waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwa ulimwengu!

    Taarifa ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu: "Tunaendelea kushambulia kwa nguvu malengo ya utawala wa kigaidi wa Iran. Jana usiku, tulimwangamiza Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Walinzi wa Mapinduzi. Mtu huyu alikuwa na damu nyingi mikononi mwake; pia ndiye aliyeongoza kufungwa kwa Mlango-Bahari...
  3. A

    Iran Imetoa Tahadhari Meli Yoyote Inayo Kwenda Israel Itaishambulia

    Ujumbe ndio huo kila meli itakayo onekana ikielekea Israel itashammbuliwa https://youtu.be/SkIXpVcO5Gc?si=ee2rJ3HiqrHj5ccW Pia tazameni Israel target zake siku zote civilian afu yeye akipigwa anadai Iran inapiga civilian hahaha https://www.instagram.com/p/DWYtyRqk2Mg/?igsh=MXVocnR3eXllMXN1MQ==
  4. FALSE This video shows Iranian Attack on Israel

  5. I

    Pakistan yaipigia magoti Israel kuiomba isiwaue Abbas Araqchi na Mohammed Bakari kwani ni watu muhimu kwenye mazungumuzo.

    Israel imewaondoa kwa muda Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araqchi na Spika wa Bunge Mohammad Baqer Qalibaf kwenye orodha yake ya wanaolengwa kuuliwa baada ya kuombwa na Pakistan isiwalenge, chanzo cha Pakistani chenye ufahamu wa mazungumzo hayo kiliiambia Reuters siku ya Alhamisi...
  6. Msemaji wa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amejiuzulu kufuatia kuvuja kwa kauli za kibaguzi alizowahi kutoa

    Msemaji huyo, Ziv Agmon, alikanusha kuwa kauli zake zilikuwa za kibaguzi, akizitaja kuwa “za kipuuzi,” akidai kuwa yeye mwenyewe ana asili ya Morocco, hivyo hawezi kuwa mbaguzi dhidi ya Wamoroko. Hata hivyo, alitangaza kujiuzulu katika taarifa iliyochapishwa Jumatano jioni, baada ya mwanahabari...
  7. SI KWELI Jenerali wa IRGC Mohammad Zolghadr aliyeshika nafasi ya larjan aangamizwa

    .Jenerali wa IRGC Mohammad Zolghadr, aliyechukua nafasi ya Larijani, kuna uwezekano mkubwa aliangamizwa jana usiku baada ya maficho yake kusambaratishwa!!
  8. Vita Vya Iran: Kujikwaa Kwa Marekani na Israel

    https://youtu.be/PdXjNx7rleo?si=9vAls46PFIyAfj_Y
  9. M

    Jeshi la Israel lasambaza video ya kuendelea kutukumbusha waliweza kumbamiza Ayatollah na viongozi wengine 40 ndani ya sekunde 40 tu

    Tusijisahau sana SEKUNDE 40 zilitosha kwa Israel kuwabamiza VIONGOZI 40 (Akiwemo Ayatollah) Tafsiri : Unaweza kufanya nini ndani ya sekunde 40 ? Unaweza kumimina maji kwenye glasi, unaweza kuvaa viatu, unaweza kuandika barua pepe, unaweza kujipulizia manukato, Kwa jeshi la Israel, sekunde...
  10. Watoto 208 wauawa Iran kwa mashambulizi ya Marekani na Israel

    (CHANZO CHA PICHA, REUTERS) Mkuu wa huduma za dharura anasema idadi ya watoto waliouawa nchini Iran tangu vita kuanza Februari 28 imeongezeka hadi 208. Katika taarifa ya video iliyochapishwa na mtangazaji wa kituo kinachomilikiwa na serikali IRIB, Jafar Miadfar alisema kwamba kati ya watoto 208...
  11. M

    Israel hawafi? Wana roho ya paka?

    Licha ya kuharibiwa vibaya miji ya Telaviv na miji mengine. Idadi ya waliokufa Isreal tunaambiwa 5. Yaani hawa wana roho ya paka? Hata wapigwe mizinga miili yao inapangua?
  12. Irani Imepigana na Marekani na Israel Kuanzia Ramadhani Mosi hadi Kukamilika kwa Mfungo Marekani Inajitoa Taratibu

    https://youtu.be/6n-00-MSepU?si=5h-ekwpDBWc8kBqS
  13. Marekani ni silaha na walioshika silaha ni Israel na Wayahudi, bunge la ulaya wacharukiana

    Mbunge katika bunge la ulaya kaibua hoja kuwa taifa la Marekani ni silaha na walioshika silaha hiyo ni Israel na Wayahudi kauli hiyo imezua mtafaruko katika bunge la ulaya. “Marekani ni bunduki, Wayahudi wanaishika”: Machafuko katika Umoja wa Ulaya huku Mbunge wa Ulaya akituhumiwa kwa chuki...
  14. Dunia Haiwezi kuwa na Amani endapo kizazi cha Israel bado kipo hai

    Huu ni mjadala unaoendelea hapa Canada kwenye moja ya social blog( Copy and Paste and Translated) historically monotheism ilianzia pale middle east kwa hii jamii ya kiyahudi. Baadae the whole world ikawa brainwashed na hizi man made faith ambazo zote zilikuwa instilled kwenye societies kwa...
  15. Israel wanasema sasa Wataanza kuua Viongozi na maafisa wote wa Iran. Wamepitisha hilo Azimio. Ina maana walikuwa bado hawaja anza???

    Nachoka kabisa Mume wenu, Kaka yenu,Ndugu yenu, Rafiki yenu Chizi Maarifa. Nachoka sana. Hawa jamaa wanasema sasa ndo wataanza kuua yaani ile mwanzo ilikuwa ni trailer sasa ndo picha litaanza rasmi. Na wamefanya onesho la mfano kwa kupiga kuangusha jengo ambalo walikuwa wamekutana viongozi wa Iran.
  16. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu awahutubia wananchi wa Iran!!

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu atoa ujumbe kwa watu wa Iran wakati Wafuga Midevu na Majini wanadai amekufa!! "Niko hapa na Waziri wa Ulinzi wa Israeli, Mkuu wetu wa Majeshi, mkuu wa Mossad, Mkuu wa Jeshi la Anga, makamanda wetu wakuu. Katika saa 24 zilizopita, tuliwaangamiza wakuu...
  17. FALSE Yariv Levin has been appointed as the interim Prime Minister of Israel, taking over the leadership role from Benjamin Netanyahu

    There has been a post circulating on Facebook with the caption that Yariv Levin has taken over from Benjamin Netanyahu, who is the Prime Minister of Israel. The post was published with the following caption: "In a major political shift, Yariv Levin has been appointed as the interim Prime...
  18. Israel yasema imemuua Waziri wa ujasusi wa Iran, Esmail Khatib

    Iran’s intelligence minister Esmail Khatib Israeli Defense Minister Israel Katz says Iran’s intelligence minister Esmaeil Khatib was eliminated in an overnight strike in Tehran. Katz warns of “significant surprises” expected today across multiple arenas, signaling further escalation against...
  19. Kwanini Israel haiwapendi wakristo wakati wenyewe wanaipenda Israel?

    Nimeshindwa kuelewa Wakristu wengi hata baadhi ya madhehebu wamekuwa wakinasibisha Israel kama njia yakwenda kwa Mungu hadi wengine Wameweka Bendera za Israel katika makanisa yao wengine wanatembe na bendera katika magari yao! Swali nini kinawafanya waipende Israel wakati wayahudi walimtesa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…