irani

  1. Z

    Irani yazionya USA, UK na Ufaransa kuacha kuisaidia Israeli kwenye vita

    Iran imezitahadharisha Marekani, Ufaransa na Uingereza kwamba atashambulia kambi zao za kijeshi pamoja na meli zao iwapo zitatoa msaada wowote wa kijeshi kwa Israel. Donald Trump ametangaza kuwa Marekani itaisaidia Israel kujilinda, huku vuongozi mbalimbqli wa Marekani wamenukuliwa katika...
  2. Maria Nyedetse

    Ni nini tunajifunza; vita vya Israel na Marekani kwa upande moja na Irani kwa upande wa pili

    VITA VYA ISRAEL NA IRAN Vita hivi kwa Wachambuzi wengi wa mambo ilikuwa ni jambo lililokuwa likitarajiwa kwa muda sasa hasa ikizingatiwa kampeni ya Israel dhidi ya HAMAS, HESBOLLAH kuanguka kwa utawala wa Syria na Kikundi cha Houthi cha YEMEN. Kampeni hii ililenga kuhakikisha kuwa Israel...
  3. Mlaleo

    Irani yalipua banda la kuku Waisrael wanahaha kuzima moto kuokoa Kuku Tzvi

    Timu nyingi za zima moto kutoka kituo cha Hadera zinapambana na moto kwenye banda la kuku huko Ma'ayan Tzvi. Banda la Kuku - Ma'ayan Tzvi Huduma ya zima moto na uokoaji Timu nyingi za zima moto kutoka kituo cha Hadera, chini ya uongozi wa Reshef Idan Khaliva, kwa sasa wanapambana na moto...
  4. Technophilic Pool

    Irani ilijitegea kitendawili cha Kifo tangu siku ya kwanza ya mapinduzi… Cult of death

    Chuki mbaya sana…. Mission zako zikiongozwa na chuki mwisho wa siku Unajinasa kwene mtego wako mwenyewe. Toka 1979 Iran ilivopindua serikali ya kifalme na kuweka serikali ya kiislam Ambayo misingi yake yote kumi ni Death to Israel. 1.Death to Israel 2.Dealth to Israel 10. Death to israel...
  5. M

    Jinsi Iran ilivyorudisha nyuma Ujasusi wa Marekani kwa miongo mingi nyuma baada ya mapinduzi ya 1979

    Baada ya Mapinduzi ya kiislamu ya mwaka 1979 vijana wa Iran walisema mapinduzi hayatokuwa salama mpaka mtandao wa kijasusi wa CIA ndani ya Iran utunduliwe. Vijana kwa kufahamu kuwa Msingi mkuu wa ujasusi wa marekani katika nchi nyingi duniani cordination hufanywa katika balozi za nchi hizo, basi...
  6. Allen Kilewella

    Mlipuko mkubwa watokea Irani

    Mlipuko mkubwa watokea huko Iran kwenye eneo la Bandari Abbas. Vyombo vya habari vya Iran vinakadiria zaidi ya watu 406 wamejeruhiwa na mlipuko huo. Inahisiwa mlipuko huo uliotokea kwenye bandari hiyo maarufu ya Iran inawezekana umetokana ama na madawa yenye kulipuka au na vimiminika lipushi!
  7. Echolima1

    Trump awapa onyo kali Iran

    Trump kwa Ayatollah Khamenei: "Usipofanya makubaliano, kutakuwa na milipuko ya mabomu ambayo hujawahi kuona" Trump azidisha vitisho kwa Iran: "Ikiwa hautafanya makubaliano, kutakuwa na milipuko ya mabomu ambayo hujawahi kuona hapo awali"
  8. The Father of All

    Irani wamejiandaaje kukabiliana na vita na Israel baada ya Trump kushinda?

    Kwa wanaokumbuka namna Trump alivyomwambia Netanyau apige Iran's nuke sites, wanajiuliza. Sasa Trump kapenya. Nini kitafuata kama alikuwa hatishi? Je akili za Trump sawa na waliomchagua zinamtosha kuona madhara ya vita na wairani? Je Ukraine waliozoea kubebwa sasa wanajiandaa kukubaliana mbabe...
  9. Echolima1

    Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

    Israeli ilifanya mashambulizi makubwa dhidi ya Iran Jumamosi asubuhi, kama sehemu ya kisasi chake dhidi ya shambulio la kombora kutoka Tehran mapema mwezi huu. Shambulizi hilo kutoka kwa Iran linaibua hofu kwamba mzozo wa muda mrefu kati ya majeshi haya yenye nguvu unaweza kugeuka na kuwa vita...
  10. Obugwa Izoba

    Trump ataka Israel ishambulie vituo vya nuclear vya Iran

    Rais wa zamani Donald Trump alisema kuwa Israel inapaswa kulenga vituo vya nyuklia vya Iran alipokuwa akizungumza kwenye tukio la kampeni huko Fayetteville, North Carolina, siku ya Ijumaa. Matamshi ya Trump yalikuja kama majibu kwa kauli za Rais wa Marekani Joe Biden, ambaye alikuwa ameionya...
  11. Sodoku

    Makamanda watatu wa Irani wauawa

    Israel ameanza kujibu kidogo kidogo.... Tayari Makamanda watatu wa Irani wameenda Akhera. Si vibaya wameenda ku enjoy life ya huko. Mapambano bado yanaendelea. Khayatollah amefichwa sana. https://x.com/DrEliDavid/status/1841523855556268509?t=c1jUfEiQD-FrDRjcNB0F7Q&s=19
  12. E

    Umewahi jiuliza kama Israel akirusha Mabovu 200 kwenda Irani nini kitatokea ?

    Kama moja tu lilichimba mpaka handaki
  13. M

    Baada ya kuzima mashambulizi ya Irani Israel imeendelea na mshambulizi huko Lebanon

    CNN, wanarepoti kuwa Israel imeendelea kufanya mashambulizi makali ya anga usiku wa kuamkia Leo. Haya yanajili baada ya jana Iran kufanya mashambulizi kama sehemu ya onyo kwa Israel kuacha kuendelea kushambulia Lebanon na Gaza na kuua viongozi wa ngazi za juu wa vikundi hivyo. Source: CNN
  14. Kaunara

    Hii Vita ya Israeli na Irani inayoanza Ina maana Gani Kiimani?

    ISraeli amakuwa akipagana vita toka enzi na enzi na mara nyingi ameenda utumwani. Hii yote imekuwa ni kiimani sana kwamba. Israel ni Taifa Teule Mungu amelichagua hili kutoa elimu kwa watu wake. Sasa hichi kinachoendelea Kati ya Israel na Iran muda huu, kiliandikwa kitatokea? Au ni ujumbe gani...
  15. Allen Kilewella

    Msikilize Netanyahu anavyowatetea Raia wa Irani dhidi ya utawala wa Ayatollah

    Waziri Mkuu wa Israel ameongea kwa kutumia vyombo vya habari na wananchi wa kawaida wa Irani na kuwataka wananchi wa nchi hiyo kuachana ama kujitenga na utawala wa nchi hiyo. Msikilize. Benjamin Netanyahu
  16. Sodoku

    General Abbas Nilforooshan wa Irani naye ameuawa. Hassan Nasrallah hajaondoka peke yake ana wenzie wengi

    Imenisikitisha sana. Hawa Israel wanawezaje hawa Mayahudi? Hii inawezekana vipi? Putin ashawahi kusema anahisi amezungukwa na Mayahudi wengi sana kwenye Uongozi wake. Kiasi hajui yupi ni yupi Pata habari kamili. https://x.com/vcdgf555/status/1840014956416438771?t=bPdKYLq7LtQIsz-5M7226g&s=19
  17. Huihui2

    Yahya Sinwar: Huyu Ndiye Kiongozi Mpya wa Hamas

    MODS: Mumeharibu uzi wangu kwa kuchanganya na habari za uwongo. Narudia ku-post upya. Tafadhali uacheni. Yahya Sinwar ameteuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Hamas kumrithi Ismail Haniyeh aliyeuliwa majuzi akiwa Iran na mazishi yake yalifanyika Qatar. Yahya Sinwar ndiye aliyepanga na kuratibu mauaji...
  18. Mrengwa wa kulia

    Tetesi: Irani na Israel sio Maadui. Tulidanganywa

    Kuna uvumi Iran inawasaidia Israel kwa kujifanya adui wao ili awaingize mkenge adui wa kweli wa Israel, amesema Noah mahakouf Hammed wa Lebanon Ameshikilia point Tatu kwamba 1. Iran Ana play part ya kupoteza maboya kwa watu Huku Aki side na israel kwa kuvujisha Siri za kambi, Anatuhumu kwamba...
  19. Nsanzagee

    Bila Ukristo Dunia ingekalika? Mfano, Myahudi apigwe na kulemewa na Irani, Waarabu wangeandamana kupinga mauwaji ya wayahudi?

    Historia haisemi kabisa kabisa iwapo kuna taifa la Kiislamu limewahi kuandamana kupinga mauwaji ya Wakirsto na ama Wayahudi na bila shaka ni tangu Uislamu uwahi kuwepo Duniani, hii ni tofauti kabisa na Ukristo, wapo tayati kupigwa risasi na maasikari wa nchi zao kuwaandamania Waisilamu kupinga...
  20. B

    Irani na Israeli wana Undugu usioyumba, Makombora 300 ya Irani naona kama ni Propaganda

    Nimewaza Vita ya Irani na Israeli na Kituko cha Mizinga 300 kutoleta Athari Kwenye Ardhi ya Israeli. Inawezekanaje Siraha hevy za moto zaidi ya 300? Sio kwamba Irani na Israel wana lao moja? Hawa Wayahudi na Waajemi wan Undugu wa Kiroho Tangu zamani. Nikurudishe nyuma kidogo. Mambo mema...
Back
Top Bottom