Inakuwaje wanaJF!
Ni rahis sana kwa mkristo kuwa Muislam kuliko Muislam kuwa Mkristo kwasababu kwa wakristo wengi kuna uhuru na siyo kulazimishwa na hakuna kutishiwa kuuwawa kama kwa Waislam ulibadilisha dini.
Ndio maana kuna msemo wa wale waliobadilisha dini kutoka uislamu hadi Ukristo...
Israel will not tolerate an Iranian threat on its border with Syria and will do whatever is necessary to stop the terrorist regime.
====
The Israeli Air Force (IAF) on Monday night bombed targets in southern Syria, during which five were killed and several others were injured, the country’s...
Mahmoud Mousavi Majd amehukumiwa kufa kwa tuhuma za kupeleka taarifa za kiusalama za Iran kwa wamarekani na kufanikisha mpango wa kumuua Qassem Soleimani. Majd ameuawa Julai 20, kwa amri ya mahakama.
Mahakama ilisema kuwa Majd alikuwa na uhusiano na Shirika la kijasusi la kimarekani, CIA, na la...
Iranian military leaders on Friday issued fresh threats against Israel amid a series of mysterious explosions at Iranian nuclear and military sites that many believe were conducted by the Jewish state.
Brigadier General Abolfazl Shekarchi, spokesman for Iran's armed forces, lashed out at Israel...
Hii hatari sana kuwa na kinu cha nyuklia ambacho kinashambuliwa kizembe hivi, yaani ni kama huwa wanatumiwa ujumbe wa salamu, kwamba muda wowote wanaweza kusambaratishwa kwa kutumia vitu vyao wenyewe.
===
Iran is claiming a fire and possible explosion at its Natanz nuclear plant on July 2...
Milipuko hiyo inasemekana ilisababishwa na kufuja kwa gesi....
At least 19 die as huge explosion tears through buildings in Iranian capital Tehran
The explosion occurred at the Sina At'har health centre in the north of the capital
Thirteen people were initially reported dead, but that number...
Habari!
Vikosi vya usalama vya Iraq vimevamia kambi ya kundi lenye nguvu linaloungwa mkono na Iran la Kataib Hezbollah kusini mwa Baghdad na kuwakamata wanamgambo 14 sambamba na zana za kivita zikiwemo roketi, duru zimearifu.
Operesheni hiyo maalumu iliyofanyika mwishoni mwa siku ya Alhamisi...
Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Iran -Tehran, Brigadia Jenera Hossein Rahimi, amesema kuwa mmoja wa watoto hao wachanga alikuwa ni wa siku 20.Mwingine alikua na umri wa mwezi mmoja.
Watoto hao wachanga walikua tayari wamenunuliwa kwa hadi dola $500 (£400), na walikua wanauzwa tena kwa dola...
"Tunatangaza leo kwamba popote Wamarekani walipo, tuko karibu nao, na watahisi uwepo wetu hata zaidi katika siku za usoni" yalikuwa ni maneno ya mkuu wa walinzi wa maji wa Iran bw Alireza Tangsiri katika sherehe huko kusini mwa Iran.
Pia alieleza kwa msisitizo kuwa "Iran hatamwabudu adui...
| Jamhuri ya Bolivia ya Venezuela, Bolivarian Republic of Venezuela au República Bolivariana de Venezuela
Ni taifa linalopatikana bara la Amerika Kusini katika uwanda wa juu wa Caribbean, likiwa limepakana na Colombia - Magharibi, Brazil - Kusini Mashariki, Guyana - Mashariki, Trinidad na...
Hawa Iran washenzi sana aisee!
Waliwekewa vikwazo na Marekani ktk uuzaji wa mafuta, na wametakiwa wasimuuzie mafuta Venezuela.
Haitoshi wakapigwa mkwara na Trump, lakini kwa kuwa walishamjulia Trump kuwa huelewa lugha moja tu, ile ya Iraq (kutwangwa makombora ya balistiki), walimuahidi akitia...
Kila mwaka maelfu ya wa-Iran hujitokeza kwenye msafara na kupandisha mzuka huku wakifoka dhidi ya Israel, hutembea kwenye msafara wakijipiga vifua, ila mwaka huu imekua balaa, kirusi cha corona kimetuliza mizuka yote duniani.
==============
Virus Lockdown Forces Iran Into Its First Virtual...
Japo Waajemi wenyewe wanasema ilikua ajali kazini.
One Iranian warship accidentally struck another with a missile during an exercise, killing 19 sailors and wounding 15 others, Iran's navy said on Monday.
The incident took place during training in the Gulf of Oman, a sensitive waterway that...
Friday, 24 April 2020 11:24 AM [ Last Update: Friday, 24 April 2020 11:27 AM ]
Two Iranian vessels maneuver near US military ships in the Persian Gulf on April 15, 2020. (Photo via AFP)
By Stephen Lendman
The US is an unprecedented bully on the world stage,to such an extent that
it...
Marekani yaikataza IMF kutoa mkopo kwa Iran kukabiliana na COVID-19
Marekani imelizuia Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kutoa mkopo wa dharura wa dola bilioni 5 za kimarekani kwa Iran, kutokana na kile ilichosema kuwa Iran itatumia pesa hizo katika shughuli za kijeshi badala ya kukabiliana...
Ukifuatilia kwa umakini epidemiology ya ugonjwa huu haiziathiri ngozi nyeusi zilizokulia Africa zinazopambana na Virus wengi walioko kwenye Vumbi tunalokutana nalo pengine Vumbi hili lina particles ndogondgo ambazo hazitakiwi na mwili na hivyo basi kinga za miili yetu ziko stressed kuingia...
Trump ameamua kujaribu kuhamisha mjadala wa vifo vya wamarekani 5,112 waliokufa na Corona kwa kuitishia Iran.
Trump, kwenye akaunti ya tweeter amedai kuwa Iran na mawakala wake wanapanga kushambulia majeshi ya Marekani nchini Iraq
Trump ameshindwa kabisa kupambana na Corona sasa ameamua...
Iraq has condemned overnight US air strikes on Friday, with its military saying they killed six people and describing them as violation of sovereignty and a targeted aggression against the nation's regular armed forces.
President Barham Salih said such "repeated violations" could cause Iraq to...
Hatimaye leo serikali ya Iran wameipigia magoti IMF ili iwapatie fedha zaidi ya $5bil za kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona sasa sijui IMF watawapatia masharti gani.
===
The Governor of the Central Bank of Iran said he has asked the International Monetary Fund (IMF) for a $5 billion...
Naibu Waziri Iraj Harirchi ambaye amekuwa mstari wa mbele nchini humo katika kupambana na #coronavirus amegundulika kuambukizwa virusi hiyo
Msemaji wa Wizara hiyo amethibitisha hayo alipokuwa anafanya mahojiano na chaneli ya runinga ya Taifa na kusema Naibu Waziri huyo amewekwa sehemu maalumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.