Hii Dunia ina unafiki mwingi sana. Leo Israel analalamika Iran anashambulia wanawake na watoto wakati yenyewe hapo jirani Gaza imewaua maelfu ya wanawake na watoto wasiyo na hatia.
Nasema hivi Iran usipangiwe na mtu sehemu ya kupiga. Popote unapoona panafaa we tandika tu. Dawa ya mtoto mjeuri ni...
Tatizo nani wa kumwambia Israel aache sasa, yule ni kichwa cha mwenda wazimu, na sasa Iran imefaulu kuua raia wanne Israel, imezidisha hasira kwa Wayahudi.
--------------
In a call with his French counterpart Emmanuel Macron, Pezeshkian said Iran favored diplomacy, but will not “accept...
Israel pia imesema Ayatollah atapigwa muda usio mrefu....
The IDF confirmed early Sunday morning striking the Iranian Defense Ministry headquarters as well as the “headquarters of the SPND nuclear project, and additional targets.” Israeli jets also struck fuel depots in the country, the...
Tumeona kwa miaka mingi Iran akiwekeza heavily kwenye misile technology na drone technology sababu ndoto yake ni kuja kuvurumusha makomora yenye vichwa vya nyuklia tel aviv na Jerusalem, ila anachosahau ni kwamba adui yake amemzidi kwanye teknologia zote na ujasusi na ushushushu..
Hii...
Kwene vita Majeruhi wa kwanza wa vita hua ni Ukweli.
Mimi technophilic nitafanya kazi ya kuverify Ukweli na Propaganda
Unaweza tuma picha au video nikaverify
Kwa mara ya kwanza Jeshi la Israel walijaribu kutumia marubani wa kike 26 October 2024, waliweza kushambulia kambi ya jeshi la iran, kuua askari wanne na kuharibu mifumo ya ulinzi iliyojaribu kuwazuia , waliweza kufika Tehran kupiga doria na kurudi salama Israel.
Round hii wameenda wengi zaidi...
Hii sio sasa maana Usrael wanaingia na kutoka kwenye anga la Iran utadhani wanacheza game.
Mikwara yote ile tuliyokuwa tunasikia ya mifumo imara ya ulinzi wa anga imegeuka kuwa kama kituko, Hivi kweli ina make sense katika ndege zote hizi zinazokwenda kushambulia Iran hakuna hata moja...
Hii ni tamaduni ya kiarabu kuongoza kwa usaliti na unafki...Ni rahisi sana Baba wa kiarabu kumzalisha mkwe wake...
Ni rahisi sana kuwagombanisha familia za kiarabu kupitia mali...
Ndio maana uoana wenyewe kwa wenyew kwenye familia ili tu kwa ubinafsi waliona..
Ndio maana kwenye ya kiislamu...
Kwa nini Ukraine na Iran haziachawi zijiamulia mambo yake wenyewe kama kumiliki silaha za nyuklia na kujiunga na jumuiya zinazoona zina maslahi kwao kama mataifa huru?
Wadau hamjamboni nyo. te, Msemaji wa IDF: Israel imeipiga Iran bila kusimama kwa saa 40, ikijumuisha zaidi ya malengo 150 Tehran haina kinga tena , Emanuel Fabian Fuata Leo, saa 8:55 mchana Msemaji wa IDF Brig.
Jenerali Effie Defrin, katika mkutano na waandishi wa habari, anasema...
Wadau hamjamboni nyote.
Jeshi la anga la Israel ilishambulia kwa mabomu kituo cha chini cha ardhi cha Iran kilichohifadhi makumi ya makombora magharibi mwa Iran leo.
Jeshi la anga la Israel limeshambulia kwa mabomu kituo cha silaha za...
By AFPToday, 8:39 pm
French President Emmanuel Macron (L) meets with Iran's President Masoud Pezeshkian (R) on the sidelines of the 79th Session of the United Nations General Assembly at the UN headquarters in New York City on September 24, 2024. (Ludovic Marin/AFP)
Share
PARIS, France —...
Al Jazeera wanatangaza Kituo Cha gesi Cha South Pars gas kilichopo kusini mwa Jimbo la Bushehr.
Kadhalika Netanyahu ametangaza operation kubwa kuendelea dhidi ya Iran.
(Al Jazeera News 1900 hrs)
====
Israeli forces struck Phase 14 of the South Pars gas field, causing a fire in parts of the...
HAMAS, magaidi ya waislamu wasikitishwa sana na kinachofanywa kwa Iran, wasema Iran inalipa gharama kwa kusimama nao kwenye ugaidi wao dhidi ya Israel........
Hamas declared its support for Iran following Israeli strikes, saying Iran is "paying the price" for backing Palestinian resistance...
Makobaz wanazusha kwamba ndege moja ya Israel ilidunguliwa, ifahamike utaalam wa hizi ndege ni wa hali ya juu, yaani radar zenu zinagundua uwepo wa ndege kama tayari ndege imeshapita na kurusha mabomu yake, yaani mnaona uwepo wa ndege na kuanza kuhaha, kumbe ilishapita baada ya kufanya...
Jeshi la iran kwa mujibu wao limefungulia mlango wa kuzimu jana
Kwa kurusha drones za kubahatisha yaani iue yoyote
Kwa maskitiko imeua watu watatu wasio na hatia
Je hili jesh tofauti yao na magaidi wa hamas na hezbolla ni ipi?
Jeshi lenye ueledi haliwezi kurusha mabomu km kichaa huo...
Kumekucha Israel kanza kuomba nchi za Jiran zimsemeshe Iran asiwashambulie. Vichaa kweli hawa Israel wanataka Iran wasirudishe mashambulizi hahaha nadhani Israel wameisha changan'yikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.