Karibu kwenye Kutoka MAKTABA ya MOHAMED SAID PODCAST.Katika kipindi hiki tunafanya uchambuzi wa kina kuhusu mzozo unaoendelea kati ya Iran, Marekani na Israel, tukitafakari historia, siasa za kimataifa, nafasi ya dini, na athari zake kwa ulimwengu wa leo.
Tunazungumzia simulizi zinazotolewa...