Sim bado mpya kabisa
Haijatumika hata chembe
Ni dual
Line moja tigo, nyingine yoyote
Ipo Manzese Tip top
Price 70
Internet yake ni 4G
Sorry jamani ni A24 heading imenishinda ku edit
Nyumba inauzwa kibaha mailimoja karibu na kwa mkuu wa mkoa nyumba ina hati ina ukubwa wa eneo la 400 sqmtrs (20×20) bei 35,000,000/= (milioni 35) mazungumzo yapo haina udalali mimi ndio mmiliki kwa mawasiliano 0765882717
1.nyumba ipo Arusha morombo dampo kwa kaburu
2.ukubwa wa kiwanja miguu 15kwa 20
3.umbali km5 kutoka lami hati kwenye nyumba
4.ina vyumba 3, kimojawapo ni masta
5.ina jiko, sebule, umeme maji yameshalipiwa auwasa
6.haina fence
7.Document: serikali za mtaa
8.bei 35m maongezi yapo
piga/whatsapp...
Nyumba inauzwa bunju A
Ina vyumba vitatu sitting room dining room kitchen store public toilet
Uwanja ni sqm700
Inauzwa pamoja na fenicha zake ndani.
Bei 150m
0762815104
Habari Wanajamvi,
Nauza simu yangu mwenyewe ni Samsung Galaxy Note 10+. Ina mwezi mmoja tangu niinunue, ina risiti niliyonunulia na boksi lake
Bei ni laki 8.5, inapungua kidogo sana
Kwa aliye serious anifuate DM
Location, nipo Dar es salaam
Hii machine inapima mkojo maabara ni ya kisasa inatumia strips ambazo zimeundwa kwaajili ya hii machine ( strips za machine moja haziingiliani na machine nyingine kama manufacturers ni tofauti) inaprint majibu hapo hapo, hahitumii muda mwingi ukilinganisha na toleo la zamani. Ni nzuri na imara...
Hii machine inapima mkojo maabara ni ya kisasa inatumia strips ambazo zimeundwa kwaajili ya hii machine ( strips za machine moja haziingiliani na machine nyingine kama manufacturers ni tofauti) inaprint majibu hapo hapo, hahitumii muda mwingi ukilinganisha na toleo la zamani. Ni nzuri na imara...
Hii machine inapima mkojo maabara ni ya kisasa inatumia strips ambazo zimeundwa kwaajili ya hii machine (strips za machine moja haziingiliani na machine nyingine kama manufacturers ni tofauti) inaprint majibu hapo hapo, hahitumii muda mwingi ukilinganisha na toleo la zamani. Ni nzuri na imara...
Hii machine inapima mkojo maabara ni ya kisasa inatumia strips ambazo zimeundwa kwaajili ya hii machine ( strips za machine moja haziingiliani na machine nyingine kama manufacturers ni tofauti) inaprint majibu hapo hapo, hahitumii muda mwingi ukilinganisha na toleo la zamani. Ni nzuri na imara...
Habari za wakati huu;
Website Inauzwa.Ni website ya biashara ya affiliate/reseller Program.Ukinunua website utapata faida zifuatazo;
Utapata Domain name
Utaweza kuingiza kipato kwa kuuza bidhaa mbalimbali kama zilivyo katika website
Utapata mafunzo ya jinsi ya kusimamia na kuendesha biashara...
TOYOTA IST NAMBA D NZURI (Mwaka 2004)
Haina tatizo lolote, Haijafunguliwa engin
Well maintained, Full paid documents
Engine Type 2nz, Engine capacity 1290
Haijarudiwa rangi, Full aircondition
Bei 10.5million maongezi yapo
PiGa 0621604087
WhatsApp 0621604087
Call 0621604087
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.