inauzwa

  1. Zephiline F Ezekiel

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Facebook page inauzwa(12k followers)

    KUNA PAGE HAPA SINA KAZI NAYO NIPENI HELA MPIGE PESA ZA ZUCK Kama unataka ukurasa ambao una watu wengi tayari basi huu hapa nipe hela umalize kwa kuweka video 2 pekee na ukidhi masharti Haina kipengele chochote sababu mimi nina kurasa zingine hivyo kuliko kubaki na kurasa nyingi hii nimeona...
  2. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Tabata Bima

    Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Mbiu. Sifa za Nyumba: *Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga. *Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko. *Ina nafasi kubwa nje. *Ina fremu mbili nje hazijakamilika. Ukubwa wa Eneo: Sqm...
  3. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Tabata Bima

    Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Mbiu. Sifa za Nyumba: *Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga. *Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko. *Ina nafasi kubwa nje. *Ina fremu mbili nje hazijakamilika. Ukubwa wa Eneo: Sqm...
  4. Princep

    JamiiForums Tanzania Nyumba ambayo bado haijaisha inauzwa

    NYUMBA INA VYUMBA VITATU VYA KULALA KIMOJA NI MASTER BEDROOM YENYE CHUMBA CHA MAKABATI YA KUHIFADHIA NGUO. SEBULE, DINING, JIKO, STOO NA PUBLIC TOILET. INA KORIDO PANA KUELEKEA VYUMBANI. RAMANI YAKE NI NZURI NA YA KISASA. ENEO LINA UKUBWA WA 20 UPANDE WA KULIA, KUSHOTO 20, NYUMA 20 NA KWA...
  5. E

    JamiiForums Tanzania HP Probook 645 G4 inauzwa

    Nauza Laptop yangu yenye sifa zifuatazo Brand: HP Model: Probook 645 G4 Type: Office + Gaming pc Ram: 8gb Processor: AMD Ryzen 7 Pro 2.2Ghz Video Card Memory: 2gb Storage: ssd 250gb Size: 14" Ina games (Call of duty, Need for speed & PES 2020) na Engineering software. (Solidworks & Autocad)...
  6. Mwafrika mmoja

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Pikipiki mpya ya kazi unauzwa

    Pikipiki ya kazi na ya uhakika kutoka KINGLION, hii inapita popote na inafanya kazi wakati wowote. Model: 150-9AEngine Capacity: 150ccFuel consumption: 1L/55KM Ukinunua unapata usajili bure, jacket, T-shirt na Helmet 2. Piga simu au WhatsApp: 0683535699
  7. DOM_LEADER

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Gari inauzwa Mbeya mjini

    Gari aina ya crown inauzwa mbeya mjini kwa maelezo yooote,,, Call this number 0756944830 Au 0629903097..
  8. ADESIGN

    JamiiForums Tanzania Tv stand set used inauzwa

    Nauza TV stand set ambayo ina coffee table yake, ila cofee table yake imevunjika kioo cha juu tu, ni kukibadili tuu, kwahivyo nauza kwa bei nafuu, nitafte kama uko interested : 0684101707 Niko tabata kinyerezi.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Extension cable ya Mita 50 inauzwa

    Extension cable yenye urefu wa 50m Size 2.5mm Bei 120,000 tu Mawasiliano: 0621396858
  10. Biashara2000

    JamiiForums Tanzania Canon 18mm-55m lens inauzwa

    Habari zenu Canon zoom lens 18mm-55mm lens f3.5-5.6 Inauzwa. Ni mpya haijatumika maana kwenye kamera yangu baada ya kununua nili switch kwenda kwenye prime lens Bei sh 250,000. Hii inatumika kupiga picha na kushuti video. Inakaa kwenye camera canon 500D,550D, 600D Hadi 800D. Hata kwenye Nikon...
  11. Mejasoko

    JamiiForums Tanzania Photocopy machine inauzwa bei 500k, xerox 7220 mafundi mnakaribishwa

    Mazungumzo yapo changamoto ni umeme tu, mwenye uhitaki karibu inbox
  12. A

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Goba njia nne

    Nyumba Goba niwe nne Njia panda ya Tegeta A. Ukubwa wa eneo 550 square meter vyumba vinne, viwili master, sebule na jiko Tank la Maji na kisima cha Maji ya akiba, Mita 400 toka barabara ya Lami Bei 230M mazungumzo yapo Hatimiliki ipo Mawasiliano 0737148766 Karibuni
  13. M

    JamiiForums Tanzania Miti mikubwa pines inauzwa

    Kuna mashamba matatu ya miti ya Mbao jamii ya pines ( pinus patulla), miti ina umri wa miaka 12 na 13. Miti hii iko kijiji cha Chogo Mufindi, ni 100km toka Mafinga kwa njia ya Ibwanzi, au 120km toka Iringa/Mafinga. Bei ya kila eka moja ni Tsh 1,200,000/. Mashamba yanafikika kirahisi. Shamba la...
  14. K

    JamiiForums Tanzania INAUZWA IFLYTEK translator 4.0 inauzwa

    Kifaa cha kubadilisha lugha kinachotumia mfumo wa AI kinabadilisha lugha yoyote kwenda kwenye lugha yako mtu anapoongea vinatumika kwenye mikutano ya kimataifa kwa viongozi, wafanyabiashara, n.k Wanaofahamu wanajua umuhimu wake kama unaitaji nichek 0686210608 au 0748474936
  15. K

    JamiiForums Tanzania Nyumba Tanga-Kange Block 25mln inauzwa!

    Habari, nauza nyumba na Mimi ndio mhusika,ipo Tanga mjini,Kange Area block D. Nyumba ina vyumba vitatu, viwili ni self contained na cha 3 ni master bedroom,ina varandq(sitting kubwa) dinning na kitchen. Niliweka magrili na wiring baada ya ujenzi,ujenzi ulizingatia uimara kwa kuweka msingi wa...
  16. Kitomai

    JamiiForums Tanzania House4Rent House4Sale Nyumba inauzwa kariakoo

    . Ina vyumba viwili vya kulala ( kimoja kinajitoshereza), subule na jiko. Ipo ghorofa ya nne (4). Bei 65mil. Maelewano yapo. Tuwasiliane 0784225000
  17. B

    JamiiForums Tanzania Juice dispenser mitungi miwili inauzwa

    sold
  18. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Rav 4 Inauzwa Dar

    Ipo katika hali nzuri. Bei 13.5mil. kuiona tuwasiliane kwa simu 0784225000
  19. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Kuna gari aina ya Tesla inauzwa, imeingia Bongo jana

    Kama ilivyo humu jamii forum kuna Matajiri Sasa mimi kama dalali mzoefu Kuna ndinga mpya imeingia Jana aina ya Tesla inauzwa nafikiri mnajua hii gari sio Kwa ajili ya masikini Nimetoa tahadhari mapema usije ukajua IST narudia tena ni Tesla ya tajiri Elon mask sio Kwa ajili ya watu njaa njaa
  20. Tanki

    JamiiForums Tanzania ( PICHA ) Friji aina ya BOSS mpyaaa inauzwa

    Tangu itoke dukani Ina miezi minne. Na imekuwa ikitumika nyumbani. Haina hata mkwaruzo. Haina kipengere chochote. Ni milango miwili, Inapooza na kugandisha Bei 300,000 Contact : 0785214599 ( Dar es salaam - Kigogo round about )
Back
Top Bottom