inauzwa

  1. B

    DC Ubungo: Hakuna Shule inauzwa Ubungo

    Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko amekanusha taarifa zilizozua taharuki mitandaoni kwamba Shule ya Msingi ya Ubungo National Housing ambayo ni ya Serikali, imeuzwa kwa Wawekezaji. Akiongea leo November 13,2024 kwenye mahojiano maalum na Ayo TV akiwa Shuleni hapo, DC Bomboko amesema Shule...
  2. darautobroker

    Car4Sale Toyota vanguard inauzwa tsh 31.8m maongezi

    Bei/Price TSH 31.8M Call 0747 999 927 TOYOTA VANGUARD Year: 2010 Engine: 2360Cc Mileage: 79,000+ Transmission: AUTO Sport Rims Back Camera Push To Start Android Radio Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  3. M

    Nyumba inauzwa kibamba mwisho tzs. 60m...Eneo 1044 sqm

    Nyumba Inauzwa milioni 60 maongezi yapo Location📍IPO KIBAMBA NJIAPANDA YA SHULE -Nyumba ina vyumba 3 vya kulala, Vyumba viwili ni master, dinning room, sitting room, kitchen na public Toilet Nyumba ipo 3Kms kutoka morogoro rd na ipo kwenye barabara ya mtaa (Hondogo) -Plot size Sqm 1044...
  4. cacutee

    Computer4Sale HP laptop inauzwa Dar es salaaam

    Laptop used lakini bado iko kwenye hali ya upya inauzwa bei nafuu Sana. Bei 850000/= maongezi yapo. Mawasiliano 0744220051 Iko Dar es Salaam
  5. Boloyoung

    INAUZWA Popcorn Machine inauzwa

    Machine ya kutengeneza bisi popcorn machine inatumia gas inauzwa sh 500,000 inauzwa na stand yake yenye matairi free delivery 0747 367681
  6. A

    Nyumba inauzwa Madale mivumoni

    Nyumba inauzwa madale mivumoni karibu na kaseke primary school Ina eneo la ukubwa wa 487 square meters Ina vyumba 3 master na choo cha public na jiko Inatank la maji la lita 3000 Bei ni 170M Karibuni sana
  7. Christian K

    Phone4Sale Redmi Note 11 128/6GB inauzwa

    Xiaomi Redmi Note 11 Storage Gb128/6Gb Ram Camera ni balaa📸🔥🔥50MP ultra Wide /13MP Selfie Laini mbili Battery 🔋 5000MAH (Over 2 days lasting with data usage) Simu iko clean Vibaya mno imetumika miezi minne, full boxed.
  8. Jay_255

    MEZA KUBWA YA OFISINI INAUZWA

    Meza ni kubwa na inafaa kwa matumizi ya ofisi Bei 80,000 Tu ipo Tabata kwa mkuwa 0711707070
  9. 0

    Canon Rebel T2I (550D) inauzwa

    Habari Nauza kamera tajwa hapo juu. Iko katika very good condition. Nilikuwa naitumia kushuti video za kitchen parties nilizokuwa naandaa. Haijatumika muda mrefu nimenunua ya juu yake ambayo ina flip screen, kwahiyo hii nayoiuza Sina matumizi nayo. Bei sh. 680,000. Inakuja na: -Lens hood...
  10. USTADH ARABI SAIDI

    GARI TOYOTA COROLLA INAUZWA

    Toyota Corolla One Eleven 111 colour white cc1394 Engen 4E Bei Tsh 6M (Maongezi yapo kidogo) Location- Bunju, Dar es Salaam Fully Document Gari ni Manual Injini safi ni kuwasha na kuondoka Piga Simu 0684129792
  11. Jay_255

    Computer4Sale Gaming pc inauzwa ni machine haswaa

    SOLD
  12. A

    Hisense smart Tv inch 40 inauzwa

    Nauza Tv ya Hisense Smart Tv inch 40 kwa 500,000. Nakupa na Box lake kabisa. HAINA TATIZO LOLOTE. Napatikana Dar es Salaam.
  13. Wakuperuzi

    Tcl android tv inauzwa

    Nauza tcl android tv inch 43 mali safi Napatikana Banana
  14. ngoja ngoja

    TAA YA CROWN ATHLETE INAUZWA!!!

    Rejea kichwa cha habari hapo juu. Jana pasipo bahati maeneo ya posta clock tower mtaa wa indira gandi nimeigonga crown Athlete upande wa kulia taa ya nyuma. nilikua nina canter na gari imepaki karibu na kona hivyo tairi ya nyuma ikaigonga lensi ya taa hiyo wakati nakata kona. Taa ni nzima na...
  15. M

    Nyumba inauzwa milion 37 ipo kwa jeshi

    Anayetaka anicheki inbox
  16. M

    Plot4Sale House4Sale Nyumba yenye kiwanja kikubwa inauzwa Tegeta

    Nyumba yenye kiwanja kikubwa inauzwa Tegeta kama ifuatavyo; 1. Nyumba in vyumba vitano Vitatu vipo juu, kimoja ni master na viwili vipo chini na public toilet, sitting, kitchen and dining. Ipo mita 100 toka barabara ya Bagamoyo. 2. Kiwanja ni 4303 sq meter 3. Ina hati miliki. 4. Bei 900m...
  17. Princep

    NYUMBA AMBAYO BADO HAIJAISHA INAUZWA

    .
  18. B

    Laptop inauzwa dar es salaam

    Habari Laptop kali sana hii ni mpya kabisa,inakaa na charger siku 2 kutegemeana na matumizi yako, hii inafaa kwa wale wa video production,graphic,music production na ma engineer woe wa mijengo Specification zake hizi hapa Processor:- 12th gen intel (R)core (TM) i7-1255u 1.70 ghz Ram:- 8.00 GB...
  19. MSAGA SUMU

    Mzungu ameshangaa kwanini Azam energy inauzwa hadharani

    https://www.facebook.com/100003279171374/posts/8187447298041161/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
  20. L

    NYUMBA YA KISASA GOROFA MOJA INAUZWA KWA BEI NAFUU

    NYUMBA YA KISASA(HEKALU) INAUZWA. Location : Goba TAARIFA ZA NYUMBA 1) GOROFA YA JUU --- V.I.P Masterbedroom yenye ukubwa wa 30sqm na imezungukwa na balcon upande wa kulia, kushoto na upande wa kichwa. ---GYM yenye CHUMBA na CHOO ndani yake.Ukiwa unatoka nje ya Gym kuna balcon nyingine...
Back
Top Bottom