Kama ilivyo humu jamii forum kuna Matajiri Sasa mimi kama dalali mzoefu
Kuna ndinga mpya imeingia Jana aina ya Tesla inauzwa nafikiri mnajua hii gari sio Kwa ajili ya masikini
Nimetoa tahadhari mapema usije ukajua IST narudia tena ni Tesla ya tajiri Elon mask sio Kwa ajili ya watu njaa njaa
Tangu itoke dukani Ina miezi minne. Na imekuwa ikitumika nyumbani.
Haina hata mkwaruzo.
Haina kipengere chochote.
Ni milango miwili,
Inapooza na kugandisha
Bei 300,000
Contact : 0785214599
( Dar es salaam - Kigogo round about )
ENEO LINAFAA KWA APARTMENT AU MAKAZI BINAFSI
LIPO SINZA A KARIBU NA APARTMENT ZA DELINA NA KITAMBAA CHEUPE
ENEO NI SQM 356
ENEO LINA HATI PAZURI SANA KI BIASHARA
CALL 0658124288 , Kwa ajili ya kwenda kupaona na maongezi
BEI : Mil 190 na maongezi yapo kidogo .
Subwoofer mpya aina ya ALITOP inauzwa na imetumika wiki mbili tu tangu itoke dukani
Haina tatizo la aina yoyote ila nimepata dharula ndio maana nimeiweka sokoni
Subwoofer hii ni size ya kati siku kubwa sana wala sio vile vidogo hapana, ina mziki mkubwa tu na inatosha kwa matumizi ya nyumbani...
**
Nyumba inauzwa katika eneo la Ukonga, Dar es Salaam.
Ukubwa wa Kiwanja: 885 mita za mraba
Hati: Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki
Vyumba: Ina vyumba vinne vya kulala, jiko, na sebule pamoja na mahali pa kula
Ufikiaji: Nyumba inafikika kirahisi
Bei: 130mil Maelewano yapo
Kwa...
Bei ni 230k nipo dar
Problem ni hii nilinunua mwezi wa kwanza mwaka huu refub, ishu ni inapassword kwenye eufi sijui ni bios (ambayo siijui na niliponunulia warranty ni miez sita)
Ram 8GB,
Ssd 128,
Battery 3hrs
Bei maelewano
Wakuu habari,
Ndugu yangu anauza gari aina ya suzuki lihana.
Gari inapatikana maeneo ya kimara Mwisho
cc 1490
Bei ni m6 inapungua kidogo
No 0715568585
Usajili no DHD
2WD
gari ni automatic
Unaweza ukanunia simu ya bei ndefu bado usifurahie vizuri na mwingine akanunua simu ya bei rahisi akapata vingi, we kama mdau unadhani kipi cha muhimu kwenye simu kulingana na mahitajio kama kasi ya mtandao,kamera,memory,housing nk.?
Laptop Inauzwa
Ni SAMSUNG LAPTOP
RAM 4 GB
Processor 2.4GHz
HDD 360GB
Betri yake nzuri sana inakaa na chaji masaa 4
Bei ni 260,000
Location ni Dar es salaam, Mbezi mwisho.
Mawasiliano 0752026992
Bei/Price TSH 21.8M
Call 0747 999 927
TOYOTA ALPHARD(ECP)
Year: 2007
Engine: 2360Cc
Mileage: 84,000+
Transmission: AUTO
Automatic Doors
In Good Condition
Exchange Possible
Habari wakuu.
Kwa wale wahitaji WA mashine za kunolea na kukatia vyuma. Nauza benchi grinder hii kwa bei ya Shilingi 120,000/-
Ipo Dar Es Salaam ila popote inaweza kukufikia.
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.