inauzwa

  1. B

    Juice dispenser mitungi miwili inauzwa

    sold
  2. Kitomai

    Car4Sale Toyota Rav 4 Inauzwa Dar

    Ipo katika hali nzuri. Bei 13.5mil. kuiona tuwasiliane kwa simu 0784225000
  3. Scared

    Kuna gari aina ya Tesla inauzwa, imeingia Bongo jana

    Kama ilivyo humu jamii forum kuna Matajiri Sasa mimi kama dalali mzoefu Kuna ndinga mpya imeingia Jana aina ya Tesla inauzwa nafikiri mnajua hii gari sio Kwa ajili ya masikini Nimetoa tahadhari mapema usije ukajua IST narudia tena ni Tesla ya tajiri Elon mask sio Kwa ajili ya watu njaa njaa
  4. Tanki

    ( PICHA ) Friji aina ya BOSS mpyaaa inauzwa

    Tangu itoke dukani Ina miezi minne. Na imekuwa ikitumika nyumbani. Haina hata mkwaruzo. Haina kipengere chochote. Ni milango miwili, Inapooza na kugandisha Bei 300,000 Contact : 0785214599 ( Dar es salaam - Kigogo round about )
  5. Apollo tyres

    House4Sale Nyumba inauzwa ipo Sinza A karibu na apartment za Delina .

    ENEO LINAFAA KWA APARTMENT AU MAKAZI BINAFSI LIPO SINZA A KARIBU NA APARTMENT ZA DELINA NA KITAMBAA CHEUPE ENEO NI SQM 356 ENEO LINA HATI PAZURI SANA KI BIASHARA CALL 0658124288 , Kwa ajili ya kwenda kupaona na maongezi BEI : Mil 190 na maongezi yapo kidogo .
  6. Lanlady

    Inauzwa bei gani?

    Kwa anayejua bei ya hizi pikipiki na mahali zinapopatikana, anijulishe tafadhali.
  7. Zero Competition

    INAUZWA Subwoofer mpya inauzwa

    Subwoofer mpya aina ya ALITOP inauzwa na imetumika wiki mbili tu tangu itoke dukani Haina tatizo la aina yoyote ila nimepata dharula ndio maana nimeiweka sokoni Subwoofer hii ni size ya kati siku kubwa sana wala sio vile vidogo hapana, ina mziki mkubwa tu na inatosha kwa matumizi ya nyumbani...
  8. Kitomai

    House4Sale Nyumba Inauzwa - Ukonga, Dar es Salaam**

    ** Nyumba inauzwa katika eneo la Ukonga, Dar es Salaam. Ukubwa wa Kiwanja: 885 mita za mraba Hati: Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki Vyumba: Ina vyumba vinne vya kulala, jiko, na sebule pamoja na mahali pa kula Ufikiaji: Nyumba inafikika kirahisi Bei: 130mil Maelewano yapo Kwa...
  9. H

    Msaada, Nahitaji ardhi Songea ambayo haijawahi limwa

    Samahani wadau ninasikia songea Kuna ardhi haijawahi limwa na inauzwa kama Kuna mtu ana uwezo wa kunikonect naomba anisaidie nipo iringa.
  10. Binadamu Mtakatifu

    Computer inauzwa bei 230k ram 8, ssd 128

    Bei ni 230k nipo dar Problem ni hii nilinunua mwezi wa kwanza mwaka huu refub, ishu ni inapassword kwenye eufi sijui ni bios (ambayo siijui na niliponunulia warranty ni miez sita) Ram 8GB, Ssd 128, Battery 3hrs Bei maelewano
  11. Saad30

    Car4Sale Mazda Atenza inauzwa

    Mazda Atenza Turbo Year 2013 Fuel Diesel CC 2200 Price milion 25 plus registeration.
  12. vumiliag

    Car4Sale Gari aina ya Suzuki Lihana cc 1490 no DH inauzwa

    Wakuu habari, Ndugu yangu anauza gari aina ya suzuki lihana. Gari inapatikana maeneo ya kimara Mwisho cc 1490 Bei ni m6 inapungua kidogo No 0715568585 Usajili no DHD 2WD gari ni automatic
  13. tutusi27

    Wadau tuambiane hapa simu gani nzuri inauzwa kwa bei ndogo

    Unaweza ukanunia simu ya bei ndefu bado usifurahie vizuri na mwingine akanunua simu ya bei rahisi akapata vingi, we kama mdau unadhani kipi cha muhimu kwenye simu kulingana na mahitajio kama kasi ya mtandao,kamera,memory,housing nk.?
  14. Mr. Purpose

    Computer4Sale Laptop aina ya Samsung inauzwa

    Laptop Inauzwa Ni SAMSUNG LAPTOP RAM 4 GB Processor 2.4GHz HDD 360GB Betri yake nzuri sana inakaa na chaji masaa 4 Bei ni 260,000 Location ni Dar es salaam, Mbezi mwisho. Mawasiliano 0752026992
  15. K

    Dell vostro 15 5510 inauzwa 11th Gen Intel(R) Core(TM) i5-11320H @ 3.20GHz 2.50 GHz Installed RAM 8,00 GB

    Device name Dell Processor 11th Gen Intel(R) Core(TM) i5-11320H @ 3.20GHz 2.50 GHz Installed RAM 8,00 GB (7,74 GB usable) Device ID 3AB66106-97E6-4B71-83A9-AF26F47DD0D5 Product ID 00329-10380-00000-AA645 System type 64-bit operating system, x64-based processor Pen and touch...
  16. A

    TV4Sale Smart TV inch 32 inauzwa

    Habari zenu Wakuu, Nauza SmartTv ya TCL inch 32 kwa 270,000 tu! ISHAUZWA TAYARI!
  17. darautobroker

    Car4Sale Toyota Alphard namba E inauzwa bei ya kutupa kabisa

    Bei/Price TSH 21.8M Call 0747 999 927 TOYOTA ALPHARD(ECP) Year: 2007 Engine: 2360Cc Mileage: 84,000+ Transmission: AUTO Automatic Doors In Good Condition Exchange Possible
  18. D

    Bench grinder inauzwa

    Habari wakuu. Kwa wale wahitaji WA mashine za kunolea na kukatia vyuma. Nauza benchi grinder hii kwa bei ya Shilingi 120,000/- Ipo Dar Es Salaam ila popote inaweza kukufikia. Karibuni
  19. D

    Microwave inauzwa

    Habari wakuu. Microwave inauzwa. Bei 120,000/- Inapatikana Dar Es Salaam Karibuni
  20. M

    Car4Sale 2008 Honda Fit (EJW) Inauzwa TZS. 13m

    YOM: 2008 Engine Capacity: 1300cc Automatic Petrol 107,000 Kms From Japan (Imesajiliwa tarehe 18/11/2024) . Price: TZS. 13m . Call: 0717 650800
Back
Top Bottom