Wadau kwa sasa kuna dawa ambayo inapigiwa upatu kwamba inasaidia kuongeza kinga ya mwili dhidi ya corona. Ni mchanganyiko wa vyakula vya asili. Inaitwa NIMRCAF.
Kama kuna yeyote anaifahamu utuambie inapatikana wapi.
===
ZAIDI KUHUSU DAWA HII SOMA HAPA
= > NIMR yatengeneza dawa ya kupunguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.