ilani ya ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Burning Spear

    Awamu ya sita imevunja record ya kufuturisha inaonekana ni Sehemu ya ilani ya CCM

    Hello. Aisee nimejaribu kufuatiliia namn̈a viongozi wa serikali wanavyoshindana kufuturisha. Kasi imekuwa kubwa utadhani ni sehemu.ya utekelezaji wa ilani ya chama. Siyo samia siyo mwinyi na mawaziri kila mmoja anapambana kuonyesha ufundi wa kufuturisha.
  2. Mafyangula

    PostGE2025 Rais Samia: JWTZ ijiepushe na mashinikizo ya kisiasa

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuepuka mashikizo ya kisisa akieleza kuwa kuwa mshikamano kati ya uongozi wa kisiasa na uongozi wa kijeshi ni nguzo muhimu ya usalama wa Taifa, hata hivyo...
  3. McLaren

    PostGE2025 Kitila Mkumbo akabidhi mashine za cherehani kwa mafundi huko Manzese. Hiki nacho ni kitu cha kutangaza kwenye media?

    Mbunge wa Jimbo la Ubungo ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Professa Kitila Mkumbo (CCM) leo Novemba 22, 2025 ametimiza ahadi ya kukabidhi mashine za kushonea(cherehani) nne kwa mafundi waliopo mtaa wa Mwembeni, Kata ya Manzesse, jimbo la Ubungo. Kitila...
  4. Pascal Mayalla

    PPR Vox Pop: Mwandishi na Mhariri Nguli Absolom Kibanda, Anazungumzia Ilani ya CCM, Kuhuisha Katiba Mpya ni Kubwa!.

    Wanabodi Nazungumza na Mhariri Waandamizi Absolom Kibanda akizungumzia ilani ya CCM. https://youtu.be/8BSHw4ZM7A8?si=Juc7jONBbKGtmz3b Karibu Paskali
  5. R

    GE2025 Mgombea ubunge Mkinga, Twaha Mwakioja: Natambua hakuna umeme, kama Ilani ya CCM inavyoelekeza ndani ya miezi 3 tutawasha umeme

    Mgombea ubunge wa Mkinga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Twaha Mwakioja amewaahidi wananchi iwapo wakimpa ridhaa ya kuliongoza jimbo hilo, atatatua kero ya umeme kwa baadhi ya vijiji ndani ya miezi mitatu Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika kata ya Mayomboni wilayani...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mkuu wa Wilaya ya Ilala: Kiongozi wa serikali, unasimamia utekelezaji wa ilani ya CCM

    Mkuu wa Wilaya ya Ilala na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wilayani humo, Edward Mpogolo, amesema kiongozi wa serikali hawezi kutenganishwa na utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa ndiyo msingi wa kazi alizopewa kusimamia. “Wewe ni kiongozi wa serikali, unasimamia...
  7. Sifi Leo

    GE2025 Ilani ya CCM inasemaje kuhusu utekwaji na kuuliwa kwa watanzania?

    Mh Rais Samia ilani ya ccm inasemaje kuhusu utekwaji na kuuwa kwa vijana wa kitanzania? Lejea mdude, SOKA shyrose na wenzake? Je vijana msio na ajira mtampa ajira Samia Suluhu hassani?
  8. R

    GE2025 Prof. Kitila Mkumbo: Ilani ya CCM inakemea Utekaji

    Akiwa katika mahojiano ya kipindi cha Dakika 45 ITV Septema 8, 2025, Professor Kitila Mkumbo alisema haya kuhusu suala la utekaji na ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) "ilani ya CCM ina vipaumbele tisa, kwa mfano kipaumbele cha sita ni kudumisha demokrasia na utawala bora, hapa tunazungumzia...
  9. Magufuli 05

    Hebu tuulizane,nyie mnaona kipi Cha maana kwenye Ilani ya CCM ya 2025-30 ambacho walau tunaweza shindana na nchi zilizotangulia?

    Wenye akili tu. Nyie mnaona kipi Cha maana kwenye Ilani hii? Machawa na wanufaika wa mfumo wao kazi yao ni kuimba tu mitano tena. Lakini ni kipi Cha maana ambacho tunakwenda ku present katika Dunia hii ya ushindani wa kiuchumi walau tuiweke nchi kwenye ramani? Ilani iliyopita ilikuwa na vitu...
  10. chuchu2020

    MBIO ZA KUINADI ILANI YA CCM BUKOMBE KUANZA SEPTEMBA MBILI

  11. Waufukweni

    GE2025 Nasra Ramadhan: Ilani ya CCM 2025/30 itaipeleka Dar kuwa kama New York, vijana wamechagua 'Future bila Stress'

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Nasra Mohamed Ramadhan, amesema Ilani ya CCM ya mwaka 2025/30 itaipeleka Dar kuwa kama New York, akisisitiza Vijana wamechagua 'Future bila Stress' katika uzinduzi wa Kijani Chat Bot uliofanyika leo Agosti 25, 2025 jijini Dar es...
  12. Parabolic

    Msauni aeleza utekelezaji wa Ilani ya CCM jimbo la Kikwajuni

    Waziri wa kuwa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) na Mbunge wa Kikwajuni Zanzibar, Hamad Yusuf Masauni ameeleza mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha miaka mitano (2020- 2025) katika jimbo hilo akiwashukuru wapiga kura wake.
  13. Echisute

    Kutumia katiba na ilani ya CCM kumepelekea wananchi wa Tanzania kudumazwa kiakili, kifikra, kiroho na kimwili

    Hii ni kwa great thinkers tu. Habari zenu na poleni pia kwa majukumu. Kama mada inavyojieleza naomba tujadili wadau. Mimi naona mfumo wa elimu yetu baada ya uhuru haujaleta tija yoyote katika umma wa kitanzania ukilinganisha na mfumo wa elimu uliokuwepo kabla ya uhuru. Naomba tujadili kwa...
  14. Prof_Adventure_guide

    PreGE2025 Je, Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020–2025 Unathibitisha Uwajibikaji wa Kisera au Ni Taswira ya Uongo wa Kimuundo kwa Umma wa Watanzania?

    0-0Wapambe wa demokrasia, kwenye Ilani ya CCM ya 2020–2025 kulikuwapo kipengele kilidhamiria kuunda ajira milioni 7 kwa vijana kupitia empowerment, training na access to low‑interest loans  lakini hadi sasa, yawapo jobless wengi; young people wengi bado hawajafikiwa. 209-1Zaidi, kulikuwapo...
  15. MANKA MUSA

    Ilani ya CCM ndio mkombozi wa kilimo Tanzania

    🔰ILANI YA CCM NDIO MKOMBOZI WA KILIMO TANZANIA Utekelezaji wa ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Sura ya pili ibara ya 2.1.3.1 kwenye eneo la Kilimo cha umwagiliaji, Eneo la umwagiliaji limeongezwa kutoka hekta 561,383 mwaka 2020 hadi hekta 983,466.06 mwaka 2024. Lakini ilani ya CCM ya mwaka...
  16. R

    PreGE2025 Waziri wa Uchukuzi Makame Mbarawa awasilisha Ripoti ya utekelezaji wa ilani ya CCM Jimbo la Mkoani Pemba, zaidi ya Millioni 800 zimetumika miaka 5

    Waziri wa Uchukuzi Makame Mbarawa awasilisha ripoti maalumu ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM kwa miaka mitano jimbo la Mkoani Pemba Akiongea na Viongozi pamoja na wanachama mbalimbali wa chama hicho Prof Mbarawa amebainisha namna alivyofanya jitihada za ziada kwa kutafuta pesa...
  17. Stephano Mgendanyi

    Edward Lekaita: Tumeenda Zaidi ya Tulichoahidi Kwenye Ilani ya CCM 2020 - 2025

    EDWARD LEKAITA: TUMEENDA ZAIDI YA TULICHOAHIDI KWENYE ILANI YA CCM 2020 - 2025 Mbunge wa Jimbo la Kiteto mkoani Manyara, Edward Ole Lekaita amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kishindo, ambapo utekelezaji huo umetikisa katika majimbo yote...
  18. R

    PreGE2025 CCM Iringa Yasisitiza Ubunifu kwa Viongozi na Kutekeleza Ilani ya Chama

    Viongozi wamehasishwa kuwa wabunifu na wenye kujiongeza zaidi katika kutekeleza ilani ya chama cha Mapinduzi === Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Iringa, Fadhili Ngajilo, amewahamasisha wananchi kujiandaa kwa uchaguzi kwa kuchagua viongozi bora watakaowaletea maendeleo. “Wananchi...
  19. McLaren

    PreGE2025 Kipengele cha Ilani ya CCM kutaka kutunza bahari na mazingira kwa kufunga rada 5 ifikapo mwaka 2030 ni hakina ulazima na hakitekelezeki

    Wakuu, Nilikuwa napitia hii ilani ya CCM ambayo waliizindua huko Dodoma hivi karibuni. "Kuimarisha ulinzi wa Bahari dhidi ya matumizi yasiyosahihi na usalama wa nchi kwa kufunga rada tano (5) pamoja na vifaa vya uangalizi" Kuna kitu ambacho hawa CCM wameahidi naona kama hakitelezeki. Kwenye...
  20. M

    PreGE2025 Mapendekezo kuhusu utekelezaji wa ilani ya CCM- 2025-2030

    Salam sana wana jamvi, Awali ya yote nawasalimu Watanzania wenzangu kwa kupitia jukwaa hili. Nikiwa ni mpenzi wa kufuatilia sisasa za Tanzania, hususani vipindi vya uchaguzi kwa kweli naona kuna mengi ambayo kila chama cha siasa kinayafanya kwa lengo la kupata madaraka/ kuunda serikali kupitia...
Back
Top Bottom