ilani ya ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Cyprian Musiba: Mpina anatekeleza Ilani ya CCM, kuna wahuni ndani ya CCM na serikali

    Mwanaharakati Cyprian Musiba amedai kuwa kuna watu wasiokuwa na nia njema ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikalini, akiwataja kama "wahuni." Musiba ameongeza kuwa mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, amejitokeza kama mkosoaji ndani ya Serikali, akisisitiza kuwa si lazima wakosoaji wote watoke...
  2. L

    PreGE2025 William Lukuvi Akoshwa Na Uchapakazi wa Rais Samia. Ataka Apewe Mama Kuongoza Hadi 2035

    Ndugu zangu Watanzania, Mheshimiwa William Lukuvi Amekoshwa na uchapa kazi wa Rais Samia katika utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM pamoja na kasi ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Ambapo Mheshimiwa Lukuvi ambaye awali alikuwa mshauri wa Rais wetu Mpendwa katika masuala...
  3. Mindyou

    PreGE2025 Kwanini vyama vya siasa kila siku ni katiba mpya na ununuzi wa ndege? Athari za mabadiliko ya nchi kwanini hamzipi vipaumbele?

    Wanabodi, Uchaguzi umekaribia. Tunajua CHADEMA watakuja na sera zao Katiba mpya meanwhile CCM watakuja na sera zao za jinsi walivyonunua madege, kujenga flyover na SGR. Lakini kwanini, vyama hivi havizungumzii kuhusu masuala ya utunzaji wa mazingira na mabadiliko ya tabia ya nchi hasa katika...
  4. B

    Ridhiwani Kikwete ashiriki ziara ya Katibu Mkuu wazazi- Bagamoyo, aeleza utekelezaji wa Ilani ya CCM na ushiriki uchaguzi Serikali za mitaa

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze lililopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani ameshiriki kupokea Ugeni wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Cde Ally Salum Hapi katika wilaya ya Bagamoyo...
  5. Y

    Jinsi Rais Samia anavyoitekeleza sura ya tano ya ilani ya ccm 2020-2025, Ukurasa wa 155

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Sura ya tano ya ilani ya chama cha mapinduzi 2020-2025 imeeleza, kwanza mafanikio iliyoyapata katika sekta ya ulinzi na usalama katika awamu ya utekelezaji iliyopita, kisha ikaeleza ni mambo gani itayafanya katika sekta hiyo ikiwa chama...
  6. Chagu wa Malunde

    PreGE2025 Wapinzani msipotoshe umma wa Watanzania. Rais Samia hafanyi kampeni kwenye ziara zake bali anakagua utekelezaji wa ilani ya CCM.

    Ni msingi wa katiba yetu ya JMT kuwa chama tawala kitapokuwa madarakani kilazazimika kutekeleza ilani yake kilichoinadi kipindi cha uchaguzi. Rais Samia sasa hivi yupo madarakani? Mlitarajia nini? Asifanye ziara kungalia miradi inayotekelezwa na chama chake? Bahati nzuri anagusa kila kona...
  7. peno hasegawa

    PreGE2025 Ilani ya CCM ya 2020-2025 ina viporo vingi, vimalizike kwanza kabla ya kuandaa ilani ya mwaka 2025- 2030

    Mambo ambayo hayajafanyiwa kazi katika ilani ya CCM ya miaka 2020 hadi 2025. Ni muhimu ili ilani mpya ya 2025 hadi 2030 iweze kutekelezwa vizuri. Herehapa mapendekezo yangu: 1. Ujenzi wa barabara: - Jiandae kwa utekelezaji wa mradi wa kujenga barabara ya lami kutoka Geita hadi Kahama kupitia...
  8. VUTA-NKUVUTE

    PreGE2025 Kumekucha CCM: Nape na Makamba 'waula', walitumbuliwa ili kutambuliwa

    Haya ndiyo mambo ya kutumbuliwa ili kutambuliwa. Mawaziri wa zamani Nape Nnauye na January Makamba wamejumuishwa kwenye Kikosi Maalum cha CCM kinachoandaa Ilani ya CCM ya mwaka 2025 hadi 2030. Kikosi hicho kinaongozwa na komredi Stephen Wassira. Nyaraka za kichama zinaonesha kuwa Nape na...
  9. instanbul

    PreGE2025 Nitawashangaa CCM mkiruhusu Serikali hii iendelee mpaka 2030. Hata 30% ya ilani 2020-2025 haijatekelezwa!

    Habari zenu. Mimi sio mwanasiasa lakini leo kama mtanzania mpenda maendeleo nilidownload ilani ya CCM 2020-2025. Ili walau nipate hope na serikali ya Sasa na kama kweli wanatimiza walichoahidi mwaka 2020 kuelekea 2025. Aisee nimesikitika sana. Kwa hali hii hatuendi popote kama nchi...
  10. ChoiceVariable

    Kassim Majaliwa: Rais Samia ni kinara wa kutekeleza Ilani ya CCM

    Bwana Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais Samia ni mfano wa kupigwa na kinara wa utekelezwaji wa Ilani. My Take Samia amemwaga mabilioni Nchi nzima Kila sekta haijawahi tokea Kwa Rais yeyote kabla yake tena Kwa mda mfupi sana. ==== Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu...
Back
Top Bottom