igunga

Igunga is one of the seven districts of the Tabora Region of Tanzania. It is bordered to the north by the Shinyanga Region, to the east by the Singida Region, to the south by the Uyui District and to the west by the Nzega District. Its administrative seat is the town of Igunga. Igunga is now divided by two Constituencys: Igunga Constituency and Manonga Constituency, whereby Manonga town is Choma Chankola.
According to the 2002 Tanzania National Census, the population of the Igunga District was 325,547. [1].
According to the 2012 Tanzania National Census, the population of Igunga District was 399,727.

View More On Wikipedia.org
  1. John Haramba

    Mwanamke auawa Tabora, mwili wake watupwa shambani

    Mkazi wa Mtaa wa Kamando Kata ya Igunga Mjini, Wilaya ya Igunga, Veronica Jackson Juma (26) ameuawa na watu wasiojulikana na mwili wake kutupwa kwenye shamba la mahindi. Mwili huo umekutwa umefungwa kamba kwenye mikono na mdomo kuzibwa na kipande cha nguo. Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa...
  2. Mpekuzi Tanzania

    Mbunge wa Igunga na falsafa ya kazi na maendeleo

    IGUNGA: KAZI NA MAENDELEO Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe Nicholaus George Ngassa, ameungana na Wananchi na Mafundi kushiriki ujenzi wa vyumba vya madarasa vya Shule za Sekondari. Serikali imelipatia Jimbo la Igunga Shilingi Milioni Mia Nane na Themanini (Tshs 880,000,000) kwa ajili ya ujenzi wa...
  3. J

    Mwalimu Mkuu shule ya msingi Maweni wilayani Igunga anakaa kwenye nyumba ya "mbavu za mbwa" (miti na udongo)

    Mwalimu mkuu shule ya msingi Maweni huko Igunga ambaye ni mwanamke anaishi kwenye nyumba ya udongo na miti kwa miaka kumi sasa. Mwalimu huyo amesema nyumba hiyo inavuja kila mahali hivyo wakati wa masika anakuwa kama analala chini ya mti. Source: ITV habari za saa My take: Mwigullu Nchemba...
  4. B

    GE2010 Chimbuko la Dowans/Richmond na uchaguzi wa Igunga

    Hukumu ya Dowans imetoka wakati Muafaka ambao kampeni za mwisho zinafanyika igunga, Wapiga kura wa igunga tambueni kuwa ubovu na ufisadi wa CCM na Rostam Azizi ndio uliopelekea taifa hili lilazimike kulipa mabilioni haya, Tarehe 2 October iwe siku ya kuwapa Chadema ushindi ili kuowaongezea nguvu...
Back
Top Bottom