Mpekuzi Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 435
- 613
IGUNGA: KAZI NA MAENDELEO
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe Nicholaus George Ngassa, ameungana na Wananchi na Mafundi kushiriki ujenzi wa vyumba vya madarasa vya Shule za Sekondari.
Serikali imelipatia Jimbo la Igunga Shilingi Milioni Mia Nane na Themanini (Tshs 880,000,000) kwa ajili ya ujenzi wa Vyumba vya Madarasa Arobaini na Nne.
#KaziNaMaendeleo
#KaziIendele
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe Nicholaus George Ngassa, ameungana na Wananchi na Mafundi kushiriki ujenzi wa vyumba vya madarasa vya Shule za Sekondari.
Serikali imelipatia Jimbo la Igunga Shilingi Milioni Mia Nane na Themanini (Tshs 880,000,000) kwa ajili ya ujenzi wa Vyumba vya Madarasa Arobaini na Nne.
#KaziNaMaendeleo
#KaziIendele