johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Mwalimu mkuu shule ya msingi Maweni huko Igunga ambaye ni mwanamke anaishi kwenye nyumba ya udongo na miti kwa miaka kumi sasa.
Mwalimu huyo amesema nyumba hiyo inavuja kila mahali hivyo wakati wa masika anakuwa kama analala chini ya mti.
Source: ITV habari za saa
My take: Mwigullu Nchemba iangalie maweni P/school kwa jicho la tozo.
Mwalimu huyo amesema nyumba hiyo inavuja kila mahali hivyo wakati wa masika anakuwa kama analala chini ya mti.
Source: ITV habari za saa
My take: Mwigullu Nchemba iangalie maweni P/school kwa jicho la tozo.