Mpekuzi Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 581
- 894
SHAKA APOKELEWA IGUNGA KWA NDELEMO NA VIFIJO.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka H. Shaka (MNEC) akiwa ameambatana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Gilbert Kalima (MNEC) wameanza ziara ya kikazi Wilaya ya Igunga kwa ajili ya kufuatilia utekekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya Mwaka 2020 - 2025.
Nd. Shaka H. Shaka (MNEC) na Ndg. Gilbert Kalima (MNEC) wamepokelewa na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa, Mbunge wa Jimbo la Manonga Mhe. Seif K. Gulamali, Mkuu wa Wilaya ya Igunga, Waheshimiwa Madiwani, Makamisaa wa Chama, Makada, Wanachama wa CCM na Wananchi.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka H. Shaka (MNEC) akiwa ameambatana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Gilbert Kalima (MNEC) wameanza ziara ya kikazi Wilaya ya Igunga kwa ajili ya kufuatilia utekekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya Mwaka 2020 - 2025.
Nd. Shaka H. Shaka (MNEC) na Ndg. Gilbert Kalima (MNEC) wamepokelewa na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa, Mbunge wa Jimbo la Manonga Mhe. Seif K. Gulamali, Mkuu wa Wilaya ya Igunga, Waheshimiwa Madiwani, Makamisaa wa Chama, Makada, Wanachama wa CCM na Wananchi.