iebc

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Upinzani waitaka IEBC iachane na teknolojia ya Smartmatic kabla ya uchaguzi wa mwaka 2027

    Viongozi wa Upinzani Wote wametaka Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) iachane kabisa na teknolojia ya Smartmatic kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027. Viongozi hao, wakiwemo Kalonzo Musyoka wa Wiper Patriotic Front, Justin Muturi wa DP, na Eugene Wamalwa wa DAP-K, pia waliwaomba Mahakama...
  2. Waziri Mayai Wa Maradhi

    Why Should You Register As A Voter Today?

    It gives you an opportunity to vote and elect leaders of your choice. It allows you to vie for any elective position It allows you to propose or second your preferred candidate for nomination It gives you the right to nominate candidates for elections It gives you moral authority to hold leaders...
  3. Waziri Mayai Wa Maradhi

    When can someone be denied registration as a voter in Kenya?

    When you're younger than eighteen. When you don't have a valid Kenyan passport or the original ID card. When, over the previous five years, you were alleged to have committed any election offence or found guilty by an election court. If you are deemed mentally incompetent by a competent court.
  4. Waziri Mayai Wa Maradhi

    How to Register As A Voter In Kenya

    An eligible voter must present himself or herself to the registration officer with his/her original identification documents at the designated registration centre during working hours. The applicant fills the Application for Registration form (Form A) Registered voters will be issued with a...
  5. R

    Umoja wa Upinzani yatoa Madai 21 dhidi ya Tume ya Uchaguzi (IEBC) kwa kukiuka katiba kabla ya uchaguzi

    Upinzani Umeungana umetuma orodha ya madai kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), wakidai kuwa tume hiyo imekiuka masharti ya Katiba. Kupitia barua yao, upinzani umesema kuwa kufichua taarifa hizo ni muhimu ili kuhakikisha IEBC inatekeleza wajibu wake ipasavyo na kuimarisha haki ya uchaguzi...
  6. W

    Mahakama Kuu yakataa kumshikilia Rais Ruto na maafisa wengine wa serikali kwa kudharau mahakama kuhusiana na uteuzi wa wajumbe wa IEBC

    Mahakama Kuu imekataa kushughulikia ombi la mdomo lililotaka Rais na maafisa wengine wa serikali watangazwe kuwa wameidharau mahakama kutokana na uteuzi wa wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), licha ya amri za awali za mahakama kusitisha mchakato huo. Katika uamuzi uliotolewa...
  7. Mkalukungone Mwamba

    Rais Ruto ateua Mwenyekiti mpya wa Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi (IEBC) pamoja na Kamishina wapya

    Rais William Ruto ameteua rasmi Erastus Edung Ethekon kuwa Mwenyekiti mpya wa Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi (IEBC). Uteuzi huu umefanyika kupitia Tangazo la Serikali (Gazette Notice No. 7724) lililotolewa tarehe 10 Juni 2025, na umefuatiana na uteuzi wa maafisa sita wa IEBC kupitia Tangazo la...
  8. R

    Pamoja na mchakato kuwapata wagombea wa IEBC kufanyiwa televised Interview, Wakenya hawaitaki, hawana Imani nayo kuwa Uteuzi wa Ruto uko biased

    1. Walitangaza nafasi, wakaomba watu.wengi , wakawa shortlisted??? 2. Wakafanyiwa Interview ya wazi, televised kila Mkenya anaona na kusikia 3. Wanampelekea Rais kati ya majina 5???? ateue mmoja Mweyekiti na commissioners wengine, bado wanasema ameteue kutoka kwao! SISI HAPA SAMIA ANATEUA...
  9. W

    Aliyekuwa mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi na mipaka (IEBC) Wafula Chebukati amelazwa ICU

    Vyanzo vya taarifa nchini Kenya vinaeleza kuwa Wafula Chebukati yupo mahututi na amelezwa ICU == Familia ya Mwenyekiti mstaafu wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati imethibitisha kuwa amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi ICU katika hospitali moja ya Nairobi. Bw...
  10. M

    Jopo la kamati ya uteuzi wa Tume ya uchaguzi na Mipaka ya Kenya IEBC waapishwa

    Tujiulize wa jumbe wa Tume yetu ya Uchaguzi wanapatikana vipi? Wenzetu wapo mbali sana.
  11. BARD AI

    Bunge la Kenya lapokea hoja ya kuwaondoa kazini Maafisa wa IEBC waliokataa ushindi wa Rais Ruto

    Bunge la Kitaifa limethibitisha kupokea mapingamizi 4 ya kuwafuta kazi Maafisa 4 wa Tume Huru ya Uchaguzi waliodai Matokeo ya Urais hayakuwa halali. Makamu Mwenyekiti wa Tume, Juliana Cherera, na Makamishna Francis Wanderi, Justus Nyang’aya na Irene Masit walipinga matokeo yaliyotangazwa na...
  12. Influenza

    President Ruto gazettes vacancies for IEBC Chair, 2 commissioners

    President William Ruto has gazetted three vacancies available at the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC); Chairperson and two other commissioners. This follows lapse of the tenure of IEBC Chair Wafula Chebukati as well as Commissioners Abdi Yakub Guliye and Molu Boya on 17th...
  13. Chachu Ombara

    Mke wa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuwa Katibu Mkuu?

    Mary Chebukati, mke wa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati, ni mmoja wa watu 477 ambao wameorodheshwa kwa nyadhifa 49 za Makatibu Wakuu (PS) na Tume ya Utumishi wa Umma (PSC). Baadhi ya Makatibu Wakuu waliohudumu chini ya utawala wa Rais wa zamani Uhuru...
  14. BARD AI

    Chebukati: Mahakama ya Juu imethibitisha Haki Yetu

    Baada ya Rais Mteule William Ruto kuzungumza na wanahabari muda mchache uliopita, Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) anazungumza na wanahabari muda huu Fuatilia hapa sasa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imesema hukumu ya Mahakama ya Juu ni ushahidi kwamba mchakato wa...
  15. Jerlamarel

    IEBC: Jinsi tulivyohakikisha mfumo wetu una ulinzi wa kutodukuliwa

    Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetoa mchanganuo wa kina wa hatua ilizoweka ili kuhakikisha kuwa mifumo yake ililindwa dhidi ya wadukuzi na watu ambao hawajaidhinishwa. Katika majibu iliyowasilisha kwa Mahakama ya Juu Jumamosi, Agosti 27, IEBC kupitia mawakili wake ilishikilia kuwa...
  16. BARD AI

    Kenya2022 Tume ya Uchaguzi IEBC yamshutumu Raila Odinga kughushi nyaraka za ushahidi

    Wakili wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Mahat Somane, amesema kiongozi wa Azimio, Raila Odinga ameghushi nyaraka za ushahidi alizowasilisha mbele ya Mahakama Kuu katika ombi lake la Kupinga Matokeo ya Urais Katika mawasilisho yake leo Septemba 1,2022 Wakili Somane aliitaka Mahakama Kuu...
  17. BARD AI

    Kenya2022 Mahakama Kuu yamruhusu Odinga kukagua mifumo ya kuhifadhi taarifa za Uchaguzi ya IEBC

    Mahakama Kuu imeamuru Tume ya Uchaguzi IEBC kumpa Mgombea Urais Raila Odinga idhini ya kuzipitia na kuangalia Server zote za Kituo cha Taifa cha Kujumlisha Kura za Uchaguzi Mkuu. Pia Mahakama iliagiza Tume kumpa masanduku ya Kura kutoka vituo mbalimbali yafunguliwe kwa ajili ya ukaguzi...
  18. Lady Whistledown

    Kenya2022 Chaguzi zilizoahirishwa Agosti 9 kufanyika leo

    Upigaji kura katika uchaguzi mdogo umeanza baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kusitisha zoezi hilo Agosti 9 kufuatia mkanganyiko wa vifaa vya kupigia kura Uchaguzi wa Ugavana unaendelea Mombasa na Kakamega, wa Wabunge katika Majimbo ya Kitui Vijijini, Kacheliba, Pokot Kusini na...
  19. The Palm Beach

    Video: Tathmini ya Tundu Lissu ya Uchaguzi mkuu Kenya Agost 9, 2022; Ausifu na kueleza aliyoyaona na ambayo hakuyaona yakifanywa na tume - IEBC

    Niseme nini hasa? Tundu Lissu ni miongoni mwa wanaharakati, wanasheria na wanasiasa brilliant wanaojua kuelezea jambo kwa lugha rahisi, iliyonyooka na kueleweka na yeyote... Ni wazi kuwa huyu jamaa kasoma kweli na ameelimika pia na anajua mambo mengi sana... Hapa anaeleza maoni na mtazamo...
  20. B

    Ya NEC, ZEC au Jecha si ndiyo haya ya IEBC?

    Hizi ndiyo zile nchi sasa akiziita Trump lile jina letu pendwa. Mola akawalinde ma commissioner hawa waliosimama imara na katiba ya nchi. Yale yale ya kura pigeni mnakotaka ila washindi tutatangazwa sisi. "Chebukati names top govt officials who wanted to influence Presidential results...
Back
Top Bottom