idara ya afya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    DOKEZO Usumbufu wa kupata likizo HAI DC hasa idara ya Afya

    Naomba muongozo wa likizo kwa mtumishi wa umma umekaaje. Ni haki mtumishi kufutiwa likizo yake ya mwaka? Maana nimefanya kazi miezi 12 bila likizo nimehamia kutoka halmshauri nyingine ambako nilikuwa nachukua likizo zangu Desemba, nimefika huku wanasema mwezi huu hawaruhusu likizo na kunitaka...
  2. COARTEM

    Rais, Idara ya Afya OR-TAMISEMI ihamishie Wizara ya Afya chini ya Mganga Mkuu wa Serikali ili kuongeza Uwajibikaji, utakuja nishukuru baadae

    Lengo la Serikali kufanya ugatuaji wa Madaraka lilikuwa bora sana na kila mtu analipongeza. Kwa sasa mambo yanavyokwenda SEKTA ya Afya ni kama kuna Wizara Mbili tofauti za Afya, yaani WIZARA MAMA YA AFYA (MOH) na WIZARA NDOGO YA AFYA (Idara ya Afya OR-TAMISEMI). Ukienda Halmashauri na Mikoani...
  3. ManoWise

    SoC01 Afya-Rafiki yetu anaweza kuwa adui yetu mkubwa

    Karibu katika andiko hili la afya lenye kuelezea jinsi rafiki wa afya zetu anaweza kuwa adui mkubwa wa afya zetu. Je, ulishawahi kusikia juu ya usugu wa vimelea dhidi ya dawa ? Kama ulishawahi kusikia ama hujawahi ungana nami tujifunze zaidi. Usugu wa vimelea dhidi ya dawa ni Hali ya dawa...
  4. The wave

    Watumishi wengi wa Idara ya Afya Wilaya ya Magu hatujapanda madaraja

    Wapendwa nisalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano. Hapa Magu tumesumbuliwa sana na makatibu wa afya, tumejaza OPRAS mara mbilimbili, tukaombwa barua za ajira, za kuthibitishwa kazini na za kupanda madaraja kwa Mara ya mwisho. Vyote hivyo tuliwakabidhi, mwezi huu umepita patupu kwa wengi wetu...
  5. J

    Idara ya Afya Wilaya ya Sengerema imeshindwa kuweka watumishi zaidi ya 50 kwenye orodha ya kupanda madaraja

    Kiukweli ni hali ya kusikitisha sana idara ya afya kushindwa kuwaweka kwenye orodha ya watumishi wanaopaswa kupanda daraja zaid ya watu 50. Dhahama hii imewakumbuka baadhi watumishi wengi walioajiriwa kuanzia miaka ya 2015 na kurudi nyuma. Katika kufuatilia kwangu nimeona watumishi hawa sifa...
Back
Top Bottom