huawei

Huawei Technologies Co., Ltd. (; Chinese: 华为; pinyin: Huáwèi) is a Chinese multinational technology company. It provides telecommunications equipment and sells consumer electronics, smartphones and is headquartered in Shenzhen, Guangdong.
The company was founded in 1987 by Ren Zhengfei. Initially focused on manufacturing phone switches, Huawei has expanded its business to include building telecommunications networks, providing operational and consulting services and equipment to enterprises inside and outside of China, and manufacturing communications devices for the consumer market. Huawei has over 194,000 employees as of December 2019.Huawei has deployed its products and services in more than 170 countries. Huawei overtook Ericsson in 2012 as the largest telecommunications-equipment manufacturer in the world, and overtook Apple in 2018 as the second-largest manufacturer of smartphones in the world, behind Samsung Electronics. In December 2019, Huawei reported that its annual revenue had risen to US$121.72 billion in 2019.Although successful internationally, Huawei has faced difficulties in some markets, due to claims of undue state support and cybersecurity concerns—primarily from the United States government—that Huawei's infrastructure equipment may enable surveillance by the Chinese government. With the development of 5G wireless networks, there have been calls from the U.S. to prevent the use of products by Huawei or fellow Chinese telecommunications company ZTE by the U.S. and its allies. Huawei has argued that its products posed "no greater cybersecurity risk" than those of any other vendor and that there is no evidence of the U.S. espionage claims. Nonetheless, Huawei pulled out of the U.S. consumer market in 2018, after these concerns affected the ability to market their consumer products there. Questions regarding Huawei's ownership and control as well as concerns regarding the extent of state support also remain.In the midst of an ongoing trade war between China and the United States, Huawei was restricted from doing commerce with U.S. companies due to alleged previous willful violations of U.S. sanctions against Iran. On 29 June 2019, U.S. President Donald Trump reached an agreement to resume trade talks with China and announced that he would ease the aforementioned sanctions on Huawei. Huawei cut 600 jobs at its Santa Clara research center in June, and in December 2019 founder Ren Zhengfei said it was moving the center to Canada because the restrictions would block them from interacting with US employees.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    TSMC: Hatutapokea ombi lolote kutoka Huawei kununua processor zetu kuanzia September 14, 2020

    Kampuni ya kutengeneza processor za simu za kiwango cha juu ya Taiwani, Taiwanese Semiconductor Manufacturing Company au TSMC imesema haitapoea ombi lolote wa kuiuzia processor zake kampuni ya Huawei kuanzia September 14, 2020 ili kutokumbana na vikwazo vya Marekani. Marekani imezuia kampuni...
  2. T

    Taiwan yaungana na Marekani, yadai Huawei ni kirusi cha kichina, Trojan Horse, yadai wao walishaipiga marufuku toka 4G inaanza

    Waziri wa digitali wa Taiwan amesema Huawei ni kirusi cha kichina au Trojan horse kutoka China na ni hatari kuitumia kwenye mfumo wa mawasiliano ya nchi Waziri huyo ambae zamani alikua muiba taarifa za kimtandao ama kwa kimombo hacker anasema wao Taiwan walishaliona hilo la Huawei muda mrefu...
  3. T

    Marekani yatangaza marufuku ya kusafiri kwa wafanyakazi wa Huawei na makampuni mengine ya Kichina

    Waziri wa mambo ya nje wa Marekani bwana Pompeo ametangaza kua serikali ya nchi hiyo itawawekea vikwazo vya kusafiri wafanyakazi wa makampuni ya Kichina ikiwemo Huawei. Pompeo amesema watawawekea vikwazo na kuwapiga marufuku wafanyakazi wa makampuni ya Kichina wasisafiri hivyo kuathiri kabisa...
  4. T

    Namibia: Kampuni ya Huawei yatuhumiwa kuhonga wanasaisa kupata tender ya kujenga 5G

    Kampuni ya Huawei imetuhumiwa kutoa rushwa kwa wanasiasa na wafanya maamuzi ilo ipate kandarasi ya kujenga mtandao wa 5G. Meya wa mji wa Windhoek amesema alipewa pesa za hongo mamilioni ya shilingi ili aipitishe Kampuni ya Huawei ili ijenga mtandao wa 5G. Jana Uingereza ilitangaza kuiondoa...
  5. Yoyo Zhou

    Uamuzi wa Uingereza kuipiga marufuku kampuni ya Huawei ni hasara kwa Uingereza na maendeleo ya teknolojia ya huduma ya 5G

    Serikali ya Uingereza imetangaza kuwa kuanzia tarehe 31 Desemba mwaka huu, kununua vifaa vya teknolojia ya 5G kutapigwa marufuku, na vifaa vyote vya kampuni ya Huawei vya teknolojia ya 5G vitaondolewa nchini Uingereza kabla ya mwisho wa mwaka 2027. Hatua hii inaonyesha kuwa Uingereza imesujudu...
  6. T

    Hatimaye Uingereza yaipiga marufuku Huawei kuweka mitambo ya 5G nchini humo

    Nchi ya Uingereza imepiga marufuku kampuni ya Huawei kuweka mitambo ya 5G nchini humo. Mwezi January Uingereza iliipa Huawei tenda ya kuweka mitambo ya kawaida au non core ya 5G. Mwezi wa 5 Marekani iliiwekea vikwazo vipya kampuni ya Huawei vitakavyoiondolea kampuni hiyo uwezo wa kupata au...
  7. T

    Hatimae Telecom Italia, kampuni namba moja ya simu Italia imeiondoa Huawei kwenye uzinduzi wa 5G yake

    Jana zilitoka habari za ndani au chini ya kapeti kua nchi ya Italia inafikiria kuitenga Huawei kwenye mfumo wake wa mtandao wa 5G. Juzi pia zilitoka habari kua Marekani inaishinikiza Brazil kutafta kampuni nyingine nje ya Huawei kuunda mfumo wake wa taknolojia ya 5G na Marekani akaahidi yuko...
  8. T

    Italy inatarajia kuiondoa Huawei kwenye mpango wake wa 5G

    Nchi ya Italia inatarajia kuiondoa Huawei kwenye mpango wake wa 5G sawa na nchi kadhaa za Umoja wa Ulaya Mwaka jana Italia ilitoa green light kwa kampuni ya Huawei kushiriki kwenye uanzishwaji wa 5G nchini humo. Sasa kutokana na shinikizo kubwa la Marekani kwa nchi washirika kuachana na Huawei...
  9. T

    Ufaransa imesema haitaipiga marufuku Huawei ila imezisihi kampuni za simu kuiepuka Huawei

    Serikali ya ufaransa imesema haina mpango wa kuipiga marufuku Huawei kufanya kazi ndani ya nchi hiyo ila imesisisitiza kampuni za simu kuepuka Huawei. Kuna kampuni tayari zilishapewa kibali cha kutumia mitambo ya Huawei kwenye teknolojia ya 5G hasa kwenye maeneo yasiyo ya muhimu kama vile...
  10. T

    Uingereza kuiondoa Huawei kwenye mfumo wa 5G kabla ya mwaka huu kuisha, sababu ni vikwazo vya Marekani

    Serikali ya Uingereza inategemea kuiondoa Huawei kwenye mfumo wa 5G kabla ya mwaka huu kuisha. Mwezi January mwaka huu serikali ya Bw. Boris Johnson iliipa huawei kandarasi ya kutengeneza mfumo wa 5G ndani ya Uingereza kwa baadhi ya sehemu, kwamba ingeshiriki kwa 35% kuunda mfumo wa 5G na...
  11. T

    Baada ya vikwazo vya Marekani, India kuiondoa Huawei kwenye majaribio ya 5G

    Juzi waziri wa mambo ya nje wa Marekani bwana Pompeo alisema upepo umeanza kuwabadilikia Huawei. Pompeo anasema kutokana na kampeni ya Marekani sasa watu wengi ulimwenguni wameanza kuona hatari ya Huawei na kuanza kuachana nayo. India imesema itaiondoa Huawei kushiriki kwenye majaribio ya 5G...
  12. The Assassin

    Baada ya vikwazo vya Marekani, Huawei kutumia Mediatek chip kuanzia 2021

    Baada ya Marekani kuituhumu Huawei kuwa ni tawi la jeshi la China na kuiongezea vikwazo, mambo yamezidi kuwa magumu kwa Huawei. Kuanzia mwakani Huawei hataweza kuzalisha chip zake za Krin zinazotumika sasa kwenye simu zake za P series. Huawei alikua na mpango wa kutumia chipset ya 5mn+ zake...
  13. T

    Marekani imedhamiria kuitoa Huawei sokoni, imeituhumu kuwa ni tawi la jeshi la China

    Huawei ilikua inakuja vizuri sana kwa miaka 3 iliyopita. Ghafla bin vuu mwaka jana ikawekwa kwenye black list ya serikali ya Marekani ikaanza kupambana na vikwazo. Sasa Huawei imeanza kupoteza hata ile miradi na mikataba iliyokua imepata ya kufunga mitambo ya 5G. Uingereza iliipa Huawei ila...
  14. T

    Mkurugenzi wa Fedha wa kampuni ya Huawei sasa kushitakiwa Marekani

    Mwaka 2018 Marekani kwa kushirikiana na Canada walimkamata mkurugenzi wa fedha wa Huawei alipokua anabadilisha ndege kwenda nchi moja wapo ya Marekani ya kusini. Tokea kipindi hicho mkurugenzi huyo yuko chini ya ulinzi nchini Canada akipigania haki yake ya kutokuhamishiwa marekani akashitakiwe...
  15. Mukulu wa Bakulu

    Hii simu ni Iphone ama Huawei?

  16. J

    Root simu ya android yoyote ukitumia magisk

    MAANA YA ku-ROOT ku-ROOT maana yake ni kuweza kupata uwezo au access ya system files zilizopo kwenye simu yako ambazo kwa kawaida zinakuwa zimejificha au kuzuiwa kwa mtumiaji ili asiweze kuzifikia , kwa kiingereza naweza kusema its an ability to obtain administrative access or rights on the...
Back
Top Bottom