honda

The Honda Motor Company, Ltd. (Japanese: 本田技研工業株式会社, Hepburn: Honda Giken Kōgyō KK, IPA: [honda] (listen); ) is a Japanese public multinational conglomerate manufacturer of automobiles, motorcycles, and power equipment, headquartered in Minato, Tokyo, Japan.
Honda has been the world's largest motorcycle manufacturer since 1959, reaching a production of 400 million by the end of 2019, as well as the world's largest manufacturer of internal combustion engines measured by volume, producing more than 14 million internal combustion engines each year. Honda became the second-largest Japanese automobile manufacturer in 2001. Honda was the eighth largest automobile manufacturer in the world in 2015.Honda was the first Japanese automobile manufacturer to release a dedicated luxury brand, Acura, in 1986. Aside from their core automobile and motorcycle businesses, Honda also manufactures garden equipment, marine engines, personal watercraft and power generators, and other products. Since 1986, Honda has been involved with artificial intelligence/robotics research and released their ASIMO robot in 2000. They have also ventured into aerospace with the establishment of GE Honda Aero Engines in 2004 and the Honda HA-420 HondaJet, which began production in 2012. Honda has two joint-ventures in China: Dongfeng Honda and Guangqi Honda.
In 2013, Honda invested about 5.7% (US$6.8 billion) of its revenues in research and development. Also in 2013, Honda became the first Japanese automaker to be a net exporter from the United States, exporting 108,705 Honda and Acura models, while importing only 88,357.

View More On Wikipedia.org
  1. X

    JamiiForums Tanzania Nissan na Honda kuungana kufuatia ushindani mkubwa kutoka China katika utengenezaji wa magari

    Kampuni namba 2 na namba 3 kwa utengenezaji wa magari nchini Japan baada ya Toyota, Honda na Nissan zinafikiria kuunganisha mitaji yao ili kuziunganisha na kuwa kampuni moja. Lengo ni kuwasaidia kushindana dhidi ya watengenezaji wa magari ya umeme (EV), hasa nchini China. Huu utakuwa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale 2008 Honda Fit (EJW) Inauzwa TZS. 13m

    YOM: 2008 Engine Capacity: 1300cc Automatic Petrol 107,000 Kms From Japan (Imesajiliwa tarehe 18/11/2024) . Price: TZS. 13m . Call: 0717 650800
  3. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Honda wamezindua Electric Motorcycle mbili: EV Urban na EV Fun.

    Wakali wa pikipiki kutoka Japan, Honda, wametuletea wadau wa pikipiki EV mbili, moja inaitwa EV Fun na nyingine EV Urban. EV Urban itawahusu wale wapenzi wa scooter za kuzunguka nazo mjini au short trips, mfano kazini au shuleni au sokoni. EV Fun ni kwa wapenzi wa sport bikes, kwa mara ya...
  4. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Honda 0 Series Saloon: EV yenye muonekano wa ki-future!

    Honda nao hawajachelewa party ya EV, tushaona Honda Prologue, N-VAN e na Ye Series EV, sasa wameleta all new 0 Series Saloon. Kwa sasa wameitangaza tu prototype, mass production haijaanza ila soon itaanza. Itakua na Level 3 ADAS, air suspension, na mazaga kibao. Kilichovutia wengi zaidi ni...
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Madalali wa magari wanazingua sio kidogo

    Tuachane na BMW kuuzwa cheap kuliko IST, tuongelee huyu Dalali wnavyoiita hii 3 Series. Si angesoma ata nyuma tu hapo.
  6. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Sony & Honda wametengeneza EV inaitwa AFEELA ambayo unaweza kucheza Play Station 5 humo ndani!

    Kampuni mbili kutoka Japan, Sony na Honda, wameungana kutengeneza joint venture inayoitwa Sony Honda Mobility kwaajili ya kutengeneza magari ya umeme (EV) yatakayoenda kwa jina la AFEELA. Chuma ya kwanza imeshatoka, ni sedan, na kusema kweli inavutia. Ukiiona ni kama Lucid Air lakini hapana...
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Chagua Hybrid Moja hapa: Toyota Prius vs Honda Insight!

    Wakuu. Bila kupepesa macho, kuna izi hybrid mbili kutoka Japan (Toyota Prius na Honda Insight) ambazo zinafanana na kutofautiana mambo mengi sana. Kwa kuanza zote naomba tutumie za mwaka mmoja, 2009 ambapo kwa Prius ndio alikua anaanza generation ya tatu na Insight yeye anaanza generation ya...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu Honda Crossroad

    Wakuu nataka nimwagizie shemeji yenu hio gari (HONDA CROSSROAD) naomba ushauri kwa ambao mna uzoefu nayo. Ahsanteni
  9. amir_halla

    JamiiForums Tanzania Wadau samahani naomba kujua Njia ya kusafirisha Honda kutoka Dar es Salaam kuja Dodoma

  10. Midazolam

    JamiiForums Tanzania Nahitaji pikipiki aina ya Honda au yamaha kwa Bei nzuri

    Tangazo juu hapo inajitosheleza,nahitaji piki piki aina ya Honda au yamaha,kwa ajili ya folen i ya hapa na pale ndani hili jiji
  11. NecZec

    JamiiForums Tanzania INAUZWA HONDA ACE 125,INDIVIDUAL TZS 2,100,000

    Pikipiki honda ace 125, Individual inauzwa 2,100,000 shilingi za kitanzania. Pikipiki inasoma kilometa 600 mpaka sasa,ina kadi yake.
  12. NecZec

    JamiiForums Tanzania Nauza Pikipiki Honda Ace 125 Individual

    Ninauza pikipiki aina ya Honda Ace 125 Individual. Bei milioni mbili laki moja tu. Imekimbia kilometa 601,bado mpya, ni pikipiki nzuri kwa matumizi ya usafiri binafsi zaidi. Ipo Kigamboni na kadi yake ipo. Karibuni tufanye biashara
  13. L

    JamiiForums Tanzania Kwa watumiaji wa Honda Fit

    Wanaotumia honda Fit, naomba mniulize chochote tushirikishane uzoefu. Watu wengi wamekuwa wakiharibiwa magari yao kwa sababu tu ya kukosa uzoefu Kuhusu Honda Fit Asante
  14. A

    JamiiForums Tanzania Honda Road Cross naomba maoni yenu

    Kwa miaka mingi nimetumia Toyota nilianza na Rav4, Passo, Raum, Noah, Spacio, Kisha nikarudia Noah ambayo niko nayo muda mrefu kuliko gari zote hizo tangu 2019. Natamani sasa kupata Gari nyingine na hasa safari hii natamani gari tofauti na Toyota Macho yangu yameona HONDA ROADCROSS KImuonekano...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye utaalam na Uzoefu na gari aina ya Honda Vezel

    Kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu ningependa mtu mwenye uzoefu na Hilo gari kushea na sisi humu ndani
  16. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Honda Accord: Shujaa aliesahaurika

    Kibongo bongo, Toyota hana mpinzani kwa idadi ya magari na "kuaminiwa" na watu. Ila sasa kwa gari "imara" used kutoka Japan, Toyota brand ndio inaweza kuongoza, ikifuatiwa na Honda namba tatu wacha wagombanie wakina Nissan, Suzuki na Subaru. Sasa kwa upande wa best selling sedans kuna bwana...
  17. masai dada

    JamiiForums Tanzania Naenda kulipia befoward honda step wgn ya 2011, naomba ushauri

    Naombeni ushauri kuhusu hii gari naenda kuilipia leo. Sina ufahamu wowote nimependa space tu.
  18. BROTHER OF BROTHERS

    JamiiForums Tanzania Generator Honda EG 1000

    Habari wadau natafuta Generator Used from Dubai/New Brand iwe Honda EG 1000, iwe katika condition nzuri Niweze kuitumia kwenye kibanda umiza changu. Kama Hautajali Tafadhali nicheck WhatsApp 0739115313
  19. Travis Kitengo

    JamiiForums Tanzania Hizi Honda mbona zina bei mkasi sana?

    Wanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kipya kama hiki ni almost 10millions. Kina maajabu gani zaidi?
  20. Majura digital

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na Honda HRV 2001

    HABARI WAKUU. Samahani nataka kununua hii gari HONDA HRV ya Mwaka 2001 . Naomba kuuliza mwenye uzoefu (experience)na Hii gari anisaidie mawazo.
Back
Top Bottom