hii

King Kuok "Mimi" Hii (born 23 December 1969) is a chemist whose fields of research include application of catalysis to organic synthesis. She is the Director of Imperial College London's Centre for Rapid Online Analysis of Reactions (ROAR).

View More On Wikipedia.org
  1. Orketeemi

    JamiiForums Tanzania Watanzania wakikuchoka ni hatari. Ona hii

    Yaani uzinduzi wa kampeni za kitaifa unafuatiliwa na watu 13? Yericko Nyerere taambia nini watu?
  2. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Saa ya Kikwete (PHILIP STEIN) inauzwa bei gani?

  3. SuperEnthusiasis

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kutumia mbinu hii kukwepa kodi na tozo kwa biashara yangu mpya.

    HAbari zenu wakuu. Binafsi nataka nimfungulie mama watoto biashara, basi nikatarget sehemu fulani kwa ajili ya biashara hiyo. katika kufanya maulizo ya hapa na pale nikaambiwa natakiwa niwe na kama milioni nane(8) ili niweze kumvua mtu fremu, bado tra, pia kodi ya hiyo fremu ni 300k kwa mwezi...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hii hali ya kuwa kuna waajiriwa wana maisha mazuri kuliko wafanyabiashara kibao ni kitu watu huwa hawataki kukubali ila ukweli hauwezi kubadilika.

    watanzania wengi wapo brainwashed kutetea biashara ndio njia pekee ya kutoboa na mifano lazima iwe ile ya kina MO na Bakhresa, Ni kweli biashara ndio sekta inayotajirisha zaidi lakini haimaanishi watu wenye ajira wana maisha mabaya. kuna waajiriwa wengi wana maisha mazuri ya uhakika kuzidi...
  5. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania HII DHAMBI YA.KUZINI KWA KUTAMANI TU INGEANGALIWA UPYA JAMAN HUKO KUZIMU KUTAJAA SIJUI MTAWAWEKA WAPI WENGINE.. 😆 😂 😆 😂 😆

    ushauri tu viongozi wa dini tuliangalie hili upya kama ukiwezekana kufanyia marekebisho iwe hivyo mapema maana kila Misa ya marehemu tunayoenda Kuala nikikumbuka hii dhambi sioni anaerobooaa naona wote mlemle otherwise huko.motoni kutajaa jaman niongeze sauti sijui?? UUshauii tu
  6. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kweli mbwa sio msaada kwa ulinzi yani mwizi kaingia ndani jumapili hii kabeba flat TV na mbwa

    Leo nimetoka na familia kwenda kanisani tunarudi mda huu tunakuta flat imetolewa ukutani na mbwa mfano wa Wema Sepetu naye kaondoka. Ila ili likijana na miviatu nilishawai kusema hapa nalo kumbe lilitoka
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki wangu amegundua mke wake anajihusisha na usagaji. Anaomba ushauri wenu

    Ipo hivi Nina rafiki yangu wa karibu sana, tunashirikiana mambo mengi sana , ukaribu wetu umefanya familia zetu pia ziwe karibu . Hii linafanya hata yanapotokea matatizo ya ndoa kwangu au kwake tuwe tunashirikishana na kushauriana hata kusuluhisha. Twende kwenye case yenyewe ( fact of the case)...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Nimenunua kiwanja nikaanza kujenga bado natakiwa niende nikatafute kibali cha kujenga hii ikoje?

  9. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 POTOSHI Dulla Makabila aimba matusi kwenye mkutano wa CCM

  10. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Baada ya hotuba ya Polepole, ghafla video hii ya Magufuli inatrend...

    Baad ya hotuba ya Humphrey Polepole usiku wa Jana, video hii ya John Pombe Magufuli imetrend Sana..
  11. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Akili za kuambiwa changanya na zako

    Katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2025, vyama vya siasa 18 vimehusika katika mchakato wa uteuzi wa wagombea wa nafasi ya Rais na Makamu wa Rais. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuwa vyama hivi vimewasilisha majina ya wanachama 36 kugombea nafasi hizo . Vyama vya Siasa...
  12. Clean Energies Group

    JamiiForums Tanzania Usizime Moto wa Gesi, Mafuta au Umeme kwa Kutumia Maji badala yake Tumia Njia Hizi

    USIZIME MOTO WA GESI, MAFUTA AU UMEME KWA KUTUMIA MAJI! Maji yanaweza kusababisha hatari kubwa kama mshtuko wa umeme au mlipuko wa gesi! Tumia dry chemical powder fire extinguisher (ABC) au fire extinguisher inayofaa! Usalama kwanza, jifunze njia sahihi ya kuzima moto...
  13. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi huyu mwamba kuwapa watoto wake adhabu ya namna hii?

    😂
  14. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Hii nchi ya WESTERN SAHARA imeanza lini mbona sijaisoma shuleni

    Wakuu hii nchi mbona nimeanza kuiskia hivi karibuni na Katika kumbukumbu zangu sikumbuki kama shule ya msingi nilisoma.
  15. Subira the princess

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hakuna wa kumshauri Samia? Hii inasikitisha

    Wasalaam. Hii sera kuhusu maiti kuzuiliwa nayo ni ahadi ya ccm kuelejea uchaguzi mkuu? Yaani wakishinda watapiga marufuku maiti kuzuiliwa swali je nani aliweka sera hii? Ina maana sio ccm na serikali yake? Hebu sikiliza kwa makini.
  16. James Hadley Chase

    JamiiForums Tanzania Mnataka huduma ya Fiber, changamkieni fursa hii

    Umuofia kwenu. Wale mnaosubiri huduma ya internet ya fibre huu uzi ni maalumu kwenu. Kuna kampuni ipo kasi sana inaitwa SAVANNAH FIBRE, ni kampuni inayojihusisha na kutoa huduma ya internet ya spidi ya Fiber. GHARAMA ZAKE 👉Kufungiwa ni BURE 👉Router unapewa BURE Wewe cha kufanya wapigie simu tu...
  17. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Video: Aliyoyasema Lissu kwenye interview hii na Stanslaus Lambert ndio kinachomtokea Mpina na wapinzani muda huu

    Wakuu, Nimekutana na interview hii ya Lissu ambayo alifanya na mtangazaji Stanslaus Lambert muda mfupi baada ya kushinda Uenyekiti CHADEMA Hapa Lissu alisema haogopi watu kuhama CHADEMA kwenda vyama vingine kugombea Ubunge kwani hata huko wanapoenda hawatachaguliwa. Anasema hapa, mamlaka za...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania CHAN, Ligi Kuu ya England (EPL), Bundesliga na La Liga: Mechi za moto wikiendi hii

    CHAN: Leo katika dimba la Mandela itapigwa mechi ya mshindi wa tatu kati ya Sudan dhidi ya Senegal Mechi hii itachezwa kuanzia saa 12:00 jioni Jumamosi Fainali ya Mashindano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) Madagascar vs Morocco - 🕕 Saa 12:00 jioni Jumamosi Premier League, mechi kubwa mbili...
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hii nchi tulipofikia:Mahakama ya wilaya watumishi wote wamekwenda ngorongoro kutembea mahakama imefungwa

    Sijui tunakwenda wapi hipo siku utasikia Hospitali imefungwa watumishi wote mpaka muhudumu wa mwochari naye kaenda beach. Kama mahakama zishafikia huku tumekwisha. Kuna mkoa wa X sitaki kutaja unapopatikana madini ya dhahabu ukisifika wilaya yake. Kwa hiyo wenye kesi au tunataka kesi tusubiri...
  20. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kijana kama unajitafuta nunua nguo rangi hii

    Kama unajitafuta kijana hakikisha una kadeti rangi ya kijivu au silver, saa ya silver Kadeti ya kijivu rangi yake haipoi. Hizi kadeti za elfu 15-25 karibu zote ni za watu wa hali ya chini, hivyo zinachuja na kuchakaa mapema. Saa za elfu 5-10 zote ni za watu wa chini lakini ukipata saa ya elfu...
Back
Top Bottom