kabon14
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 1,233
- 867
Habar wakuu..
Naomba wenye uelewa na haya mambo wanijuze. Ni zaidi ya maramoja imenitokea hii hali.
Mara ya mwisho ambayo ni jana ilikuwa hivi.!
Nilishtuka kutoka usingizini mida ninayo amka kila siku, lakin kutokana na kuwa jana ilikuwa siku yang ya kupumzika sikuona ulazima wa kuiacha shuka kwa muda ule, niliendelea kubaki kitandani ghafla usingizi ulinipitia nikasinzia tena.
Sasa bado sijajua hii ni ndoto au vipi, ndo nataka nipewa msaada kuhusu hii kitu.
Nikiwa usingizini ghafla nilihisi mwili unakakamaa as if nimepigwa na shot ya umeme huku nikiwa nahisi maumivu flan hvi ambayo si makali na siwezi eleza yako vipi na yalikuwa sehem gani, lakin maumivu hayo yalitokana na kuwa mimi nilijaribu kupambana na hali ile ili nirudi katika hali ya kawaida.
Nilifanya vile kwa muda bila mafanikio hivyo ikabidi nijaribu kupiga kelele ili kuomba msaada, nilijaribu kupiga kelele lakin sauti haikutoka ( sikumbuki nilijaribu kutamka maneno gani), wakati ule napambana nitoke kwenye hali ile nilisikia simu yangu iliyokuwa kitandani kwangu ikivibrate (mtu alinitumia ujumbe kwa whatsapp), nilipojaribu kuinua mkono wang wa kulia ili niichukue nilishindwa kufanya hivyo.(nilikuwa nimelalia ubavu wa kushoto)
Sasa cha kushangaza nilihisi nimeishika ile simu ila si kwa mkono wangu wa kawaida maana nilishindwa kufanya hivo kwa sababu hakuna kiungi kilichoweza kumove. Niliishika ile simu lakini nilipojaribu kuangalia sikuona kitu bali mwanga mweupe tu kwenye screen ya simu.
Baada ya pale kuna wazo linikuja kichwani nikakumbuka uwepo wa yesu.
Nikatamka neno Jesus
hakuna kilichotokea kwa muda uleule lakini baada ya muda mfupi tu nikahisi mwili unarelax na nikashtuka kutoka usingizini. Nilipoitazama simu yang ni kweli nikakuta message ya whatsapp.
Wakuu naomba kuwasilisha kwa mchango wenu kuhusiana na tafsiri ya hali hii, ni nini hasa?.
kuhusiana na imani mimi ni mkristo lakin kiukweli sina imani ya kiwango kile mnachoweza fikiria maana hata kanisani nina miongo kadhaa sijaenda
Hadithi hii ni ya kweli kabisa.
Naomba wenye uelewa na haya mambo wanijuze. Ni zaidi ya maramoja imenitokea hii hali.
Mara ya mwisho ambayo ni jana ilikuwa hivi.!
Nilishtuka kutoka usingizini mida ninayo amka kila siku, lakin kutokana na kuwa jana ilikuwa siku yang ya kupumzika sikuona ulazima wa kuiacha shuka kwa muda ule, niliendelea kubaki kitandani ghafla usingizi ulinipitia nikasinzia tena.
Sasa bado sijajua hii ni ndoto au vipi, ndo nataka nipewa msaada kuhusu hii kitu.
Nikiwa usingizini ghafla nilihisi mwili unakakamaa as if nimepigwa na shot ya umeme huku nikiwa nahisi maumivu flan hvi ambayo si makali na siwezi eleza yako vipi na yalikuwa sehem gani, lakin maumivu hayo yalitokana na kuwa mimi nilijaribu kupambana na hali ile ili nirudi katika hali ya kawaida.
Nilifanya vile kwa muda bila mafanikio hivyo ikabidi nijaribu kupiga kelele ili kuomba msaada, nilijaribu kupiga kelele lakin sauti haikutoka ( sikumbuki nilijaribu kutamka maneno gani), wakati ule napambana nitoke kwenye hali ile nilisikia simu yangu iliyokuwa kitandani kwangu ikivibrate (mtu alinitumia ujumbe kwa whatsapp), nilipojaribu kuinua mkono wang wa kulia ili niichukue nilishindwa kufanya hivyo.(nilikuwa nimelalia ubavu wa kushoto)
Sasa cha kushangaza nilihisi nimeishika ile simu ila si kwa mkono wangu wa kawaida maana nilishindwa kufanya hivo kwa sababu hakuna kiungi kilichoweza kumove. Niliishika ile simu lakini nilipojaribu kuangalia sikuona kitu bali mwanga mweupe tu kwenye screen ya simu.
Baada ya pale kuna wazo linikuja kichwani nikakumbuka uwepo wa yesu.
Nikatamka neno Jesus
hakuna kilichotokea kwa muda uleule lakini baada ya muda mfupi tu nikahisi mwili unarelax na nikashtuka kutoka usingizini. Nilipoitazama simu yang ni kweli nikakuta message ya whatsapp.
Wakuu naomba kuwasilisha kwa mchango wenu kuhusiana na tafsiri ya hali hii, ni nini hasa?.
kuhusiana na imani mimi ni mkristo lakin kiukweli sina imani ya kiwango kile mnachoweza fikiria maana hata kanisani nina miongo kadhaa sijaenda
Hadithi hii ni ya kweli kabisa.