halima mdee

Halima James Mdee (born 18 March 1978) is a Tanzanian CHADEMA politician and Member of Parliament for Kawe constituency since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. DR Mambo Jambo

    JamiiForums Tanzania VIDEO: HALIMA Mdee amekiri CHADEMA wako sahihi kutokusaini kanuni za maadili kwani hakuna kanuni inayoweza kuwa juu ya Sheria na Katiba

    Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee halimamdee amesema kuwa hoja za vyama vya upinzani hasa CHADEMA ChademaTz na ACTwazalendo kuhusu kudai reforms kuwa ni sahihi na zina uzito mkubwa. Mdee amesisitiza juu ya usahihi wa CHADEMA kutokusaini kanuni za maadili kwani hakuna kanuni inayoweza kuwa juu...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Halima Mdee: Hoja za CHADEMA kudai Reforms zina uzito mkubwa

    Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee, amesema kuwa hoja za vyama vya upinzani hasa CHADEMA na ACT Wazalendo kuhusu kudai reforms kuwa zina uzito mkubwa. Mdee amesisitiza juu ya usahihi wa CHADEMA kutokusaini kanuni za maadili kwani hakuna kanuni inayoweza kuwa juu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano...
  3. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Pamoja na makosa yote Halima Mdee anahitajika kuongeza mapambano ya no reform no election!

    Huyu bidada ni nondo haswaa ,kwa sasa hakuna kiongozi yeyote wa Bawacha aliyejaribu hata theluthi ya ubora wa Halima James Mdee !! Huyu mama na wenzake waingie mzigoni hayo mengine tutaongea tukimaliza mapambano
  4. Nehemia Kilave

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kina Halima Mdee kufika uchaguzi mkuu 2025 wakiwa Bungeni ni Dharau kubwa kwa vyombo vya Sheria , nini kifanyike ?

    Mwanzoni tulimlaumu hayati Magufuli kwamba ndiye anawatetea na kukandamiza mihimili mingine . Baada ya Muda tukagundua kuna Mkono wa Mwenyekiti Mbowe pia kwenye hili suala . Kwa ujumla wanasheria wameonesha udhaifu mkubwa sana , lakini mamlaka zimeonesha udhaifu. Hawa wabunge 19 wanamaliza...
  5. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee na Tulia Ackson wakiwa na vibe kama lote Dodoma leo

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, akifurahi jambo na Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Mhe. Halima Mdee Jijini Dodoma leo tarehe 26 Januari, 2025.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Lissu aonyeshe Uongozi katika suala la akina Halima Mdee na Wenzake,aachane na hayo mambo yake

    Nimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao. Uongozi siyo Sheria tu...
  7. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Jibu la Halima Mdee kuhusiana na msimamo wa Lissu juu ya Wabunge 19 (COVID 19)

    Kiongozi wa baadhi ya wabunge 19 kutoka chama cha demokrasia na maendeleo Chadema Halima Mdee ametuma emoj ya kucheka baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu kusema wanatakiwa kueleza nani alisaini mchakato wa wao kuingia bungeni huku akisema yupo tayari kuwapokea wabunge hao . Kauli ya...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Mbowe alimuandaa Halima Mdee kuwa Mwenyekiti wa Chadema ndio sababu Sasa anasapotiwa na Watu Wadogo kabisa akina Ntobi na Yeriko!

    Kama Intelejensia ya CCM isingeingilia Kati Halima Mdee ndiye angekuwa Mwenyekiti wa Chadema na Lisu angeendelea na umakamu wake na uchaguzi ungefanyika 2024 siyo 2025 Mzee Mziray mkongwe wa Chadema anasema ndio sababu Mbowe alimshawishi Sana Halima Mdee aachie Ubunge wa shujaa Magufuli Ili aje...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Kumbe hii Simba jike ya CHADEMA ni Simba kweli kweli, Pengo la Halima Mdee sasa limepata mzibaji

    https://youtu.be/3F8yBt6lrOY?si=stTHOPf0ioqfr114 Huyu dada ndio mtu pekee anaweza kuziba pengo la Halima Mdee pale BAWACHA. CHADEMA itumieni vizuri hii tunu mliyopewa na Mungu, Dada anaujasiri kama wa Simba na amenyooka kama Lissu Tofauti ya Mdee na Simba ni majina tu hakika CHADEMA inahazina...
  10. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Mbowe ukishinda tafadhali mteue Halima Mdee kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA

    Katika kukiunganisha chama na kuondoa tofauti zetu, tafadhali sana Mh. Freeman Mbowe, mara baada ya kushinda kwa kishindo katika nafasi ya uenyekiti, mteue ndugu Halima Mdee kuwa katibu mkuu wa chama. Mbali na kukiunganisha chama, utakuwa umezingatia genda. Pia itaonesha kuwa wewe ni mlezi...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee kwa uchungu mbele ya Rais amzungumzia Dkt. Faustine Ndugulile, "Hakuwa mnafiki, alipata ajali kadhaa za kisiasa kwasababu ya kweli yake"

    Mwakilishi wa wabunge wachache bungeni, Halima Mdee, amesema Dk Faustine Ndugulile, aliyekuwa mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika, alisimama kidete kwa wananchi wake na Taifa, kusema kweli bila kujali gharama. "Dkt. Faustine Ndugulile...
  12. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Idugunde wa Igunga: ujumbe muhimu kwa wanaYanga toka kwa Halima Mdee.

    Mpira uko hivi
  13. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee, Dorothy Semu, na Dkt. Dorothy Gwajima ni baadhi ya mifano Bora ya Wanawake kwenye Siasa na Uongozi

    Halima Mdee Alikuwa Mbunge wa Kawe kuanzia 2010 hadi 2020 (CHADEMA) akiwa miongoni mwa Wanawake wachache walioweza kuingia Bungeni kwa kupitia vyama vya Upinzani. Aliwahi pia kuwa mwenyekiti wa BAWACHA Dorothy Semu Mwaka 2020 aliteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti Bara na Chama cha ACT-Wazalendo...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee: Kisarawe imeshindwa kukusanya Tsh. Bilioni 6 ya Ushuru kutoka Yapi Merkez

    Mbunge Halima Mdee akizungumza wakati wa mjadala wa Taarifa za Kamati ya PAC na LAAC kuhusu Ripoti ya CAG katika Mkutano wa 17 wa Bunge la 12 ulioanza leo Oktoba 29, 2024 na kutarajiwa kuendelea hadi Novemba 8, 2024, amesema mapato Tsh. Bilioni 61.15 hayakukusanywa katika vyanzo muhimu Amesema...
  15. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Benson Kigaila, Wenje, John Heche, Halima Mdee na Salumu Mwalimu jipangenin a mjiandae vizuri kushika hatamu za uongozi wa juu CHADEMA. Hawa wamefeli

    Ni wazi chairman na msaidizi wake Taifa hawana tena mawazo mapya wala fikra mbdala kuiongoza chadema ikapiga hatua au kufanikisha chochote kisiasa. Taasisi imekuwa haina mipango mikakati endelevu, sera mbdala, dira wala uelekeo muafaka unao eleweka na wenye kuleta matumaini au ahueni ya kufika...
  16. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ushauri kwa Halima Mdee, kurudi CHADEMA ni kujidanganya

    Ukiangalia account zote za wapinzani utakuta picha ya Free nani, Free nani, kwa Mdee yeye kwake picha za simba na Yanga. Naamini 100% mdee hata akisamehewa basi ni kujidanganya, moyo haupo kabisa upizani. bora tu uwende CCM ukamlizie siasa zako, maana CCM tupo wengi kwenye foleni tunataka nafasi
  17. K

    JamiiForums Tanzania Anaandika Tundu Lissu kuhusu kurudi kwa wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA

    Anaandika Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti Chadema kuhusu Covid 19 Kama wanaruhusiwa kurudi itakuwa ni kwa sababu hawakuwa na makosa yoyote, ila sisi ndio tuliowakosea. Kama tukiwaruhusu kurudi maana yake ni kwamba sisi viongozi wa chama wote tulikuwa waongo, ila wao ndio walikuwa wa kweli...
  18. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Upinzani kwa ujumla tunamuhitaji sana Halima Mdee. Msiwalaumu wao, wa kulaumiwa ni Hayati Magufuli

    Upinzani kwa ujumla tunamuhitaji sana Halima Mdee msiwalaumu Covid-19 wa kulaumiwa ni JPM Kiukweli, pamoja na yalotokea still upinzani tunamuhitaji mtu kama Halima Mdee Halima Mdee ni asset muhimu kwa nchi yetu Najua mCCM mnammezea mate sana lakini mtamuota sana huyu mtamuota sana na hawezi...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Nilijojifunza katika mazishi ya mama yake Halima Mdee - namimi nikifate

    Mzee Dee katika hotuba yake alisema Mkewe alikuwa na tabia ya kuweka 10% ya kipato chake kwa ajili ya kutoa Zaka ikiwemo kuwasaidia Maskini na wanaohitaji kusomeshwa. Aliyasema hayo wakati wa shughuli ya kumuaga mkewe abayo tuliohudhuria tulisikia hayo Hili ni jambo zuri sana na limezungumzwa...
  20. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe Ahudhuria Ibada ya Mazishi ya Mama yake Halima Mdee

    Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe leo 05/08/2024 Amehudhuria ibada ya kuaga mwili wa Mama Theresia, ambaye ni Mama Mzazi wa Halima Mdee, aliyewahi kuwa mbunge wa Chadema kabla ya kuvuliwa uanachama kwa makosa ya Aibu ya Usaliti. Kwa sasa Halima Mdee hana chama ila ni Mbunge wa viti maalum...
Back
Top Bottom