Akijimudu, Anageuka MBABE, wakati huo huo chako anakihitaji.
Akiona upenyo wa Mwanga mzuri, anageuka FEMINIST, anadai haki sawa.
Kukiwa na shida lets Say ya kifamilia, ANAJITOA Anadai Baba ndio kichwa cha familia..
Akiwa na Shida private ambayo anona kabisa yeye mwenyewe ndio anapaswa...