haja

Håja (Norwegian) or Jievju (Northern Sami) is an unpopulated island in Hammerfest Municipality in Troms og Finnmark county, Norway. Håja is located in the Sørøysundet strait, between the larger islands of Kvaløya to the east, Seiland to the south, and Sørøya to the northwest. The town of Hammerfest lies about 8 kilometres (5.0 mi) to the east of Håja.On the island, there is a gull colony. Locals use the island for picking seagull eggs and berries, traditional ingredients of North Norwegian cuisine.
Several companies and institutions in Hammerfest have been named after Håja, including a kindergarten.

View More On Wikipedia.org
  1. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Hakuna haja ya visingizio 👇👇👇

    Jasusi ni mpambanaji tokea miaka hiyo akikata mkaa huko kolomije hajawahi kupoteza pambano.
  2. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kuna haja ya kuhakikisha kikatiba makamu wa rais harithi madaraka pale rais anapokufa ili kuepuka kurudia makosa

    Kama katiba yetu ingekuwa hairuhusu makamu wa rais kuchukua madaraka baada ya kifo cha rais, tusingekuwa kwenye balaa hili linalotusumbua sasa hadi kupoteza maisha ya watu wetu wasio na hatia. Wala tusingekuwa na rais pandikizi ambaye hatukumchagua. Tusingekuwa na utawala usiojua unachopaswa...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Naenda kufa Desemba 9, hakuna haja ya kuendelea kuishi tena

    Rejea kichwa cha habari .
  4. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Hakuna haja ya serikali kupoteza muda kufanya maridhiano na wahalifu

    Maridhiano na kina Mange, Mwamakula, Maria, Sativa, Bagonza na wahalifu wengine ni kupoteza muda. Serikali ikamate wote waliohusika na huu uhalifu uliosababisha vifo na kuwafikisha mahakamani. Serikali isipoteze muda kujadiliana na wahalifu. Mtu aliyechoma vituo vya mabasi ya mwendokasi...
  5. Y

    JamiiForums Tanzania Kutoa shahawa mwisho wa haja ndogo

    Habari Wana JF Naomba anaefahamu hilitatizo linasababishwa na nn aniambie Kwani kunawakati nikienda haja ndogo kujisaidia wakati namaliza zinatoka shahawa naomba msaada
  6. Mende mdudu

    JamiiForums Tanzania Kuna haja gani ya kutunishiana misuli, wote tunajenga nyumba moja?turudi mezani kwa maslahi mapana ya taifa.

    Sio shabiki wa chama chochote cha siasa ila kuna haja ya kuskilizana, nikiangalia machafuko ya uko Congo, Msumbiji, bado tuna nafasi ya kua wamoja. Polisi kusema wamejipanga, raisi kasema yeye ndo amiri jeshi mkuu, waandamanaji nao wanaabaki na msimamo wao, vp kwa sisi wastarabu non. Allied...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Kuna haja ya hivi vilabu kuwa vinawaelekeza wasanii nini wasifanye kwenye matamasha ili kutengeneza hadhi

    Niliangalia matamasha ya simba day na yanga day ya mwaka huu nikaendelea kushuhudia kitu ambacho nilidhani hakikupaswa kufanyika kutokana na ukubwa wa vilabu hivi kwa sasa na umaarufu wa matamasha haya kwa sasa barani afrika na duniani kwa ujumla. Msanii kiongozi kwenye tamasha la simba day...
  8. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Kulikuwa na haja gani Jinbril kumkaba Muhammad akimlazimisha kusoma?

    Hii inatafakarisha sana. Huyu kiumbe Jin anamlazimisha Muhamad kusoma. Maskini Muhamad hakuwa ameenda shule. Kama ni Malaika basi alipaswa awe na hizo taarifa. Lakini hakupewa. Akawa anamlazimisha Mtume asome akiwa amempiga Kabali nusu ya kumuua. Mtume akasema akiwa anahema kwa "shida sijui...
  9. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Kwa pira hili hakukua na haja ya kwenda pre season Egypt

    Duh nideclare interest ni kwamba kazi ipo sana tu Fadlu kulikua na haja gani ya kuchezesha wachezaji nafasi ambazo sio zao kiasili chasambi full back???? Hamza no 6 seriously??? Kwamba hakukua na wachezaji sahihi hapo au kipindi cha kwanza hamza kaongoza kupoteza mipira hovyo Yani katika...
  10. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Kuna haja ya kuchunguza kifo cha Mkapa, Magufuli, Membe, Sitta na Ndugai

    Uchunguzi huru ufanyike na kwa watu huru ambao watatoa taarifa kwa uhuru kabisa bila woga au shinikizo. Hii itasaidia kuondoa hali ya sintofahamu ambayo imejitokeza kwa sasa na kukosekana kwa imani kwa serikali. Hali ni mbaya sana.
  11. BICHWA KOMWE -

    JamiiForums Tanzania Pambano la Paka na Nyoka: Kichapo cha haja

    Huyu ndio paka bwana, a.k.a nyau, a.k.a zee la makonzi. Utanyukwa makofi haswa mpaka unasalimu amri. Paka ni kati ya wanyama timamu haswa kimwili, wananyumbulika kwa wepesi kama radi. Miili yao ina silaha madhubuti ambazo ni makucha makali na meno mchongoko. Paka wakitaka kuua lazima wamtese...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Kama watu wanaweza kutekwa na wasijulikane milele kwa idadi kubwa namna hii kuna haja gani ya kuwepo vyombo vya ulinzi nchini?mlinzi wa raia ni nani?

    Hatari sana hii na vyombo naona vimesha uzoea huu utaratibu kuwa ni wakawaida na mbaya zaid jamii nayo imesha ona ni kawaida si jambo la kuogopa tena , sasa nadhani labda huu mchezo uhamie kwa watoto wa vigogo na makada wa CCM na familia zao huenda tutapata jibu
  13. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kulikua na haja gani ya kuiita INEC wakati inaitegemea NIDA?

    Katiba yetu haina Tume huru ya uchaguzi lakini baada ya uchaguzi wa kiini macho 2020 kelele za wadanganyika zilikua nyingi mbo. Bi mdashi alikuja na 4Rs ambazo zilizaa Tume huru ya uchaguzi paso kurekebisha katiba. Kumbe Tume huru ya uchaguzi inavyonza mtambo wa NIDA ili kuwadanganya...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Lissu ana haja ipi ya kushirikiana na mahakama?

    Labda tuelimishane hapa. Ya nini kushirikiana na mahakama Hadi hapa tulipo? Looh! .
  15. B

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka kweli akhera?

    Assalaaam alykum. Ndugu yangu, hakuna shaka siku moja watu watakusanyika kwa ajili ya kifo chako. Na tambua kuwa kaburi lako ndo kituo cha kwanza katika maisha ya akhera, maisha yenye tabu na mashaka kama hukuwa na maandalizi mema na yatakuwa ya raha na amani kama ulijiandaa vyema. Kwa hiyo...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania kuna haja ya kuwapima akili hawa watu wanaojiita madokta..haswa hawa madokta wa mtandaoni.

    Huyu dokta wa ajabu naye ithibati inabidi kumchukulia panga. Kama ni CCM basi mtakuwa kisiasa sasa. Mada za ajabu anazoleta sijui ukipiga msamba asubuhi na kipande cha ndizi mbivu kitambi kinatoka.
  17. F

    JamiiForums Tanzania Je kuna haja ya kuamasisha ustaarabu kwa wakazi wa Dar

    Wakaz wengi wa Dar hawana ustaarabu (civilization)
  18. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna haja gani ya Kupost mambo yako, watoto, nguo mpya, Ujinga huo na ushamba

    Mimi Huwa sielewi hasa huu ugonjwa wa kutafuta social validation, hasa wadada na wakaka wasiojielewa ndo Huwa Wana tabia hizi. Unakuta kidada kimepewa trip ya kuenjoy nje ya nchi, Sasa buana akienda Kule Kila kitu anapost status ya wasap au insta, akiwa swimming pool, kwenye ndege, akiwa...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewasilisha hoja kwa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mwenyeiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan awe mgombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Pia, Kimbisa amesema Makamu Mwenyekiti Zanzibar wa CCM, Dk...
  20. D

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna haja gani kuwepo kikundi kinachoitwa kikundi cha hamasa kwenye matukio ya Kitaifa kama uzinduzi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo?

    Hii mada nimeamua kuileta kwenye jukwaa hili baada ya tafakuri ya muda mrefu.Baada ya tafakuri nimeitimisha kama ifauatavyo. 1.Kuruhusu kelele mahali panapohitaji utulivu ni ukusefu wa userious kwenye mambo yenye umuhimu mkubwa sana kwa taifa letu. 2.Kupiga kelele kipindi viongozi wanautubia...
Back
Top Bottom