Gypsum is a soft sulfate mineral composed of calcium sulfate dihydrate, with the chemical formula CaSO4·2H2O. It is widely mined and is used as a fertilizer and as the main constituent in many forms of plaster, blackboard/sidewalk chalk, and drywall. A massive fine-grained white or lightly tinted variety of gypsum, called alabaster, has been used for sculpture by many cultures including Ancient Egypt, Mesopotamia, Ancient Rome, the Byzantine Empire, and the Nottingham alabasters of Medieval England. Gypsum also crystallizes as translucent crystals of selenite. It also forms as an evaporite mineral and as a hydration product of anhydrite.
The Mohs scale of mineral hardness defines hardness value 2 as gypsum based on scratch hardness comparison.
Wakuu naomba mwenye kujua bei za vile vyuma vinavyotumika kujengea dari.
Huwa zinatumika pamoja na gypsum.
Majina ya mafundi wanaziita angle au channel au trunk.
Naomba kujua duka na bei zake.
Habarini wadau.
Nimemaliza kuezeka ila kwa hizi mvua zikinyesha sana na ikiwa na upepo, kuna dalili ya matone ya mvua /maji naona yanadondoka kwa ndani. Japo mvua ikiwa sio ya upepo hio kitu siioni.
So nataka kuanza kufunga gypsum board nawaza nifanyeje kabla sijaanza hio kazi. Ili kama mvua...
Wakuu niko njia panda kipi kianze je naweza weka gypsum board na mikanda then baadae nikatandaza ile final wiring juu ya dari maana kuna wizi wa hizi nyanya sana
Miaka ya nyuma kusafisha ukuta ( skim) watu walitumia chokaa , wapo wanaoendelea kutumia chokaa japo wanaonekana wamepitwa na wakati,🎚️baada ya chokaa zimekuja materia nyingi nyingi.
Nimetumia gypsum powder, nimetumia na wallputy , sijatumia white cement na chokaa naiona kwenye nyumba za home...
Habari wadau,
Kuna hoja nimeisikia kwamba panya yeyote hawezi kutembea wala kukimbia juu ya gypsum board. Anateleza.
Je, mtoa hoja anasema ukweli ama anadangaya?
Kwa watu mnaoishi kwenye mazingira yenye gypsum board Je, mmewahi kusikia panya juu ya hizo board anakimbia ama anatembea kama...
nilipita sehemu mwaka juzi nikaona Ceiling nzuri kama hii. Nilipiga picha.
Watalaam twambieni inahitaji makario kiasi gani cha pesa Sitting room kama hii.
Fundi kama yupo tuanze kazi as soon as possible
Habari zenu wana JF?
Naomba niende kwenye content moja kwa moja tunaitaji mshirika kwaajiri ya kuendeleza kiwanda chetu cha mikanda ya gypsum ambaye tutamuuzia share kwenye kampuni yetu kilingana na uwekezaji wake kiwanda uzalishaji unaendelea ila tunataka tuongeze nguvu tuwafikie watu wengi...
Habari
Naomba kufahamu anayeijua biashara ya kuchimba mawe ya gypsum. Kwa maeneo ya kilwa au makanya. Gharama Hadi kiwandani ni kiasi gani, na faida ni kiasi gani
Nawasilisha
Habari wakuu naombakuuliza hao jamaa nimefanya nao interview mbili za oral .....na kazi yao niliomba kupitia empower... nifanye na walisema interview ile ya pili ndo ya mwisho....sasa hadi sasa nimeingia wiki la pili kimya ..naomba kujua kama kuna mtu pia alifanya kama walisha ita au kimya na je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.