Kupitia comment yake kwenye post yake ya leo tarehe 25/03/2026 katibu mkuu wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo amedai kuwa kuna wanufaika wa mikopo iliyotolewa na wizara ambao wamegoma kurudisha mikopo waliyopewa.
Binafsi nimeshangazwa sana na alichosema ndugu Gerson Msigwa kwa sababu...
Wakati anaelezea kuhusu sakata la Meli iliyokamatwa huko El Salvador na Shehena ya Madawa ya Kulevya iliyokuwa inapeperusha bendera ya Tanzania .
Gerson Msigwa alieleza kwamba Zanzibar ni mwananchama wa IMO kwa hiyo wanaruhusiwa kusajili Meli na kwamba Serikali ya Zanzibar ndio ilisajili Meli...
Ndugu zangu
Naona Zungu kajibiwa tena kwa mara ya tatu
Akiwa anazungumza leo jijini Dar Es Salaam msemaji mkuu wa Serikali amesema kuwa kilichosababisha ndege kutokutua Mwanza siku chache nyuma ni moja kati ya "jitihada" za Serikali kuhakikisha kuwa usafiri wa anga unakuwa salama sana...
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, akizungumza leo Februari 26, 2026 na waandishi wa habari katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, amezungumzia meli iliyokamatwa nchini El Salvador ikiwa na tani 6.6 za cocaine na kubeba bendera ya Tanzania.
Msigwa amesema meli hiyo...
Wakuu,
Haya ndugu zangu,
Akizungumza leo, Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa mwaka huu Serikali ya Samia itanunua ndege 4 ikiwa ni sehemu ya kukamilisha ilani ya CCM ambayo ilisema kuwa ndani ya miaka 5 itanunua ndege 8
Wakuu,
Juzi bwana Zungu alitoka povu baada ya ATCL kuchelewesha safari ya Mwanza - Dar bila ya kutoa taarifa, povu lote akalitolea kwenye mitandao ya kijamii. Kumbuka Zungu hakuwa peke yake katika uwanja huo wa ndege, abiria wengine kibao walimshuhudia na alijitahidi kupaza sauti (pamoja na...
Wakuu,
Akizungumza na The Citizen, Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amesema kwamba taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai Tanzania, Kenya na Uganda haziko tayari kuwa ni propaganda, akisema Tanzania imewekeza dola za...
Wakuu,
Natafakari tu.
Juzi tulimsikia Msigwa akisema plain and open kuwa hakuna mtu atakayelazimishwa kuingia kwenye maridhiano.
Hii kauli ya Msigwa haitofautiani sana na zile kauli walizokuwa wakitoa CCM kipindi kile cha Uchaguzi.
Walikuwa wanasema kabisa kwamba kama CHADEMA hawataki...
"Maridhiano ni jambo la hiari"
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akizungumza Februari 10, 2026 katika mahojiano na BBC Swahili, amesema endapo kutakuwa na wadau watakaokataa kushiriki kwenye maridhiano mara mchakato huo utakapoanza, hawatalazimishwa kufanya hivyo kwani kushiriki kwenye...
Wakuu,
Msemaji wa Serikali na Katibu mkuu wizara ya Habari, Sanaa, Tamaduni na Michezo Gerson Msigwa afafanua ukweli kuhusu taarifa ambazo zinaeleza kuwa uwanja wa Arusha umekosa hela za kumalizia ujenzi.
SomaPia:Tanzania yaomba msaada China kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya AFCON 2027...
Wakuu,
Msikilizeni Msemaji Mkuu wa Serikali akiwa anazungumza leo kuhusu suala zima la misaada. Mmenotice hajawaita mabeberu bali "wadau wa maendeleo?"
Ila najiuliza kama Tanzania tunajiweza tunapitishaga bakuli la nini? Au mabeberu wanatushobokea kutokana na "madini yetu" guys?
"Kwa...
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza leo Januari 20, 2026 na vyombo vya habari amesema serikali mkataba NA DP World kudumu kwa miaka 30
Aidha ameeleza kuwa malengo yaliyowekwa na serikali ilikuwa kuwekeza dola Milioni 250 kwa kipindi cha miaka 5 ambapo ndani ya 2021 hadi 2022...
Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema kusitishwa kwa safari za treni kati ya Morogoro na Dodoma hakutokani na kuharibika kwa reli bali ni hatua za kitahadhari ili kudhibiti tishio la mito iloyojaa isiharibu miundombinu hiyo.
Akizungumza na Ayo Tv leo kwa njia ya simu...
Katibu Mkuu na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa amewahakikishia Watanzania kuwa mkataba ambao Tanzania na Zambia zimeingia na China wa uboreshaji wa reli ya TAZARA utakuwa na manufaa makubwa kwa Tanzania kiuchumi na kijamii.Msigwa aliyekuwa akitoa ufafanuzi kufuatia baadhi ya watumiaji...
Ni baada ya Msigwa kutoa taarifa ya kwamba, Waziri wa mambo ya Nje Kombo amekutana na kiongozi wa Republican Brian Mast na kuahidi kumsaidia.
Wamemwambia, "Sisi walipa kodi wa Marekani tutahakikisha kuwa unawajibika kwa matendo yako".
Ikumbukwe kwamba serikali ya Tanzania inahaha kupata mtu...
Kauli ya Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa, kuhusu kumuaga rasmi Bw. Mfaume Ramadhan baada ya miaka 39 ya utumishi wa umma imeibua mjadala mpana wenye maswali mazito kuliko majibu. Miaka thelathini na tisa si wiki mbili, wala si ajira ya muda mfupi. Ni karibu maisha yote ya mtu—ujana, utu...
Chief government spokesperson Gerson Msigwa has assured that Tanzania can implement its national budget without relying on foreign assistance, even if such aid does not materialise.
Speaking on Saturday, December, 6 2025, during a special interview with Star TV, Mr Msigwa addressed national...
"Kesho ni siku ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan aliitangaza hakutakuwa na sherehe lakini hatutarajii kesho kuna watu watathubutu kuvunja sheria kwa kufanya matendo ambayo yanavunja amani.
"Na tukio lolote la kufanya maandamano kesho ni kuvunja sheria. Hatutarajii kuwepo kwa maandamano kwa...
Kitendo cha X kuvunja sheria za nchi na mkawaambia wajirekebishea ili muwafungulie. Na wao hawajajirekebisha hili kosa .
Kama ni kosa kwa nini wewe undelee kulitumia kama njia ya kupeleka habari?
Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema kuwa Twitter (X) itafunguliwa pale ambapo tutakapokubaliana namna watakavyoendesha jukwaa lao nchini Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.