Genz (Persian: گنز; also known as Genizī and Gīnzī) is a village in Irandegan Rural District, Irandegan District, Khash County, Sistan and Baluchestan Province, Iran. At the 2006 census, its population was 361, in 92 families.
Hoja kubwa ni kwa nini baadhi ya watu kadhaa wajione wao ndio watu wenye kunufaika na hili taifa?
Kwamba wao wanawez kujipa madaraka, kuiba mali za umma na kuona raia wengine ni takataka.
Suala la kupambana na watu kama hawa sio la kuwaachia Gen z peke yao. Ni suala la kila Mtanzania.
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Hii naichukulia kama kumbukumbu maishani mwangu kwamba usiepende kukaa unapinga kila jambo
Mwana JamiiForums Likud miaka takribani saba iliyopita aliwahi sema humu jukwaan kuwa watoto wa mwaka 2000 hawana dini kipindi hicho jina la Genz...
Genz hawapoi.
Wamekuja na madai mengine mapya kuwa watoto wa spika wa bunge, Zungu waliomba uraia wa Belgium kama wakimbizi kutoka Somalia. Cha kushangaza zaidi wamepewa NİDA hapa nchini. Wamempa wiki moja ajiuzulu la sivyo
wataweka passport zao adharani
watasasiliana na mamlaka za uhamiaji...
Raia wazalendo wa taifa hili maarufu kama GenZ wanaoongoza harakati za kudai HAKI na UWAJIBIKAJI na UCHAGUZI HURU, HAKI na wa WAZI kwa njia ya maandamano yasiyo na ukomo yatakayoanza tarehe 9/12/2025 na kuendelea
Wametoa taarifa kupitia vyombo vya habari (PRESS STATEMENT) kwa wageni na watalii...
Sikiliza hizo clip kutoka Tiktok
Zisikilize kwa mpangilio wa kinamba ndio utaelewa madudu ambayo CCM wanavyolibagaza taifa hili
sikiliza hizo clip kutoka ticktock zisikilize kwa mpangilio wa ki namba ndio utaelewa madudu ambayo wahuni wa ccm wanavyolibagaza taifa hili
Kina nani wengine ndani ya vyombo hivi kutupiwa zigo la lawama ya mauaji ya mamia ya watanzania baada ya hawa mawaziri kutupwa nje ya baraza la mawaziri .
17 November 2025
Dar es Salaam, Tanzania
SAMIA HASSAN DROPS TWO KEY SECRETARY OF STATES FROM HER NEW CABINET, THEY WERE RESPONSIBLE FOR...
Kuna mtego. Mkikubali maridhiano, mjue mmekubali kuwa nyie ndiyo waandaaji wa vijana wa GenZ. Oktoba 29 kesi zimewekwa pending, mkikosea kidogo wanawarudisha ndani na mtapata kesi ya kujibu tena.
GenZ ni nguvu ya umma, maridhiano yanaweza kuwa mtego wa kuwanasa. Chadema, kuweni makini. Polepole...
Tuweni makini ndugu zangu hawa wahuni wanaweza kugeuza kibao kwetu tukaonekana sisi ndo wenye makosa alafu wao wana haki
Wameanza harakati za kueneza propaganda kuwa waandamanaji walikuwa raia kutoka nje hasa hasa wakenya na lengo lao lilikuwa kuchafua cv ya tanzania kimataifa.
Tusipokuwa...
1. Mpaka sasa ndugu zetu wameuwa, watoto na rafiki zetu, vijana wetu wa kike na kiume zaidi 3,000. NDIYO zaidi ya ELFU TATU PLUS.
2. Si amejitangaza kuwa mshindi kwa kura feki za namba za kubumba? Jibu ni NDIYO kajitangaza
3. Si wamejikusanya huko uchochoroni Dodoma na kujiapisha na kujipa...
Genz Z wapewe maua yao kwa mara ya kwanza wamesimama. Dharau za kupitiliza na watu kuwaona vijana wetu wajinga jinga sasa wamejiletea heshima na kuonyesha wana hasira.
Tukiendelea kuwa puuza hii nchi itabakia majivu. Vijana wamechoka uongo
Nimeeleza kwenye moja ya mada za Britannica namna vyombo vya usalama vinavyofuatilia na kuteka watu wasipatikane kwa muda au hadi uchaguzi utakapokamilika. Mimi soma profile yangu nipo kama mchambuzi fulani hivi lakini baada ya kuona mambo fulani hivi imebidi niingie in details kuongea na Gen Z...
This is commendable. Tomorrow when this country starts doing very well, some people will leave the bad politicians in their country to go and drag jobs with them and even take their jobs because they are desperate to work and can even take little amount to work as citizens won’t take those...
Ushabiki usiokua na mantiki Wala faida yeyote ile kijana upo kwenye keyboard unaisifia ISRAEL au IRAN wewe ni fala tu
SIMBA na YANGA zimekua dini za vijana wapumbavu upo tayari kumtukana mwenzio pia hata kufa sababu ya simba au Yanga wewe ni kilaza Leo unamchukia chama kisa yupo Yanga...
Katika LIVE moja iliokua inaendelea kule mjini TIKTOK wakati wengine wakiwa na mabango vikundi kadhaa vilkua bussy na uizi katika mduka ya Smoothers, Polisi wameingilia kati lakini walikua wameshaiba vitu vingi
Kama ulikua unadhan GenZ wa kenya ni wana mapinduzi basi fikiria tena, huenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.