geneva

Geneva ( jin-EE-və; French: Genève [ʒənɛv] (listen); Francoprovençal: Genèva [dzəˈnɛva] (listen); German: Genf [ɡɛnf] (listen); Italian: Ginevra [dʒiˈneːvra]; Romansh: Genevra) is the second-most populous city in Switzerland (after Zürich) and the most populous city of Romandy, the French-speaking part of Switzerland. Situated where the Rhône exits Lake Geneva, it is the capital of the Republic and Canton of Geneva.
The municipality (ville de Genève) has a population (as of December 2019) of 203,951, and the canton (essentially the city and its inner-ring suburbs) has 504,128 residents. In 2014, the compact agglomération du Grand Genève had 946,000 inhabitants in 212 communities in both Switzerland and France. Within Swiss territory, the commuter area named "Métropole lémanique" contains a population of 1.26 million. This area is essentially spread east from Geneva towards the Riviera area (Vevey, Montreux) and north-east towards Yverdon-les-Bains, in the neighbouring canton of Vaud.
Geneva is a global city, a financial centre, and a worldwide centre for diplomacy due to the presence of numerous international organizations, including the headquarters of many agencies of the United Nations and the Red Cross. Geneva hosts the highest number of international organizations in the world. It is also where the Geneva Conventions were signed, which chiefly concern the treatment of wartime non-combatants and prisoners of war. Together with, for instance, New York City (global headquarters of the UN), Basel (Bank for International Settlements), and Strasbourg (Council of Europe), Geneva is a city serving as the headquarters of one of the most important international organizations, without being the capital of a country.In 2017, Geneva was ranked as the world's fifteenth most important financial centre for competitiveness by the Global Financial Centres Index, fifth in Europe behind London, Zürich, Frankfurt and Luxembourg. In 2019, Geneva was ranked among the ten most liveable cities in the world by Mercer together with Zürich and Basel. The city has been referred to as the world's most compact metropolis and the "Peace Capital". In 2019, Mercer ranked Geneva as the thirteenth most expensive city in the world. In a UBS ranking of global cities in 2018, Geneva was ranked first for gross earnings, second most expensive, and fourth in purchasing power.

View More On Wikipedia.org
  1. How a failed meeting in Geneva started a war with Iran

    Imagine you are sitting at a table in Geneva. It’s late February, 2026. For months, the world has been holding its breath. You are there to negotiate the limits of Iran’s nuclear and missile programs. But the talks stall. Progress flatlines. Therefore, a quiet, devastating decision is made...
  2. President Bobi Wine’s Full Message At Geneva Summit 2026

    Ugandans at large are so grateful for President Bobi Wine’s message he shared to the world at the Geneva Summit 2026, and that's really the reality in Uganda 🇺🇬 👆🏿 👆🏿 👆🏿 Please Watch and kindly share the video above to the rest of the world, in so doing, you've taken part of the struggle and...
  3. President of Uganda Bobi Wine to address 2026 Geneva summit virtually

    The President elect of Uganda 🇺🇬 HE. Robert Kyagulanyi Ssentamu will address the 2026 Geneva Summit via video on 18th February 2026. ⌚Time: Morning to Evening (Geneva Time) 📌 We encourage everyone to register and follow the address through the official summit platform. Registration Link: 👉🏿🔗...
  4. Q

    PostGE2025 Kamishna Mkuu Haki za Binadamu UN ataka uchunguzi mauaji ya Uchaguzi Tanzania, Lissu na wengine waliokamatwa kuachiliwa

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, leo ameitaka Serikali ya Tanzania kufanya uchunguzi kuhusu mauaji na ukiukwaji mwingine wa haki za binadamu uliofanyika katika muktadha wa uchaguzi wa Oktoba 29. Hii inafuatia taarifa zinazoeleza kuwa miili ya watu waliouawa...
  5. GE2025 Serikali ya Tanzania inavyokiuka mkataba wa Geneva

    Nimekuwa naenda mahakamani kufuatilia kesi ya Jamhuri (Samia) v/s Tundu Lisu. Pamoja na mambo memgine, tumeona wingi wa askari polisi na wanausalama eneo lote la katikati ya jiji kuzunguka Mahakama Kuu, lakini jambo lililonistua ni uwepo wa Ambulance ambazo madereva na wahudumu ni askari polisi...
  6. Umoja wa Mataifa kuhamishia kikao cha General Assembly kwenda Geneva

    Kutokana na figisu za Trump na Netanyahu, UN imesema isiwe taabu. Tunaondoka,tunahamia Geneva Chanzo ni kumkatalia member wa UN Mahmud Abbas wa Palestina kuingia Marekani kwenye kikao cha General Assembly cha mwaka huu 2025 --------------- The United Nations General Assembly will convene its...
  7. Wakati Serikali ya Samia ikijitetea huko Geneva, Maovu yake yazidi kuanikwa na vyombo vya habari vya Kimataifa

    Kama kawaida, Vyombo vya habari vya Kimataifa vinazidi kuyaanika maovu ya Serikali ya Samia dhidi ya Wananchi wanaotumia haki yao ya kutoa maoni. Leo Chombo cha Kimataifa kinachoaminiwa sana Duniani kwa Taarifa za Uhakika za Biashara na Uchumi Bloomberg kimeripoti suala la kukamatwa kwa Vijana...
  8. L

    Moshi Mweupe Wafuka Juu Ya Bendera Ya Tanzania Geneva Uswisi. Tanzania na Professa Mohammedi Janabi Kuibuka Kidedea

    Ndugu zangu Watanzania, Moshi Mweupe Wafuka Juu ya Bendera Yetu ya Tanzania Geneva Uswisi. Yatabiliwa Tanzania na Professa Mohammedi Janabi Kuibuka Kidedea kwa mara nyingine tena katika kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika. Hii ni kutokana na uungwaji mkono mkubwa...
  9. L

    Jenista Mhagama Atua Geneva Uswisi Kufanya Kampeni Nzito Za Kumnadi Profesa Janabi. Afanya vikao Vizito kwelikweli

    Ndugu zangu Watanzania, Mambo yanaendelea kunoga ,mambo yanaendelea kuiva. Tanzania inaendelea kugonga vichwa vya habari, Tanzania inaendelea kutikisa Huko Duniani, Tanzania inaendelea kuteka mioyo ya watu, Tanzania inaendelea kuchanja mbuga mioyoni mwa watu. Tanzania inaendelea kuonyesha...
  10. X

    Hatimaye China imeshinda vita vya ushuru dhidi ya Marekani. Mkutano uliofanyika Geneva kati ya mataifa hayo mawili lilikuwa ni ombi la Marekani

    “All imperialists are nothing but paper tigers.” - Mao Zedong Dunia itakumbuka jinsi siku ya Ijumaa 4, April, 2025 Trump alivyopandwa na wazimu. Na kuongeza ushuru kwa kila taifa duniani hadi visiwa vya Herd na McDonalds vya bara la Antarctica wanapoishi Penguins tu. Siku hiyo kwa tambo na...
  11. Viongozi wetu wameiua Geneva ya Afrika.

    Kikao cha usuluhishi wa mgogoro wa Kongo kimefanyika leo jijini Dar es salaam. Si nia ya uzi huu kujadili maamuzi ya kikao hicho, bali kuangalia faida zitokanazo na kikao hicho. Kama nchi lazima tuangalie faida tunazozipata na hasara zake! Kama sikosei vikao vyote vya usuluhishi wa Burundi...
  12. Rais wa IPU, Dkt. Tulia Ackson alivyofungua Mkutano Mkuu wa 149 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Geneva, Uswisi

    Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, tarehe 14 Oktoba, 2024 amefungua rasmi Mkutano Mkuu wa 149 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano (CICG) mjini Geneva, Uswisi. Mkutano...
  13. R

    PreGE2025 Upo uwezekano wa Arusha kutoka kuitwa Geneva of Africa na kuitwa Wadudu City, tunavurugana

    Arusha inasifika kwa utalii.....Arusha ni jiji linalokutanisha watu wa makundi mbalimbali kwa sababu ya hali yake ya hewa. Katika ukanda wa Afrika Mashariki DAR imeshindwa kushindana na Nairobi kwa sababu hali ya DSM ni joto na hivyo uvutia watu wachache kuishi ikilinganishwa na Nairobi ambayo...
  14. Mbunge Aisha Ulenge akizungumza katika Mkutano wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Geneva Uswissi

    MHE. ENG. AISHA ULENGE, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tanga Akizungumza katika Mkutano wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Geneva Uswissi. Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tanga, Mhandisi Mwanaisha Ulenge ameshiriki katika Mkutano wa 148 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) unaofanyika jijini Geneva...
  15. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Sagini ashiriki katika Mkutano wa 74 wa Kamati Tendaji ya UNHCR unaofanyika Geneva

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini, Kaimu Mkuu wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Geneva, Balozi Hoyce Temu na Mkurugenzi wa Idara ya Huduma kwa Wakimbizi, Sudi Mwakibasi wakishiriki na kufuatilia Mkutano wa 74 wa Kamati Tendaji ya UNHCR unaofanyika...
  16. Ni kweli Arusha ni Geneva ya Afrika?

    Uchache na ubovu wa miundombinu ya barabara ni changamoto sana hapa Arusha japo tumejaaliwa milima ya moramu na korongo la mchanga huko mirongo. Ukija kwenye masoko ya jiji hayako organised na masoko mengine yaliyo chini ya halmashauri. Ukiondoa utalii na madini, economic activities zingine...
  17. Pre- Season: Singida Big Stars tunaenda kuweka kambi Geneva ya Afrika

    Watu wa Soka, Tumechagua Jiji la Arusha liwe kambi yetu maalum kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu 2022/23 (Pre-Season). Arusha patatufaa sana kwa sababu ni Jiji Tulivu, Hali ya Hewa nzuri, pia mazingira yake yanavutia, hivyo itasaidia wachezaji wetu kuwa focused. Timu itaweka...
  18. Waziri wa Malawi asafiri kwenda Uswizi kuhudhuria kikao alichotakiwa kushiriki kidigitali, azungumza mbele ya ukumbi usio na watu

    Waziri wa Sheria wa Malawi amesafiri kwenda Geneva nchini Uswizi kuhudhuria Mkutano wa 46 wa Baraza la Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Mkutano uliofanyia kwa njia ya kidigitali, na kuhutubia ukumbi uliojaa viti bila kuwepo mtu yeyote! Mitandao ya kijamii imemshambulia Titus Mvalo kuwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…