gaza

The Gaza Strip (; Arabic: قِطَاعُ غَزَّةَ‎ Qiṭāʿu Ġazzah [qi.tˤaːʕ ɣaz.zah]), or simply Gaza, is a self-governing Palestinian territory on the eastern coast of the Mediterranean Sea, that borders Egypt on the southwest for 11 kilometers (6.8 mi) and Israel on the east and north along a 51 km (32 mi) border. Gaza and the West Bank are claimed by the de jure sovereign State of Palestine.
The territories of Gaza and the West Bank are separated from each other by Israeli territory. Both fell under the jurisdiction of the Palestinian Authority, but the strip has since the Battle of Gaza in June 2007 been governed by Hamas, a Palestinian fundamentalist militant Islamic organization which came to power in the last-held elections in 2006. It has been placed under an Israeli and US-led international economic and political boycott from that time onwards.The territory is 41 kilometers (25 mi) long, and from 6 to 12 kilometers (3.7 to 7.5 mi) wide, with a total area of 365 square kilometers (141 sq mi). With around 1.85 million Palestinians on some 362 square kilometers, Gaza ranks as the 3rd most densely populated polity in the world. An extensive Israeli buffer zone within the Strip renders much land off-limits to Gaza's Palestinians. Gaza has an annual population growth rate of 2.91% (2014 est.), the 13th highest in the world, and is often referred to as overcrowded. The population is expected to increase to 2.1 million in 2020. In 2012, the United Nations Country Team (UNCT) in the occupied Palestinian territory warned that the Gaza Strip might not be a "liveable place" by 2020 and as of 2020, Gaza suffered shortages of water, medicine and power, a situation exacerbated by the coronavirus crisis. According to Al Jazeera "19 human rights groups urged Israel to lift its siege on Gaza". The UN has also urged that the blockade be lifted while a report by UNCTAD prepared for the UN General Assembly and released on 25 November 2020, said that Gaza’s economy was on the verge of collapse and that it was essential to lift the blockade. Due to the Israeli and Egyptian border closures and the Israeli sea and air blockade, the population is not free to leave or enter the Gaza Strip, nor allowed to freely import or export goods. Sunni Muslims make up the predominant part of the Palestinian population in the Gaza Strip.
Despite the 2005 Israeli disengagement from Gaza, the United Nations, international human rights organisations, and the majority of governments and legal commentators consider the territory to be still occupied by Israel, supported by additional restrictions placed on Gaza by Egypt. Israel maintains direct external control over Gaza and indirect control over life within Gaza: it controls Gaza's air and maritime space, and six of Gaza's seven land crossings. It reserves the right to enter Gaza at will with its military and maintains a no-go buffer zone within the Gaza territory. Gaza is dependent on Israel for its water, electricity, telecommunications, and other utilities. The system of control imposed by Israel is described as an "indirect occupation". Some other legal scholars have disputed the idea that Israel still occupies Gaza. The extent of self-rule exercised in the Gaza Strip has led some to describe the territory as a de facto independent state.
When Hamas won a majority in the 2006 Palestinian legislative election, the opposing political party Fatah refused to join the proposed coalition, until a short-lived unity government agreement was brokered by Saudi Arabia. When this collapsed under joint Israeli and United States pressure, the Palestinian Authority instituted a non-Hamas government in the West Bank while Hamas formed a government on its own in Gaza. Further economic sanctions were imposed by Israel and the European Quartet against Hamas. A brief civil war between the two Palestinian groups had broken out in Gaza when, apparently under a U.S.-backed plan, Fatah contested Hamas's administration. Hamas emerged the victor and expelled Fatah-allied officials and members of the PA's security apparatus from the strip, and has remained the sole governing power in Gaza since that date.

View More On Wikipedia.org
  1. Mributz

    Israel yatangaza vita rasmi Gaza

    Jeshi la Israel limeanza oparesheni kubwa za kijeshi pembezoni mwa jiji la Gaza hatua inayoashiria maandalizi ya kuutwaa kikamilifu mji huo, huku ikiapa kuongeza mashambulizi kwa lengo la kuzidisha shinikizo la kuachiliwa kwa mateka waliosalia na kulitokomeza kabisa kundi la Hamas. Hatua hiyo...
  2. R

    Watu 15 wakiwemo Waandishi wa Habari 4 wamepoteza maisha kwenye Mashambulizi ya Israel Hospitali ya Nasser, Gaza

    Kwa mujibu wa taaifa kutoka shirika la habari la Reuters Mashambulizi ya anga ya Israel katika Hospitali ya Nasser, Gaza leo Agosti 25, 2025 yameua watu 15, wakiwemo waandishi wa habari wanne, mmoja wao akiwa ni mfanyakazi wa shirika la Reuters Cameraman Hussam al-Masri muandishi wa Reuters...
  3. Setfree

    Kama ulikuwa hujui, Waisraeli wana haki ya kuichukua Gaza! Ushahidi huu hapa

    Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, amedhamiria kuitwaa Gaza yote bila kujali kelele za mataifa yanayompinga. Ujasiri huo anaupata wapi? Katika kupitia pitia Maandiko nimegundua kumbe ni halali yake kibiblia. Waisraeli wana haki kabisa ya kuimiliki Gaza, kwa sababu ni sehemu ya eneo...
  4. mcTobby

    Kabla huruma zetu hazijavuka mipaka hadi Gaza, basi tuanze kuwaonea huruma wa Sudan na maeneo mengine ndani ya Afrika

    Tusiwe wanafiki.. au kwa vile palestina ipo live aljazeerq basi ndio sisi akina baba+mama huruma tunajikuta tunawasikitikia wa Gaza ila wa hapa kwetu ndani ya bara la Afrika hatuwaoni sio? Tuacheni unafiki.. hata hapo Sudan kuna wa Afrika wenzetu wanakufa na njaa... yeah CHARITY BEGIN AT...
  5. Webabu

    Kama Gaza kuna Hamas huku kwa Palestine kuna nani mpaka majumba yao yanavunjwa na miti yao inang'olewa

    Hawa watu ni waovu na wenye laana ya kudumu. Matendo yao ya uovu daima huwa yanavuka mpaka wa uovu unaofanywa na binadamu wengine.Na siku zote ni wadanganyifu sana. Wakishakudanganya wakapata kidogo kutoka kwako wataendelea kukudai kilichobaki kidogo kidogo mpaka wakumalize uwe kama mtumwa wao...
  6. mcTobby

    GAZA CITY kama ngome ya mwisho ya nguvu ya Hamas , ni kama mto Rhine ulivyokuwa ngome ya mwisho nguvu ya Ujerumani chini ya Adolf Hitler

    Wakati Ujerumani alikuwa akipokea kichapo kitakatifu kutokea upande wa mashariki na jeshi la Red army la mrusi, upande wa magharibi ya Ujerumani nako kichapo kilikuwa si haba... Ujerumani wakati wa vita Ya pili ya dunia ilikuwa inategemea mto mkubwa uliokuwa mpakani kati yake na USwiss...
  7. Echolima1

    Israel yajiandaa kwa vita kuitwaa tena Gaza!

    Katika mkutano wa ngazi ya juu katika Amri ya Kusini, PM Netanyahu, DM Katz, na Mkuu wa Wafanyakazi Zamir walipitia mpango wa uendeshaji wa kuliteka Jiji la Gaza - uwezekano wa mabadiliko katika vita. Hamas awali ilikubali makubaliano ya sehemu, lakini ikaongeza madai mapya, yasiyokubalika...
  8. Webabu

    Mcheza mpira wa vikapu mashuhuri Gaza afa akigombea chakula cha wanawe

  9. Webabu

    Angalia watoto wa Gaza wanavyokufa kwa njaa mikononi mwa mama zao mbele ya macho ya wenzao huku dunia ikiwa haitaki kuangalia.

  10. Webabu

    Angalia watoto wa Gaza wanavyokufa kwa njaa mikononi mwa mama zao mbele ya macho ya wenzao huku dunia ikiwa haitaki kuangalia.

  11. Echolima1

    IDF inajiandaa kwa shambulizi la kuitwaa tena Gaza!! Yajayo yanafurahisha!

    Mnamo 2005, Israeli ilijiondoaUkanda wa Gaza na kuvunja makazi yote 21 ya Israeli huko. Kama sehemu ya mchakato huu, makazi manne ya Waisraeli katika Ukingo wa Magharibi yalivunjwa pia. Kuondolewa huko kulitekelezwa kwa upande mmoja na Israel na bila uratibu na Mamlaka ya Kitaifa ya Palestina...
  12. Webabu

    Makundi ya ajabu yaibuka kwenye vifusi Gaza kupambana na majeshi ya Israel

    Kilichoipta Urusi kule Afghanistan miaka ya 1979 na Marekani kule Vietnam mwaka 1975 na Afghanistan tena mwaka 2021 ndicho kilnachoelekea kuipata Israel huko Gaza mwaka huu 2025 Marekani na Urusi walimiliki kila kitu lakini katika hali ya ajabu kabisa wakalazimika kuwakimbia kwa hofu watu...
  13. Mathanzua

    Israeli Minister admits: Israel to have deliberately withheld Gaza Food/Aid for 2 .5 months

    Israeli Minister Admits: Deliberately Withheld Gaza Food/Aid 2 1/2 Months! August 19, 2025 Hits: 14438 Israel Finance Minister Bezalel Smotrich has admitted on TV the Israeli government deliberately withheld food and other aid from 1.5 Million people in Gaza, for two and a half months! It...
  14. Echolima1

    Israel inatarajia kuwaita askari wa akiba 60,000 ili kumalizia Operation ya kuiteka Gaza!!

    Wakati akina Webabu wanaeneza Propaganda uchwara za kudai kuwa askari 14,600 wa Israel wamekimbia vitani- IDF itaanza kutoa maagizo ya kuwaita askari wa akiba takriban 60,000 katika siku zijazo kwa ajili ya mpango wake wa kushambulia mji wa Gaza, ambao Waziri wa Ulinzi Israel Katz ameidhinisha...
  15. The Zanzibar Echo

    Israel kuwatuma wanajeshi 50,000 wa akiba Gaza

    Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, ameuidhinisha mpango wa kijeshi wa kuuteka mji wa Gaza na pia ameidhinisha hatua ya kuwashirikisha askari wa akiba katika zoezi hilo Wizara ya Ulinzi ya Israel imethibitisha kwamba majenerali wakuu tayari wameidhinisha operesheni hiyo mpya inayolenga...
  16. Webabu

    Askari 14,600 wakimbia vita wakiogopa kuingia Gaza kupambana na Hamas.IDF yatafuta diaspora wake kuziba pengo

    Wakati Netanyahu akidhamiria kuiteka Gaza yote,vita vinaelekea kuchukua mwelekeo wa ajabu na kwisha kwa namna moja au nyengine . Jumla ya idadi hiyo ya askari wamekimbia vita na mshike mshike imekuwa kubwa sana na ndio sababu Israel imekwama kuendelea na kupeleka jeshi Gaza kwa haraka...
  17. Echolima1

    Magaidi wa Hamas huko Gaza wanaendelea kuteka nyara misaada inayopelekwa huko

    Magaidi wa Hezbollah wanaendelea kuteka nyara misaada ya chakula ambayo ilipaswa kuwafikia wananchi wa Palestina badala yake misaada hiyo magaidi hao wanaipeleka kwenye Mahandaki!!!
  18. E

    Afromedia yalaani mauaji ya waandishi wa habari Ukanda wa Gaza, yataka hatua za haraka za UN

    Mpango wa Afrika wa Uandishi wa Habari na Vyombo vya Habari “Afromedia” umekosoa madai ya ukatili unaodaiwa kufanywa na Jeshi la Israeli dhidi ya waandishi wa habari na waandishi wa ripoti katika Ukanda wa Gaza tangu Oktoba 7, 2023, ukisisitiza kuwa kinachoendelea ni ukiukaji wazi wa sheria zote...
  19. mcTobby

    Mkiwaonea huruma na kuwalilia watu wa Gaza pia mfanye hili pia

    Yeah , muwaonee pia huruma familia ya wale watanzania wawili waliouliwa huko gaza ikiwemo Kijana Mollel
  20. Webabu

    Wanachofanya mayahudi kwa waislamu wa Gaza ndicho walichofanya wakristo kule Bosnia na kwengineko

    Utandawazi kwa muda mrefu umekuwa dhidi ya maslahi ya Waislamu, kiasi kwamba kuna dhana iliyoenea mijini na mitaani na kwa wanachama wengi wa JF kwamba Uislamu ni shida duniani, na kwamba hii ni dini ya kuripua na kuua watu. Ukweli wa matukio yanayoendelea sasa duniani na yale ya kihistoria ni...
Back
Top Bottom