g55

The Ginetta G55 is a specialist sports car, which has been built by Ginetta Cars since 2011. It is built to the FIA GT3 regulations, and the cars are raced in a one-make series; the Ginetta GT Supercup. In addition to this, they are also used in the GT3 class of competitions such as the British GT Championship. It was an evolutionary update of the Ginetta G50, which is a GT4-class car.

View More On Wikipedia.org
  1. Joshua Mbezi

    Je Hii Ndiyo Kazi Waliyopewa Wanachama wa Chaumma (G55) Baada ya Kuukosa Ubunge?

    Kabla ya Uchaguzi Mkuu wote ni mashuhuda wa mitifuano ya kisiasa iliyotokea kwenye Vyama vya Siasa hasa Vyama hivi Chadema CCM ACT Wazalendo Chaumma Uchaguzi umeisha na kila mmoja amevuna alichopanda ata ambaye hakupanda kitu yawezekana kipo alichokivuna Lengo la Uzi huu ni maajabu ya kundi...
  2. M

    PreGE2025 Jinsi Project G55 ilivyofeli: Nguvu ya Umma yainusuru CHADEMA

    Waliopanga kuivunja CHADEMA kutokea ndani sasa wanakutana na reality kuwa project yao ya kutumia sellouts wa G55 imebuma. Project hiyo imebuma na imeshindwa kuipigisha CHADEMA magoti, na nitaeleza sababu. 1. G55 imekosa star figure mwenye ufuasi. Ni dhahiri hawa G55 pengine walikuwa na mpango...
  3. K

    Gwajima > Wafanyabiashara wa G55

    Gwajima > Wafanyabiashara wa G55. Kwamwao elewa Gwajima mmoja ni zaidi ya G55 wote. Mfukuzeni awe huru kuongea na kusaidia taifa mapema.
  4. M

    PreGE2025 G55: Kundi lote wameonekana ni matapeli na wamenyimwa Ufadhili

    Kundi la Waasi toka Chadema aka G55 likiongozwa na John Mrema, Salum Mwalim, Benson Kigaila na mataperi wenzao hatimaye wamemvunja moyo mfadhili wao CCM. Waliwaaminisha CCM kuwa wao ndio walikuwa brain ya kuiongoza Chadema na wakiondoka Chama hicho kitayumba. Wakapewa pesa ya awali ili waweze...
  5. N

    PreGE2025 Sinema ya CHAUMMA na G55 ndio inaisha au tusubiri nyingine?

    Walianza kwa mbwembwe nyingi sana za kupokea “mafuriko ya wanachama” kutoka CHADEMA, wakatangaza oparesheni C4C TUSONGE MBELE itakayofanyka kwa kutumia chopa mikoa 16 kwa kuanzia huko Kanda ya Ziwa mnamo Mei 30. Operesheni hiyo inayotafsiri ‘Chaumma for Change’, itazinduliwa mkoani Mwanza Mei...
  6. S

    PreGE2025 Walishindwa kuidhibiti Chadema kupitia support kwa Mbowe, baadae G55 na kesi feki ya uhaini, na sasa wameamua kumtumia Msajili wa vyama vya siasa

    Kuna vitu vingine vinafanywa na serikali na CCM na serikali yake hadi vinatia aibu. Kila mtu anajua wakati wa uchaguzi wa Chadema Lissu Vs Mbowe, serikali na CCM walifanya kila wawezalo ili Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa Chadema, ikashindikana. Kisha wakaanza kuwatumia wafuasi wa Mbowe ndani...
  7. M

    G55 na wimbo wa "naapa naahidi mbele ya Mungu, CHADEMA nitakulinda mpaka kufa"

    Huu ni wimbo maarufu, zamani ulikuwa ukiimbwa na wanaCCM kuahidi kuilinda CCM mpaka siku ya kifo chao. Baadae CHADEMA nao wakauchukua ukawa ni miongoni mwa nyimbo maarufu za chama, wakiapa na kuahidi mbele za Mungu kuwa watailinda CHADEMA mpaka siku za mwisho za uhai wao. Sasa najiuliza kulikoni...
  8. Just Pray

    PreGE2025 Video: Maoni ya Wananchi sakata la G55 kuhamia CHAUMMA, mmoja asema 'walizoea kula kwa mirija Lissu na Heche wameikata'

    Wakuu, hapa nimewasogezea video ambayo wananchi wanatoa ya moyoni Sakata zima la waliokuwa viongozi CHADEMA kuhamaia CHAUMMA, ambapo wamewalaumu viongozi hao kukosa msimamo thabiti wa kupigania maslahi ya wananchi bali matumbo yao binafsi
  9. Komeo Lachuma

    PreGE2025 Video: Je, G55 walitapeli wenzao? Mzee Rungwe ameamua kupata kiinua Mgongo? Movie inaanza kuharibika

    Kwenye video wanaonekana wanachama wawili wa CHAEma wanaosema waliambiwa wanaenda kuhudhuria mkutano wa CHADEMA Dar lakini walipofika wakashangaa kukuta ni mkutano wa CHAUMMA. Wanasema wao si CHAUMMA, bali ni CHADEMA japokuwa walihudhuria mkutano huo?
  10. The Palm Beach

    Moto wa G55 utaiua CHADEMA? Moto wa Peter Msigwa tuliyeambiwa anahamia CCM na CHADEMA ya Iringa yote na CHADEMA kufa kabisa uliishia wapi?

    Nani anaweza kujibu swali hili kwa ufasaha..? Hivi mnaukumbuka moto wa Peter Msigwa aliyekuwa anapata promo ya CCM huku wakijiapiza kuwa wanaenda kuiua CHADEMA kwa kuondoka kwake..? Huyu Peter Msigwa aliyevurumka kutoka CHADEMA kama moto wa kifuu tukadhani sasa anakwenda kuiunguza CHADEMA...
  11. Just Pray

    PreGE2025 G55 mkutano wa CHAUMMA: Tulimpambania Lema akawa mbunge miaka 10, leo anasema CHADEMA sio sehemu ya kutimiza ndoto za ubunge

    Wakuu Bado maumivu ya hawa G55 ni makali na yanawachoma sana, baada ya kuambiwa CHADEMA sio sehemu ya kutimiza ndoto za ubunge kwa watu binafsi bali ndoto za wananchi. Hawa majamaa wanajali matumbo yao wanasahau chama kama CHADEMA kinatakiwa kupambania maslahi ya wananchi. Watu wa aina hii ni...
  12. C

    PreGE2025 Cha kusikitisha zaidi heka heka zote hizi mara CHAUMMA mara G55 lengo kuu kulinda wezi waliojificha CCM ambao hawataki mali zao za wizi zipotee

    Hizi sarakazi zote mnazoziona hazipo kwa maslahi ya Taifa wa maslahi ya chama( CCM ) bali ni kwa maslahi ya wahujumu na wezi wanao linda mali na mianya yao isibugudhiwe na ndio maana kwanza wamejificha ndani ya CCM na ndio mafadhili wakuu wa mambo mengi ya CCM lakini ndio wapiga dili wakuu...
  13. Just Pray

    Video: Hasheem Rungwe amechoka, anasoma hotuba kwa taabu sana, wana-CHAUMMA wanakuna vichwa tu, G55 wanampimia wapite na chama

    Wakuu Mkutano wa Chama Cha Ukombozi wa umma CHAUMMA unaoendelea Ubungo Plaza mambo ni mengi, Mwenyekiti wa chama hicho Rungwe anaonekana amechoka na yupo hoi kwani hata kusoma anapata taabu sana. G55 wanampimia tu
  14. SankaraBoukaka

    Haya yatatokea kati ya Juni na Disemba 2025

    JUNI 2025 Matukio yanayotarajiwa: Kutakuwa na majadiliano ya kina kuhusu katiba au mageuzi ya sheria fulani, hasa upande wa haki za kiraia na uhuru wa vyombo vya habari. Kutaibuka mjadala mkubwa kuhusu maadili ya vijana na matumizi ya mitandao ya kijamii. Sekta ya kilimo itaathirika na...
  15. Fascinating

    PreGE2025 Midundo ya Wahama chama, kuna Mkufunzi bado hajajitokeza: Najiuliza tu, wataweza kupata nyama kwa wauza mchicha?

    Wazaramo wasomi wanasemaga “When an apprentice graduates, the master will show up” Hizi hekaheka sio bure, kuna mkubwa wao bado hajajitokeza, haiwezekani hawana hata Cognitive dissonance, tena kipindi ambacho Mtunzakiti wao anasota rumande na kesi ya uhaini. Hawa Wahamachama hawana jeuri ya...
  16. Fbn

    G55 inawezakana ndio wauzaji wa taarifa kubwa za kupotea wote CHADEMA

    Wasaliti wanaweza kuona mabadiliko kuwa ndani ya chama kuwa ndio walikuwa wanahusika na mambo mengi. Ili kujiondoa ni kuepusha kuwa hawakuwa wanahusika na kuvujisha taarifa za chama. Damu zinawalilia G55
  17. E

    G55 walamba vyeo Chaumma

    Kufuatia makubaliano yanayoendelea kati ya Chaumma na makada waliotoka Chadema, Hashim Rungwe anaendelea kuwa mwenyekiti wa chama hicho na makamu wake (Bara) anakuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Devotha Minja. Nafasi ya Katibu Mkuu amepewa Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu...
  18. Komeo Lachuma

    Muendelezo wa msg za Whatsapp za G55 Kwa mwenzao aliyeshtukia Mchezo

  19. Heparin

    PreGE2025 Mrema, Kileo, Kigaila, Salumu Mwalimu, Devotha Minja na G 55 wengine rasmi watua CHAUMMA. Walijifanya kukataa, kiko wapi!

    Wakuu, Informer wenu nipo kwenye Mkutano Mkuu wa CHAUMMA. Nimekuja na hii taarifa ya ndani kabisa kutoka jikoni. Soon watatangaza rasmi. Tukio hili lipo Golden Tulip, Dar es Salaam. Taarifa zaidi zitakujia. Pia, Soma: Inasemekana G55 wanahamia CHAUMMA, kupewa nafasi za uongozi kukamiliasha 5%...
Back
Top Bottom