Kwenye kada za maendeleo ya jamii serikali wanaajili NTA level 4,5 na 6
Lakini kwa upande wa shahada za maendeleo ya jamii mara nyingi nafasi hizo hakuna.
Kwasasa mimi nimemaliza shahada ya maendeleo ya jamii je ni sawa kusoma NTA level 5 mwaka mmoja ili niweze kuomba KAZI kwa cheti husika...
At Trees for the Future (TREES), we believe farmers have the power to transform the world. For over 30 years, we’ve been a global leader in agroforestry training, partnering with farming families to build vibrant economies, sustainable food systems, and thriving ecosystems. Through our signature...
On behalf of a Medium Gold Mining Company in Geita region, we have the following openings:
1. Accountant (1)
Must be a graduate in Finance with at least 7 years experience. CPA is an added advantage
2. Fitter Mechanics (2)
Must have trades certificate with experiences in a gold plant
3...
Fursa: Nafasi 700 za Kazi za Kuangalia Wazee New Zealand (Kupitia Danvast Career Search)
Habari wanajamii,
Nimekutana na tangazo la kazi ambalo naona linaweza kuwasaidia baadhi yetu humu. Kuna nafasi 700 za kazi za kuangalia wazee (Caregiver Jobs) katika nyumba za kulelea wazee New Zealand...
BARUA YA WAZI KWA WAZIRI WA KAZI ,AJIRA NA MAENDELEO YA VIJANA.
KUHUSU UVAMIZI WA FURSA ZA AJIRA NA BIASHARA KWA WAZAWA UNAOFANYWA NA BAADHI YA WAWEKEZAJI WA KIGENI (HUSUSAN RAIA WA KICHINA) NCHINI TANZANIA
MH.Waziri.
Tunapenda kukukumbusha juu ya ongezeko la malalamiko ya wananchi kuhusu...
Kampuni ya TUKUZA (Tuenzi na Kutunza Rasilimali Zetu Adimu), inahusika na uchakataji na usambazaji wa bidhaa mbalimbali za chakula, vipodozi asili, na kuendesha MAFUNZO mbalimbali. Kampuni imefanya kazi hizi toka mwaka 2014 hapa nchini Tanzania. Bidhaa zetu zina ubora wa hali juu na zinafanya...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda leo Jumatatu Februari 17, 2025 amekutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) akihimiza suala la Ujenzi wa viwanda na ufufuaji wa Viwanda vilivyokufa Mkoani Arusha kama sehemu ya Mkakati wa kukuza dhamira njema ya...
Kadri miaka inavyo zidi kwenda kunakuwa na ongezeko kubwa la wimbi la vijana wanao tafuta ajira.
% kubwa wengi wanapata ajira wamesha choka miaka ya 35-40.... hapo ana ambuliatu Ela ya kustaafu
Hoja ya msingi serikali ungekuja na mpango kupunguza muda wa kuajiriwa ikawa miaka 10, Kama ilivyo...
Nimepta kwenye nyuzi nyingi za wakati huu wa kuelekea uchaguzi na zile za zoezi la kujiandikisha unaona kabis namna Wanasiasa walivyo na uchu na madaraka, wanaonesha jinsi gani kuna fursa huko ndio maana hadi wanataka kutoana roho.
Ila sasa wakitoka hapo utawasikia ooo Siasa hailipi, siasa...
Habari wakuu,
Nimesomea Science and Laboratory Technology(FTC) kutoka DIT na Nina uzoefu wa zaidi ya miaka kumi nikifanya kwenye kampuni na viwanda tofauti.
Mwenye connection tupeane wakuu.
Wakuu Habari,
Naombeni msaada nawezaje kubadili kituo cha kufanyia usahili. Nimepangiwa interview lakini sitoweza kufika katika kituo hicho husika nataka nibadilishiwe kituo cha kufanyia huo usahili. Sekretarieti ya ajira leo hawashiki simu kwenye namba zao.
Msaada wakubwa🙏
JOB DESCRIPTION
MEL TECHNICAL SPECIALIST/ADVISOR
Accountable to: IIDC Executive Director
Directly Reporting to; Head of Programs
Based in: TANZANIA
Deadline: 16th September, 2024
About Impact and Innovations Development Centre
Impact and Innovations Development Centre (IIDC) is a...
Job Description
To assist with undertakings of the accounting function of the company in a professional manner to ensure the company meets its financial obligations.
Timely processing of invoices and payments as per agreed TATs and payment processing procedures.
To ensure all applicable taxes...
Habarini Wana JF nimehitimu mwaka huu Bachelor of Science in Chemistry lakini mpaka sas sijapata ata sehemu ya kujishikiza hata part time licha ya kuaapply internship sehemu mbalimbali.
Natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu. kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo...
Salama wana jukwaa,
Mimi ni kijana wa Kitanzania mwenye mke na watoto wawili, nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kazi yoyote ile kujikimu mimi na familia yangu.
Elimu yangu ni "Bachelor of Business Adminstration". Yoyote mwenye kazi au connection ya kazi yoyote halali na yenye kipato basi...
Hello!
Naongelea ajira wazi kwa wazazi hadi sasa ambazo zipo wazi hadi sasa duniani kwa watoto wetu. Usimlazimishe mtoto wako apate A class ambazo hazina maana mbeleni maisha mwake; Cheki na hizi ajira huwa hazijai.
1. Boxing: Ajira hii kama unamuona mtoto wako anakipaji cha hii kitu anza...
Serikali ya CCM chini raisi Samia Suluhu Hassan. Naomba sisi vijana tulio soma iwe kuanzia form four(aliyefaulu) or Veta(NVC 3) na kuendelea kwenye hiyo miradi na huku mitaani na mtuwekee kipaombele/ au mazingira wezeshi Yaani Kwa mfano haya makampuni ya kichina yanayo jenga miradi ya serikali...
My Take: Kinachowaangusha Watanzania ni Lugha ya Kingereza.
=======
First Batch of Kenyan Teachers Exported to the US
The Kenyan Government on Saturday flagged off the first batch of teachers who had secured job opportunities in the United States.
This followed a policy and regulatory...
Ni dhahiri siasa safi za maendeleo zinazofanyika Tanzania, zimechochea na kuimarisha mazingira bora zaidi ya kufanya biasha, na kusababisha hivi sasa, karibu kila eneo mijini na vijijini kuna soko, duka au masoko ya bidhaa mbalimbali yamafunguliwa.
Hizi zote ni ajira zinazotokana na fursa...
Mtazamo wangu naona serikali iweze kupunguza kodi kwa wawezekaji ili waje kwa wingi vijana wengi waweze kupata ajira.
Tazama hata nchi zilizoendelea ajira ni nyingi mpaka watu wanafuatwa na kampuni ili waajiriwe angali bado mtu yupo chuo.
Hivyo inasababisha hata maendeleo kwa nchi kwani kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.