Freelance (sometimes spelled free-lance or free lance), freelancer, and freelance worker, are terms commonly used for a person who is self-employed and is not necessarily committed to a particular employer long-term. Freelance workers are sometimes represented by a company or a temporary agency that resells freelance labor to clients; others work independently or use professional associations or websites to get work.
While the term independent contractor would be used in a higher register of English to designate the tax and employment classes of this type of worker, the term "freelancing" is most common in culture and creative industries, and use of this term may indicate participation therein.Fields, professions, and industries where freelancing is predominant include: music, writing, acting, computer programming, web design, graphic design, translating and illustrating, film and video production and other forms of piece work which some cultural theorists consider as central to the cognitive-cultural economy.
Jinsi Mwanafunzi wa Form Six Anaingiza Pesa Mtandaoni Kupitia Freelancing
Wakati vijana wengi waliomaliza kidato cha sita wakisubiri majibu ya chuo au kutafuta “kazi ya kuajiriwa,” kijana mmoja kutoka Mwanza aliamua kuchukua njia za tofauti.
Jina lake ni Festo
kijana mnyenyekevu, mpole lakini...
Unaweza kupata wateja wa Freelancing Bila Kutegemea Upwork au Fiverr.
Unaweza kupata wateja wa Freelancing Bila Kutegemea Upwork au Fiverr.
Jinsi Nilivyopata Wateja 100 wa kwanza
Nimekuwa freelancer kwa miaka 5, Nimefanya kazi na wateja zaidi ya 100 Global. Wengi wao sikuwapata Fiverr wala...
Kwa uzoefu wangu ya miaka mitatu,
1. Nimefanya kazi na wateja zaidi ya 400
2. Nimetumia platform zote za freelancing
3. Nimefanya kazi zaidi ya masaa 10,000
4. Nimetengeneza chain ya clients wa kudumu
5. Nafahamiana na kila freelancer hapa Tz
6. Nimejifunza skills zaidi ya 20
7...
Japo sio wote watafanikiwa ila at least nina uhakika vijana wanne kati ya kumi watapata kazi.
This is proved, hizi elimu zetu zimeletwa na wazungu, zinafundishwa pia kwenye nchi zao.
Kwahiyo ukishapata hii elimu mfano sheria, afya, sayansi zote, etc itumie kuwasaidia kazi kwa kufanya...
Tuongee mchongo wa freelancing kwa graduate: Kama umemaliza chuo na huna kazi
Kama umemaliza chuo na huna kazi
Unaweza kuanza kufanya freelancing na kupata wateja au kazi kwa kutumia elimu yako ya chuo.
Kwa experience ya miaka 5 ya kufanya freelancing fulltime, nimefanya kazi na clients...
Nimefanya kazi za freelancing na agencies nyingi sana.
Nimejifunza
Jinsi wanavyofanya kazi,
Jinsi wanavyotafuta Clients
Wanavotangaza huduma zao
wanavyowasilisha offer zao.
Meetings zao nyingi sana
Wanavyofanya project management wakiwa na team na hawajuani.
Wanafanya hivi 👇👇
1. Cold...
Jinsi Ninavyopata wateja wa kazi za freelancing.
Hizi njia ukiweza kuzitumia zitakupa matokeo ndaninya miezi mitatu.
Pia unaweza kuzitumia kwenye biashara yoyote
Kwanza kabisa wateja wa uhakika wapo LinkedIn,
LinkedIn mteja anakufata mwenyewe inbox kama ni interview anakupangia tarehe...
Pesa nyingi ninazopata kwenye Freelancing zianaishia kuwalipa vijana wanaonisaidia kufanya kazi. Hii level inaitwa dropservicing
Nitakuelekeza mambo muhimu ya kuzingatia ili uweze kufanya dropservicing... Pia ukitaka kufanya freelancing zingatia haya
Kwanza kabisa lazima uanze kama freelancer...
Hey guys,
I’m reaching out with a heavy heart and a strong desire to change my current situation. I’ve been working in a low-paying marketing job for nine years, applying for better opportunities but getting nowhere. I’ve also tried starting small businesses over the years, but they’ve all...
Siku hizi, freelancing imekuwa kama ndoto mpya kwa vijana wengi wa Kitanzania. Kila mtu anazungumzia uhuru wa kufanya kazi mtandaoni, hela isiyo na stress ya kusimamiwa na mabosi wa ofisini, na uwezo wa kufanya kazi popote – hata ukiwa nyumbani na kikombe cha chai! Lakini swali ni hili: Hela...
Digital Marketing - moja ya mada zinazotajwa sana haswa katika fursa za mtandaoni. Wafanyabiashara wengi wanasifu kuwa ni njia muhimu sana katika ukuzaji wa biashara. Kitu ambacho vyuo vingi vimeanza mafunzo ya kozi za digital marketing, lakini hii haimaanisha ni lazima uwe na college degree...
Wakati dunia inazidi kubadilika technologically, Nchi za Ki-Africa hatuna sababu ya kubaki nyuma maana resources zote za mtandaoni ni za dunia na wala si nchi fulani. Nadhani kama umepata kuona Ai mpya ya chat GPT utagundua within 5 years kama utalala sasahivi, basi utakuwa nyuma sana.
Lakini...
Habari wana JamiiForums, kwa bahati mbaya au nzuri, mambo mengi ambayo naandika au natamani kushare humu yashaongelewa tayari , na hata hii kitu ambayo naandika saa hivi. Freelancing.
Though, approach nlioona inatumika na wengi ni tofauti kabisa na ile ambayo nimekuwa nikitumia hivyo naona ni...
Experts wa IT, mthubutu kuanzisha freelancing websites hapa bongo ili tutengeneze character ya kufanya kazi na kulipwa kwa masaa kazi inapokamilika.
Kuna watu wana kazi ndogondogo na nyingine zinahitaji special skills ambazo kwenye ofisi yake labda hana expert wa kukamilisha hiyo task.
Kuondoa...
Nimeunda gig yangu ya kwanza huko fiverr kuhusu website development, sasa ambacho nataka kufahamu wakuu ni je
- Website ya mteja nampatia ikiwa hosted tayari ama nampa source codes?
-Kama nampatia ikiwa hosted, gharama za domain na hosting inabidi niwe nimezijumuisha kwenye cost ya kazi yangu ...
Hii ni special kwa all internet money hustlers! (Read more....)
Kama umekuwa interested au umefanya research kuhusiana na freelancing then utakuwa umekutana na platforms za freelancing kama vile Upwork, Fiverr, Freelancer na zaidi. Lakini, swali linalokujia akilini at the beginning ni namna...
Tokea vizazi na vizazi Haijawahi kutokea wakati rahisi kuanzisha biashara kama wakati tuliopo sasahivi!
Kabla ya kuendelea na huu uzi, naomba ondoa fikra potofu kuhusiana na online money making. Nimeona wengi wakicomment kwenye threads zangu kuhusiana namna ninavyochukulia easy kupata pesa...
Lets keep it straight and simple, Upwork ni platform kwaajili ya professionals so, you have to be an expert in your skills na kama sio expert basi ujue how to source that skill properly.
Points you should consider au ku-note kabla hujaapply kwa hizo kazi.
1) Apply to your skills related jobs...
Kama hujasoma my previous thread about how to start a freelancing business popote pale ulipo bila experience wala mtaji wowote, basi pitia sasa maana nimeelezea everything concerning this business.
Kwa kifupi, Freelancing ni aina ya biashara ambayo mtu yeyote yule anaweza kuuza service yake kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.