Je dalali ni nani?
Je atawekwa wazi?
Atakula bei gani?
Je kiwango atakacholipwa kitawekwa hadharani?
Nani katoa connection?
Atakula bei gani?
Je itauzwa kwa bei ya soko?
Je hakutakuwa na michezo ya upigaji? Kwenye bei, kwenye ujazo, kwenye idadi kwenye gharama za mauzo?
Hili ni dili la...
Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama kwenye mimbari inoonyesha ngao ya Uhuru na Umoja lakini ikiwa imeondolewa imebadilishwa na kuondoa historia yake.
Hii ngao ina historia kubwa sana kwa taifa letu kuanzia wakati wa ukoloni hadi mwaka 1971 ilipokubalika iwe ni ngao inoonyesha mamlaka ilosimama...
Naomba tuijadili hii mada bila mihemuko wala uchawa.
Tumeona maelfu ya wananchi wameuwa, na inasemekana kuna hadi wanajeshi wameuawa na polisi, hii yote ni kwa ajili ya kumlinda mtu mmoja tu. Sasa swali la msingi ni hili; hivi jeshi lipo kwa ajili ya kumlinda rais au wananchi.
Wasalaam.
Yuko wapi Mdude Nyangali? Ni kweli mmesahau yaliomkuta au mmeamua kujizima data na kuungana na wadhalimu?
Au ndo ile slogan kifo ni kifo tuu.?
Kwasasa ukitembea mitaani utakutana na vitu vingi sana vyenye nembo ya CCM ambavyo watu wamepewa bure ikiwemo baiskeli na pikipiki ambazo zilitoka muda kidogo.
Mimi najiuliza kwanini vitolewe kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi mkuu??
Je Takukuru iko wapi na kwanini hawahoji hili...
Wakuu, naomba kwa mwenye uelewa anisaidie kidogo kwenye hili. Naomba kueleweshwa kwa mfano Simba wengi namaanisha wengi wakaamua kutoka MBUGANI kwenye Hifadhi ya Wanyamapori wakaingia mjini watu wataokutana na Simba hao wanatakiwa kufanya nini ili wasidhurike?.
Naomba hili swali nijibiwe na...
Kuna vitu wala havihitaji kuwa la saba C kuving'amua. Huyu anasema no reform no election akimaanish bila mabadiliko ya kweli hakuna uchaguzi na hawa wanaosema watalinda kura..
Hivi unalindaje kura kwa mfano? Ni njia gani watazitumia? Halafu cha ajabu watu hao ni watz, wanajua context yote.
Havana
Ipi ni jibu sahihi, Bank zinatusaidia sisi (wateja) tunaoweka hela kwao, au sisi wateja ndio tunaowasaidia bank waendelee kuwa kwenye ajira na wao kuendelea kuwa na maisha mazuri?
Pia kati ya mteja (anayeweka hela bank) na bank (anayetunza hela za mteja na kujinufaisha) ni yupi anayepata faida...
Wasalaam.
Kuna ushahidi kwamba rais anamlalamikia waziri wa fedha kwa ubadhirifu badala ya kumchukulia hatua.
Mawaziri wanamlalamikia waziri wa fedha badala ya kumwajibisha kwa mujibu wa sheria.
Wabunge wanamlalamikia waziri wa fedha badala ya kumwajibisha kwa mujibbu wa kanuni za bunge. Hii...
Najiuliza hili swali inakuwaje kila sector nyeti nchi hasa ofisi ya Rais imeshikiliwa na mzanzibar?
Na ukimkuta mtanganyika anakuwa Hana meno na aamininiki kwa chochote!!
Je, Tanzania imethibitiwa na Kama Nyerere alivyokuwa amewadhibiti wazanzibari?
Mmeshasikia mtu anatekwa Zanzibar kwanini...
Biblia katika kitabu cha Mwanzo 1:2 inaeleza
Mwanzo 1
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Katika mstari huu kuna vitu vya kujiuliza ambavyo Natumai wajuzi wa haya mambo mtanisaidia?
1. Kwanini nchi...
Wasalaam
Inashangaza sana kuona mtu mzima bwana Mbowe anatumia nguvu kubwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA ili hali wanaCHADEMA wamemkataa na wanataka mabadiliko ndani ya chama na nchi kwa ujumla.
Iko wazi kabisa Mbowe anashirikiana na maCCM kuhakikisha anaendelea kuwa madarakani na kuendelea...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema mji wa Tarime una nafasi ya kipekee ya kudai haki kupitia chama hicho cha upinzani hasa kikipewa uongozi na wananchi. Lissu ameyasema hayo leo Novemba 21, 2024, wakati akiongea na wananchi wa Tarime akiwa...
Habari za leo;
Ingawa kuna controversial nyingi sana kuhusu mwanzo wa dunia na ulimwengu basi leo nimeamka na swali hili kuhusu wanyama au viumbe wengine.
Watu wengi na baadhi ya maandiko ya kisayansi na kiimani husema kwamba binatamu ana sehemu tatu zinzocontrol ubinadamu wake. Ambazo ni...
Kwamba sasa hivi ndugu yako akiitoweka na watu wasiojulikana hautamuona tena au utakutana na maiti yake.
Mbona hapa kwetu haya mambo hayakuwepo? Hata kama yalikuwepo sio kama hivi.
Style ya special branch ya makaburu.
Style ya State research bureau ya Amin.
Kwa hizi nchi zinazopigana vita nyakati hizi; Ukraine, Urusi, Israel, Palestina, Lebanon n.k
Nyakati hizi, kuna wanaoenda kuomba kazi za jeshi kweli?
Je wakileta maombi kwa vijana wa kutoka Afrika waende wakaajiriwe kule, wapo watakaoenda?
Fikiria juu ya ufisadi wa Kagoda, Meremeta, Richmond, na ule wa enzi za Jakaya.
Je , sasa hivi? Mahindra tech, Waarabu waliouziwa bandari?
Mbona Watanzania hawaipiganii Nchi yao kama Wakenya? Mama anaenda Oman kusalimia Wajomba. Kodi za Watanganyika hazitumiki?
"TUNAONA TAABU SANA KUUNGANA KUMKABILI MWENYE NGUVU. WENYE NGUVU WANAUNGANA KUMKABILI MNYONGE," Mwl. Nyerere
Kama ningekuwepo wakati wa Mwalimu Nyerere, ningemuuliza swali hili: Ni rahisi kwa kiasi gani kwa Mwafrika kumwamini Mwafrika mwenzake katika dola, ili waweze kuungana?
Kwa sababu...
Mfano.. zikiwekwa hapo Bilioni 5 Tundu lissu afutwe uanachama kuna atakaekataa?
Tundu lissu amekuwa sehemu ya Tishio kwa Hoja zake na misimamo yake
Amekuwa Mkweli, amekuwa sehemu ya kusimamia anachokiamini
Pesa zinazoitwa za mama Abdulah zikimwaga ufipa kama zilizo habari za ndani za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.