Kwa Imani
Member
- Sep 19, 2021
- 10
- 7
Msaada anayejua dawa ya maambukizi kwenye ulimi kwa jina la Geographical toungue kama inavyoonekana hapo kwenye picha.
Niliambiwa ni upungufu wa vitamin C, nikaandikiwa dawa za Vitamin C, nikaambiwa nile vyakula vyenye Vitamin C lakini wapi.
Je, kuna yeyote anafahamu huu ugonjwa na dawa yake?
NB: Sijawahi kufanya mapenzi kwa njia ya mdomo wala kulana denda. (Maana kila mtu huwa anafikria hivyo).
Niliambiwa ni upungufu wa vitamin C, nikaandikiwa dawa za Vitamin C, nikaambiwa nile vyakula vyenye Vitamin C lakini wapi.
Je, kuna yeyote anafahamu huu ugonjwa na dawa yake?
NB: Sijawahi kufanya mapenzi kwa njia ya mdomo wala kulana denda. (Maana kila mtu huwa anafikria hivyo).