el nino

El Niño–Southern Oscillation (ENSO) is a global climate phenomenon that emerges from variation in winds and sea surface temperatures over the tropical Pacific Ocean. Those variations have an irregular pattern but do have some appearance of cycles. The occurrence of ENSO is not easily predictable. It affects the climate of much of the tropics and subtropics, and has links (teleconnections) to higher-latitude regions of the world. The warming phase of the sea surface temperature is known as "El Niño" and the cooling phase as "La Niña". The Southern Oscillation is the accompanying atmospheric oscillation, which is coupled with the sea temperature change.
El Niño is associated with higher than normal sea level air pressure over Indonesia, Australia and across the Indian Ocean to the Atlantic Ocean. La Niña has roughly the reverse pattern: high pressure over the central and eastern Pacific and lower pressure through much of the rest of the tropics and subtropics. The two phenomena last a year or so each and typically occur every two to seven years with varying intensity, with neutral periods of lower intensity interspersed. El Niño events can be more intense, but La Niña events may repeat and last longer.
A key mechanism of ENSO is the Bjerknes feedback (named after Jacob Bjerknes in 1969) in which the atmospheric changes alter the sea temperatures that, in turn, alter the atmospheric winds in a positive feedback. Weaker easterly trade winds result in a surge of warm surface waters to the east and reduced ocean upwelling on the equator. In turn, this leads to warmer sea surface temperatures (called El Niño), a weaker Walker circulation (an east–west overturning circulation in the atmosphere) and even weaker trade winds. Ultimately, the warm waters in the western tropical Pacific are depleted enough so that conditions return to normal. The exact mechanisms that cause the oscillation are unclear and are being studied.
Each country that monitors the ENSO has a different threshold for what constitutes an El Niño or La Niña event, which is tailored to their specific interests.
El Niño and La Niña affect the global climate and disrupt normal weather patterns, which can lead to intense storms in some places and droughts in others. El Niño events cause short-term (approximately one year in length) spikes in global average surface temperature, while La Niña events cause short term surface cooling. Therefore, the relative frequency of El Niño compared to La Niña events can affect global temperature trends on timescales of around ten years. The countries most affected by ENSO are developing countries that are bordering the Pacific Ocean and dependent on agriculture and fishing.
In climate change science, ENSO is known as one of the internal climate variability phenomena. Future trends in ENSO due to climate change are uncertain, although climate change exacerbates the effects of droughts and floods. The IPCC Sixth Assessment Report summarized the scientific knowledge in 2021 for the future of ENSO as follows: "In the long term, it is very likely that the precipitation variance related to El Niño–Southern Oscillation will increase". The scientific consensus is also that "it is very likely that rainfall variability related to changes in the strength and spatial extent of ENSO teleconnections will lead to significant changes at regional scale".

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Prof. Shemdoe azitaka Wilaya, Halmashauri zote kujiandaa kukabiliana na athari za Mvua za El Niño

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amezielekeza Wilaya na Halmashauri zote nchini kuhakikisha zinafanya kazi ya kuzibua mitaro na mifereji ya maji ili kujiandaa na kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua...
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais aagiza hatua za haraka kujiandaa kukabiliana na athari za mvua za El Niño

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameagiza Mamlaka na Taasisi zinazohusika kuchukua hatua za haraka kujiandaa ili kuzuia na kupunguza athari zinazoweza kusababishwa na mvua za El Niño zinazotarajiwa kuanza mwezi Oktoba 2026. Makamu wa Rais ametoa...
  3. VanDon

    JamiiForums Tanzania Ni nini EL NIÑO na madhara yake

    Haya hapa maelezo kwa ufupi (njia ya picha) juu ya maana, inavyotokea, madhara, na tahadhari juu ya El niño.
  4. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Umejipanga vipi na mvua za El Nino?

    Hapa waliojiajiri wanachekelea tu, wale wa online business fresh tu, waliojenga fresh tu, una wifi Yako ndani fresh tu, una pisi au brazamen fresh tu, vyakula vya tahadhari umejanza ndani, fresh tu sijui we UMEJIPANGA vip
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mchinjita: Mikoa itangaze maeno hatarishi kuelekea El Nino, yaandaliwe maeneo salama

    Septemba 6, 2026 Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita alizungumza na Wanahabari, pamoja mambo mengine alizungumzia suala la El Nino na jinsi Serikali inavyoshindwa kujiandaa kukabiliana nayo. ACT Wazalendo hatutaki maneno bila vitendo, kwa kuwa mvua hizi zinaweza kusababisha...
  6. R

    JamiiForums Tanzania WMO yatoa onyo El Niño itakuwa tishio la kihistoria, tahadhari zichukuliwe mapema

    Shirika la hali ya hewa la Umoja wa Mataifa limetoa onyo kali kuhusu hali ya hewa ya El Niño, likisema inaongezeka kwa kasi na huenda ikawa tukio lenye nguvu zaidi kuwahi kurekodiwa tangu ufuatiliaji wake ulipoanza miongo minne iliyopita. Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari katika...
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Warsame: Tunaongeza nguvu ya ujenzi wa Bomba la Gesi Asilia (Kilomita 22) kabla ya El Niño

    UJENZI wa bomba la gesi asilia lenye urefu wa kilomita 22 kutoka Kisemvule hadi Mbagala umeingia hatua muhimu, huku Kampuni ya Rashal Energies Limited ikiongeza kasi ya kazi katika maeneo ya njia yanayoweza kuathiriwa zaidi na mvua kubwa. Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Rashal Energies...
  8. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu ya kuzingata wakati wa El Nino

    El Niño na maandalizi ya mvua kubwa Nyumba: Kagua paa, mifereji ya maji na sehemu zinazovuja. Mafuriko: Ondoa taka kwenye mitaro na epuka kujenga/kukaa kwenye maeneo yanayotuamisha maji. Maji: Hifadhi maji safi ya matumizi endapo huduma itakatika. Chakula: Kuwa na akiba ya vyakula...
  9. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania El nino ya 1999 dec,ndiyo iliyofikia level 4,sasa hii imejijenga mpaka level 5...

    Hii built up ya level 5 inayotaka kielekea level 6 ,huenda ikaharibu viumbe bahari kwa 80% pamoja na kusababisha coral reef melt away katika bahari ya pacific,kumbuka visiwa vingi hapa duniani chini yake hushikiliwa na corol reefs!... -------- El Niño can turn the tropical Pacific into a vast...
  10. Setfree

    JamiiForums Tanzania Yesu anaweza kuizuia El Niño. Ukweli huu hapa!

    Tumeishasikia wataalamu wa hali ya hewa wakisema El Niño kali yaja. Na wameonya tayari kwamba El Niño ya mwaka 2026 imeimarika na inatarajiwa kuwa na nguvu sana. Hali hiyo inaweza kusababisha mafuriko makubwa na kuharibu makazi, barabara nk. Tunashukuru wenye mamlaka wameishaanza maandalizi ya...
  11. H

    JamiiForums Tanzania DKT. MWIGULU ATOA WITO WA MAANDALIZI YA MAPEMA KUKABILI ATHARI ZA EL NIÑO

    DKT. MWIGULU ATOA WITO WA MAANDALIZI YA MAPEMA KUKABILI ATHARI ZA EL NIÑO ▪️ Atoa rai kwa Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya mafuriko. ▪️ Aagiza ndani ya Septemba kutangazwa zabuni ya ujenzi wa barabara km 11 za Igauri - Ilongero. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa...
  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu atoa wito wa Maandalizi ya mapema kukabili athari za El Nino

    ▪︎ Atoa rai kwa Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya mafuriko ▪︎ Aagiza ndani ya Septemba kutangazwa zabuni ya ujenzi wa barabara km 11 za Igauri–Ilongero WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa Watanzania na viongozi katika ngazi zote kuchukua tahadhari na kujiandaa mapema...
  13. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Dhoruba ya EL Nino Yapiga Hodi China,Yaporomosha Magorofa na kuleta Mafuriko Makubwa.Huko Canada na Marekani Barabara zajaa maji na magari kusombwa.

    My Take El Nino sio mzaha ,kama wanaojiita wahandisi wa Dunia wamesambaratishwa hivyo huku kwetu tuanze kutia maji. https://www.instagram.com/reel/Dc3I6r-oVX7/?stkn=cmlybWF6dzA3cXVn Ila tusiogope sana Kila Nchi Ina aina zake za Hali ya Hewa na intensity...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wanasema tujiandae na El Niño lakini Matosa Uzaramuni – Goba tunateseka na Kalavati bovu

    Uongozi wa Wilaya ya Ubungo umekuwa ukitoa tahadhari kwa wananchi kuhusu uwezekano wa mvua kubwa za El Niño, lakini wakazi wa baadhi ya maeneo tunahoji hatua zinazochukuliwa kukabiliana na maeneo ambayo tayari yamekuwa na changamoto tangu mvua za El Niño za mwaka 2023. Miongoni mwa maeneo hayo...
  15. H

    JamiiForums Tanzania Mkutano na Waandishi wa Habari kuhusu mpango wa dharura kukabiliana na El Nino nchini

    Mkutano na Waandishi wa Habari Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, atazungumza na Waandishi wa Habari kuhusu mpango wa dharura wa kukabiliana na madhara ya El Nino, nchini. 📆 02 Septemba, 2026. 🕰️ 05:00 Asubuhi. 📍Ukumbi wa mikutano Ngome/Relini Dodoma.
  16. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Sikiliza Podcast: El Niño na Tahadhari

    Wakati huu ukiwa nyumbani, sikiliza MAELEZO PODCASTS upate elimu na ufafanuzi juu ya uwepo wa mvua kubwa za El Niño na tahadhari za kuchukua🎙️ 🎙️ Spotify: open.spotify.com/episode/0gcaIl… 🎙️ Apple Podcasts: podcasts.apple.com/tz/podcast/mae… 🎙️ Amazon Music: music.amazon.com/podcasts/b6afc…...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Serikali yatenga Shilingi Bilioni 730 Kukabiliana na Athari za mvua za El Niño

    Serikali imesema inatarajia kutumia shilingi bilioni 730 na chenji katika maandalizi na kukabiliana na athari zinazoweza kujitokeza kutokana na mvua za vuli zinazotarajiwa kuambatana na hali ya El Niño, kuanzia Oktoba 2026. Kwa mujibu wa mpango huo, sehemu ya fedha hizo zitatumika katika...
  18. McLaren

    JamiiForums Tanzania Manispaa ya Ubungo yathibitisha ujio wa mvua kubwa za El Nino kuanzia Oktoba hadi Desemba, watoa tahadhari

    Manispaa ya Ubungo imewataka wananchi kuchukua tahadhari na kujiandaa kukabiliana na athari zinazoweza kujitokeza kutokana na mvua kubwa zinazoweza kuambatana na hali ya El Nino katika msimu wa mvua unaotarajiwa wa Oktoba - Desemba, 2026 Tahadhari hiyo inafuatia taarifa za Mamlaka ya Hali ya...
  19. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Ni Lini Serikali itaanza kuchukua hatua kukabiliana na madhara ya mvua za El Niño?

    Wakati Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ikitoa tahadhari kuhusu uwezekano wa mvua kubwa katika msimu wa Vuli wa Oktoba hadi Desemba 2026, swali muhimu kwa sasa si kama mvua zitanyesha, bali ni Serikali imejiandaa kwa kiwango gani kukabiliana na madhara yake? TMA imeonya kuhusu hali ya El...
  20. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Hali ya Hewa yatoa tahadhari uwepo wa mvua kubwa za El Nino mwezi October, 2026

    Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo kuhusu uwezekano wa kuwepo kwa mvua kubwa zinazohusishwa na hali ya hewa ya El Niño kuanzia Septemba na kuendelea hadi Oktoba, Novemba na Desemba 2026, huku athari zake zikitarajiwa kuendelea hadi mwanzoni mwa mwaka 2027. Akizungumza na...
Back
Top Bottom