Tangu wamwagwe, sijawasikia hao machawa hapo juu. Anayejua wako wapi na wanafanya nini atujuze. Kama wako humu wajue, tunafurahia walivyofanyiwa kitu mbaya baada ya kutumika na kutupwa kama ganda la mua. Uchawa na ufunza havilipi.
Naweza kusema yalikuwa mahesabu ya hovyo japokuwa walidhania yataisadia CCM.
Eneo pekee hapa nchini ambalo huwa linatoa mustakabari wa taifa letu ni kanda ya Ziwa Victoria hususani kwenye uchaguzi.
Mwaka 2005 Jakaya alikuwa anapigwa vita na watu wa maeneo ya kanda ambayo naiweka kapuni...
Yaani,
Ni mshangao kwa walio wengi. Ila, we saw it coming.
Matumizi yake ili kuhakikisha Majaliwa hana nguvu sana yameisha.
Siasa hizi! Na mseme kuna maridhiano?
Kwa wajuzi wa mambo, Dotto Biteko na wenzake watokao kanda ya ziwa walitumika kutaka kupata kura kabla ya uchafuzi haujaharibika.
Hivyo, sasa wameishajipa ushindi, hawahitaji msaada wao.
Je Desemba 9, watatoboa au kutobolewa?
Dotto hadi sasa hakuna haki yoyote ilifanyika kwenye uchaguzi huu, uchaguzi ambao umeingia doa kubwa hata kwa jiki auwezi kuondoa doa hilo.
Na hao mnaoshindana nao ni CCM B wote so hakuna uchaguzi hapo!
====================
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Bukombe, Dk Dotto Biteko amesema kwa...
Baada ya hekaheka za wiki nzima, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko amewasihi watanzania kufanya toba ya kweli kupata amani
Dkt. Biteko ameyasema hayo wakati alipoungana na wana Bukombe pamoja na wakazi wa maeneo jirani kumuabudu Mwenyezi Mungu kupitia mkesha...
Ewura CCC walitangaza nafasi za wajumbe wa bodi mwishoni mwa mwaka jana.. Watu wenye uzoefu wa tasnia ya nishati waliomba na hatimae waliitwa kwenye usaili. Sharia ya EWURA imeweka wazi kuwa baada ya usaili waziri wa nishati anatakiwa kuchagua watu 7 akiwemo mwenyekiti wa bodi.
Tunaomba...
Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Bukombe ambae pia ni naibu Waziri Mkuu Dkt Doto Biteko ameibuka kidedea
kwenye Kura za Maoni ndani ya Jimbo hilo kwa Ushindi wa kura za ndio 7441, akishinda kwa Wastani wa Asilimia99.8%.
Katika mchakato wa kura za Maoni Idadi ya Wajumbe waliohudhuria ilikuwa ni...
Ndgu wapendwa
Ninaombi kwenu la kazi ya udereva katika kampuni,mtu binafsi, taasisi.
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka (05) katika kazi ya udereva, nikiwa na leseni daraja [A, B, C1, na D], na ujuzi mzuri wa kuendesha magari aina mbalimbali pamoja uzoefu wa kusafiri masafa malefu katika mikoa mingi...
ahmed ally
ali kamwe
amos makala
anthonmy mavunde
diamond platinumz
dottobiteko
eng. hersi said
gsm
josephat msukuma
juma aweso
mirlad ayo
mo dewji
paul makonda
proffesional driver
zito kabwe
Salma Kikwete na Dotto Biteko wote wamepita bila kupingwa na wagombea wengine ndani ya CCM ktk majimbo yao, mmoja wao lazima awe Waziri Mkuu kwa taratibu za CCM
Kuna kila dalili Dotto Biteko kuteuliwa kuwa waziri mkuu ajayo baada ya Kassimu Majaliwa kung'atuka kugombea ubunge jambo hivyo kujiondoa kwenye sifa ya kuwa waziri mkuu
Biteko ambaye ni naibu waziri mkuu na waziri wa nishati ana sifa zote za kuwa waziri mkuu wa Tanzania Serikali ijayo
Kwanza...
Asalaam Aleykum!!
Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kama Waziri Mkuu Msaidizi August 23, 2023 ulizua mjadala mpana kuhusiana na mstakabali wa Waziri Mkuu wa Sasa Mh. Kassim Majaliwa.
Duru za kisiasa zinadokeza kuwa Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko ulikuwa ni mkakati mahsusi wa kumuandaa na kumpa uzoefu ili...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewataka walimu nchini kushikamana na kutokukubali kugawanywa
Dk Doto Biteko amesema hayo Jumapili Juni 8, 2025 jijini Dodoma wakati akimwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Saba wa Chama cha Walimu...
Hakuna asiyejua kila kona ya dunia watu wanaiongelea Tanzania. Wengine wenye niambaya na wengine wenye nia nzuri. Lakini Tanzania kwa sasa ndio kiongozi wa maendeleo ya kweli kwa watu wake.
===
MOROCCO: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko Mei 15, 2025 ametembelea Bunge la...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuidhinisha Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2025/2026 ya kiasi cha shilingi Trilioni 2.2 ambapo asilimia 96.5 ya Bajeti yote ni kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo na asilimia 3.5 ni...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewataka viongozi nchini kuepuka vitendo vya kuuza ardhi, badala yake wajikite katika kutatua migogoro inayohusiana na ardhi.
Ametoa kauli hiyo leo, Jumatano Aprili 23, 2025, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya...
Hii jamii ya kisukuma inaonekana imekaa kibaguzi, Magufuli aliibagua sana Arusha, alihamisha hata sherehe za kutunuku kamisheni wanajeshi ikulu Dsm wakati chuo kilichowafundisha wanajeshi kipo Monduli kipo Monduli, Arusha.
Sababu alikuwa anapachukia Arusha. Alikuwa Rais wa ajabu kuibagua nchi...
Naibu waziri mkuu na waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko ameahidi kutoa kiasi cha Tsh. Milioni 10 kwenye harambee ya Ukarabati wa jengo la kanisa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flaviani Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki la Geita, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.