dkt. charles kitima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Heparin

    Padri Kitima: Wakatoliki tuna sheria nzuri sana, ukitaka kumtuhumu Kitima anzia kwa Paroko. Ukianzia kwa Papa utarudishwa kwa Paroko

    Akizungumza wakati wa Misa ya kumuombea na kumuaga Marehemu Mariam Kessy aliyekuwa Mwenyekiti wa CPT Taifa, Padre Dakta Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Kanisa Katoliki Tanzania alisema: "Sisi kwenye Kanisa Katoliki wewe ukiwa na shida yoyote hata kama ukiwa unataka...
  2. W

    SI KWELI Lissu alikiri kuwa yeye na Mbowe walipatanishwa na Padre Kitima

    Wakuu Nimekutana na hii taarifa ikiambata na video na kudai kuwa ni ushuhuda wa kwamba Lissu alieleza kuwa walikutanishwa na Padri kitima kwa lengo la kupatanishwa. Je ni kweli Lissu alisema maneno hayo? === OGOPA MUNGU na TEKNOLOJIA amewahi kusema marehemu Ruge Mutahaba. Huyu hapa Tundu Lissu...
  3. Genius Man

    Kitima, Heche na Mwabukusi wamepiga mawe na ninaona habari zao kimataifa zikichapishwa na dunia inaona ukweli

    Kitima, Heche na Mwabukusi wamepiga mawe na ninaona habari zao kimataifa zikichapishwa na dunia inaona ukweli
  4. Heparin

    Yaliyotokea kwa Katibu Mkuu wa TEC, Fr. Raymond Saba enzi za Magufuli yanataka kutokea kwa Katibu wa sasa Fr. Kitima?

    Tarehe 14/2/2018 Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) walitoa Waraka uliokuwa maalumu kwa ajili ya Kwaresima na Sikukuu ya Pasaka. Waraka huo ulisainiwa na Maaskofu 35 toka Tanzania nzima ulikuwa na ujumbe mkali dhidi ya serikali hasa kuhusu uchaguzi na vyama vya upinzani kunyima haki ya kikatiba...
  5. Pascal Mayalla

    Nimeamini Kanisa Katoliki lina nguvu. Wengi wamefanyiwa uovu, ni kawaida. Kaguswa Padri Mkatoliki moto umewaka

    Wanabodi Naomba kuuliza,ni mimi tuu au na wenzangu mnaona hili tukio la kushambuliwa kwa Father Dr Charles Kitima,Katibu Mkuu wa TEC, lime draw extra ordinary attention,limeleta mshtuko mkubwa na kuzua taharuki,ni moto wa statements zinamimika kutoka kila sehemu,what is so special? Nimeamini...
  6. peno hasegawa

    Maswali ya Kujiuliza Kuhusu Tukio la kuvamiwa nyumbani Padri Dkt. Charles Kitima wa Kanisa Katoliki Tanzania

    Tukio la kuvamiwa kwa Katibu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania, Padri Dkt. Charles Kitima, limeibua maswali mengi miongoni mwa waumini na jamii kwa ujumla. Katika hali hii, ni muhimu kujiuliza maswali kadhaa kuhusu usalama wake na mazingira aliyokuwa akishi. 1. Usalama...
  7. Ojuolegbha

    CCM yalaani shambulio dhidi ya Padre Dkt. Charles Kitima

    YAH: KULAANI SHAMBULIO DHIDI YA PADRE DKT. CHARLES KITIMA Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa za kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Dkt. Charles Kitima, tukio lililotokea usiku wa Aprili 30, 2025, katika...
  8. N

    Rais wa TEC, Askofu Pisa apingana na polisi, asema taarifa yao kuwa Padri Kitima alikuwa anapata kinywaji wakati anashambuliwa ni Upotoshaji

    Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Wolfgang Pisa amesema Padri Charles Kitima ameshambuliwa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani na kujeruhiwa kidevuni. Hata hivyo, amesema taarifa zinazoeleza kabla ya kushambuliwa alikuwa akipata kinywaji ni upotoshaji, badala yake...
  9. The Mongolian Savage

    Lazima kuna tukio linaandaliwa kupotezea ishu ya Fr. Kitima

    Kwa mtazamo Naona ''watamuapproach" Mwijaku (the national disgrace) na ahadi kadhaa za maokoto. Jamaa alivyo hana mshipa wa aibu yaani atakubali na kufurahia hilo deal. Tujiandae na matukio ya ajabu. Nyau de adriz
  10. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Dkt. Kitima: Sisi kazi yetu kama Kanisa ni kukemea uovu. Uovu si suala la kisiasa bali ni suala la kimaadili na kidini

    Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), Dkt. Charles Kitima, amesema kuwa jukumu la viongozi wa dini kukemea maovu katika jamii, likiwemo wizi wa kura na ukiukwaji wa misingi ya haki katika chaguzi, si kuingilia siasa bali ni kutimiza wajibu wa kidini na kimaadili...
  11. Q

    PreGE2025 Katibu Mkuu TEC, Rev Dkt. Charles Kitima: Wasitupangie cha Kusema

    Majibu ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Rev Dkt. Charles Kitima baada ya kuulizwa kuhusu sakata la viongozi wa Dini kuonekana wanachanganya Dini na Siasa pale ambapo wanatoa matamko kuhusu mambo mbalimbali ya kiutawala yanayoendelea nchini. Amesema; Kupata...
  12. Waufukweni

    PreGE2025 Inasemekana baadhi ya Maaskofu wachukizwa na Padre Kitima kufanya Vikao vya Siri na CHADEMA

    Wakuu Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu...
  13. Just Pray

    Padri Kitima: Viongozi wa dini mkiendelea kukaa kimya juu ya matukio ya watu kuuawa maovu haya yataendelea nchi hii

    Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki nchini Tanzania, Padre Charles Kitima awavaa viongozi wa dini kwa kushindwa kukemea maovu yanayoendelea nchini humo hasa kupotezwa kijana Soka na wenzake, kuuawa kwa Mzee Kibao, awakemea wanaosema wasichanganye dini na siasa, awataka viongozi kujua...
  14. Q

    Padre Dkt. Kitima: Zipo nchi siku hizi zinakuja kujifunza siasa chafu Tanzania

    Ni aibu hii sio nchi aliyoiacha Mwalimu Nyerere ambayo ilikuwa ni mwenyeji wa vikundi vingi vya wapigania uhuru na kutoa hifadhi ikiwepo Makao Makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Bara la Afrika. Miongoni mwa waliowahi kuishi Tanzania ni Nelson Mandela na Samora Machel. “Nchi ambayo ilikuwa...
  15. Waufukweni

    Padre Dkt. Kitima: Aliyemuua Kibao tunamlaani, amefanya kosa baya, ni chukizo kwa Mungu

    Padre Dkt. Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), ametoa kauli nzito akisema kuwa viongozi wa dini lazima waonyeshe wazi kwamba aliyehusika katika mauaji ya Ally Mohamed Kibao amefanya kosa kubwa na ni laana kwa Mwenyezi Mungu. Pia, Soma: Dar: Ali...
  16. JanguKamaJangu

    LGE2024 Dkt. Charles Kitima: Wameandikisha Watoto wa Shule ya Msingi na Sekondari kupiga Kura, mnawaharibu Watoto

    Kanisa Katokili Nchini kupitia Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Nchini Dkt. Charles Kitima limelaani kitendo cha watoto wadogo kuandikishwa kwa ajili ya kupiga kura kitendo ambacho ni kibaya kufundisha watoto matendo maovu
  17. M

    Dkt. Charles Kitima na Dkt. Slaa wote wamewahi kuwa Makatibu wa TEC haya ndiyo maoni yangu kuhusu waraka wa TEC

    Nimesoma tamko la TEC Kwanza tamko limesomwa na mtu mmoja bila kuwepo na askofu mwingine yeyote. Aliyesoma na kuandika tamko amekuwa miongoni mwa watu wanaopinga mkataba wa bandari kwa nyakati tofauti hata kabla ya tamko la leo. TEC imetumika kama Jukwaa lilisaidia Slaa na Kitima kufikisha...
Back
Top Bottom