dira ya taifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Mijadala ya sera kati ya Tanzania na China kuinufaisha Tanzania katika utekelezaji wake wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

    Wakati China ikielekea kuainisha mipango yake ya maendeleo ya taifa kwa miaka mitano ijayo (2026 hadi 2031) baada ya kumalizika kwa Mpango wa 14 wa Miaka Mitano wa China (2021-2025), hivi karibuni Tanzania imezindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kufikia lengo kuu la kujenga Taifa jumuishi...
  2. M

    Dira ya Taifa ya maendeleo 2050 na uwajibikaji

    WanaJF, Natumaini tunaendelea vizuri wikendi hii. Leo nimekuja na ushauri kwa serikali yetu wakati tunapambana kuelekea kwenye uchumi wa juu kama nchi. Wakati tunajivunia maendeleo tuliyopata na tunayoendelea kupata kwenye sekta za afya, elimu, usafirishaji etc tunatakiwa tuhakikishe huduma...
  3. matunduizi

    Kwa nini Ilani za vyama zisilazimishwe kisheria KUFUATA dira ya Taifa?

    Taifa liwe na dira ya miaka 50+ ijayo. Ifundishwe KWA Lugha rahisi kuanzia chekechea Hadi kwenye vijiwe vya kahawa mitaani. Kila Chama kilazimishwe kisheria kuandaa Ilani na malengo yake kuonyesha kitawezaje kutufikisha katika dira hiyo. Ni hayo tu Mtumishi Matunduizi
  4. Stephano Mgendanyi

    NSSF wampongeza Rais Samia kwa dira ya taifa ya maendeleo 2050

    NSSF WAMPONGEZA RAIS DKT. SAMIA KWA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 Tanzania National Social Security Fund (NSSF) wamempongeza sana Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuzindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 NSSF wanasema kuwa Dira 2050 imezingatia...
  5. Outsiders

    Vijana na dira ya taifa

    Vijana wengi leo hii tumeingiwa na uoga kutokana na matukio yanayoendelea siku baada ya siku yakihusisha vijana na watawala,, ni ngumu sana leo hii kijana kujitokeza na kujadili hoja zito zinazohusiana na mustakabali wa maisha yake ya sasa naya baadae,, Leo hii kijana anaonekana kama tishio...
  6. T

    Ili tufikie malengo ya dira ya taifa kabla ya muda tarajiwa inabidi kupunguza Pato la wanasiasa wapewe wataalamu wa kada mahususi

    Nimeisikiliza dira ya taifa ya kuelekea 2050 japo naona haijatutendea haki kwani imetukadiria kwa udogo lkn kama hatutakuwa serious tunaweza tusitoboe. Jambo muhimu ninalopendekeza ili kufikia malengo hayo kwa haraka lazima tupunguze maslahi kwenye siasa na tuweke hayo maslahi kwa wataalamu na...
  7. PLOII

    We need to be realistic uchumi needs practicality not slogans; Kitila Mkumbo hujasoma dira ya taifa 2000-2025?

    Habari Zenu Wadau, Niende kwenye Mada Kwa ufupi, Leo kama Taifa tumezindua DIRA ya maendeleo ya Taifa letu(TDV) na Rais Samia akiandika record baada ya Mkapa. Changamoto kubwa ni kuwa tunaandika Dira ya Taifa bila kuwa na Katiba imara ya kuilinda. Tumeshuhudia ndani ya miaka 25 kila Rais...
  8. Fbn

    Dira ya taifa moja wapo ni hii

    Kweli kufika 2050 kama tutakuwa nao hawa majoyce wowote tutarajie vituko.
  9. MamaSamia2025

    Ninasikitishwa na upinzani dhaifu unaomjadili Mbowe badala ya dira ya taifa iliyozinduliwa leo

    Kazi ya upinzani ni kuleta balance kwenye kuiendesha nchi (checks and balance) ila ninasikitishwa sana na jinsi upinzani wetu ulivyo dhaifu na usiojitambua kabisa. Wanaachaje kuijadili dira ya taifa badala yake kumjadili Mbowe aliyehudhuria uzinduzi? Acha tu CCM iendelee kuongoza kwa sababu...
  10. Yoda

    Matatizo matatu makubwa kwenye Dira ya Taifa 2050

    1. Malengo yasiyo na uhalisia Nimemsikiliza Rostam Aziz anasema tume ya kutengeneza dira walikuwa wanalenga Tanzania iwe na ukubwa wa uchumi(GDP) kati ya $bilion 500-700, wao sekta binafsi wakina Rostam wakapendekeza malengo iwe GDP $Trilion 1 ! Haya ni malengo yasiyo na uhalisia, kwa miaka 25...
  11. N

    Msingi wa Dira ya taifa ya maendeleo 2050 ni kiini macho, kama kweli serikali ya CCM ipo serious tunataka tuone vitendo kuanzia sasa

    Nimepitia haraka haraka dira ya maendeleo ya taifa 2025-2050 iliozinduliwa leo na kugundua misingi yake ina hadaa umma wa Watanzania. "Kila mtu anafurahia uhuru, ulinzi wa maisha yake na haki zote za msingi zilizowekwa kikatiba, zinazosimamiwa na mahakama zilizo huru, zinazozingatia makundi...
  12. K

    Dira ya taifa bila mifumo imara ya siasa na kupambana na rushwa ni kupoteza muda

    Tunaweka Dira ambayo haiwezi kutekelezeka kwa mazingira ya sasa 1. Hatuna mfumo imara wa haki na mahakama zinatoa haki kipendeleo na kisiasa 2. Hatuna mfumo wa siasa mzuri tuna demokrasia ambayo serikali ndiyo ya kwanza kuipiga vita! 3. Viongozi wengi wananufaika na rushwa ndiyo maana kwa...
  13. Dr Adam Francis

    Hongera Samia kwa dira ya Taifa ya maendeleo 2050

    Tunasoma katika Mithali 29:18 "Pasipo maono, watu huacha kujizuia" Huu ni ukweli usiopingika linapokuja swala la maendeleo ya mtu mmoja mmoja au taifa kwa ujumla. Eneo moja lililotughalimu kama nchi ni kukosekana kwa mwendelezo wa mipango yetu ya maendeleo kutoka awamu moja kwenda awamu...
  14. Zanzibar-ASP

    Dira ya taifa ya maendeleo 2050 bila Haki, Demokrasia na Katiba mpya ni uchafu mtupu

    Haijarishi tutakuwa na mipango ya namna gani au dira ya namna gani, kama mifumo ya nchi yetu itaendelea kuminya haki za watu, kuua Demokrasia na kuwepo kwa katiba hii ya sasa ambayo ni mbovu kupita maelezo, dira ya maendeleo ya taifa ya 2050 itabakia kuwa ni UCHAFU mtupu. Watanzania wa sasa...
  15. OLS

    Dira ya Taifa 2050 haina makadirio ya uwiano wa kodi itakayokusanywa kwa mwaka 2050

    Naendelea kusoma Dira ya Taifa ya 2050 ambayo inazinduliwa leo. Jambo moja la msingi ni wapi tunapata hela za kutekeleza yaliyomo kwenye dira. Dira imeelezea masuala ya kodi na moja ya matarajio ni kuwa na uchumi jumuishi utakaoongeza uwiano wa makusanyo ya kodi na pato ya taifa. Uwiano wa kodi...
  16. Just Pray

    Mbowe akiwepo uzinduzi dira ya Taifa, Rais mstaafu Kikwete asema 'Huyu Kitila Mkumbo aliteleza, sijui Mbowe alimdanganya nini yule sasa amerejea'

    "Unajua huyu kuna kipindi aliteleza, Huyu Kitila Mkumbo alikuwa mwenyekiti wa vijana UVCCM mkoa wa Singida, sijui Mbowe alikuja kudanganya nini yule pale, kwahiyo anayo fanya haya ni ya ki-CCM, anakumbuka kule alikotokea. Na hio siri nimeitoa ili watu wajue kwamba uliteleza kidogo lakini umerudi...
  17. D

    Hivi kuna haja gani kuwepo kikundi kinachoitwa kikundi cha hamasa kwenye matukio ya Kitaifa kama uzinduzi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo?

    Hii mada nimeamua kuileta kwenye jukwaa hili baada ya tafakuri ya muda mrefu.Baada ya tafakuri nimeitimisha kama ifauatavyo. 1.Kuruhusu kelele mahali panapohitaji utulivu ni ukusefu wa userious kwenye mambo yenye umuhimu mkubwa sana kwa taifa letu. 2.Kupiga kelele kipindi viongozi wanautubia...
  18. W

    Mbowe Aibuka Dodoma Uzinduzi wa Dira ya Taifa ya 2050

    Mwenyekiti mstaafu wa Chadema, Freeman Mbowe aibukia kwenye Uzinduzi wa Dira ya Taifa katika ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.
  19. Waufukweni

    Dira ya Taifa 2050 inasema angalau asilimia 70 ya Wananchi watakuwa na ujuzi wa TEHAMA, tutafikaje huko ikiwa kufungia Mitandao bado kunaendelea?

    Wakuu! Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050, inayotarajiwa kuzinduliwa mchana wa leo, inaweka mkazo mkubwa katika kujenga Tanzania ya Kidijitali. Kupitia dira hiyo, Serikali imelenga kuhakikisha kuwa ifikapo mwaka 2050, angalau asilimia 70 ya Wananchi wanakuwa na ujuzi wa TEHAMA. Soma > Rais Samia...
  20. OLS

    Dira ya Taifa ya 2050 yalenga kubaki kuwa maskini wa kutupwa miaka 25 ijayo

    Dira ya Taifa inayotarajiwa kuzinduliwa leo, imeandika kulenga kufikia Tanzania ya Viwanda kufikia mwaka 2050 ambapo imesema wanataka kuwa nchi ya kipato cha juu cha kati (Upper Middle Income Country). Hata hivyo kwenye kipato cha watu wamelenga kuwa dola 7000 kwa mwaka. Je, per Capital Income...
Back
Top Bottom