developer

  1. Samedi Amba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Laravel/PHP Developer

    Hello wanajamvi, Natafuta PHP Developer wa kuteam naye muda mrefu. Lazima awe na portfolio inayoeleweka, na awe na angalau muda usiopungua masaa 15 kila wiki. Ni freelance agency. Ukiwa na vigezo ni PM.
  2. Null Pointer

    JamiiForums Tanzania Natafuta sehemu ya kufanya kazi part time

    Salaam Wakuu! Poleni na majukumu. Mimi ni kijana wa kiume wa miaka 30. Ninaishi Dar es salaam. Nimeajiriwa kama Software Developer sehemu fulani. Natafuta sehemu ya kufanya part time nje ya muda wa kazi. Lengo ni kuongeza kipato na pia kupata uzoefu nje ya mazingira ya kazi. Nimesoma degree ya...
  3. mathsjery

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa wale PHP developers angalia hii video kisha endelea na kazi zako

  4. K

    JamiiForums Tanzania MERN stack developer or React Native developer anahitajika

    Je kama wewe ni full stack javascript developer, MERN (MongoDB, ExpressJS, ReactJS, NodeJS) au una experience na REACT NATIVE with FIREBASE or NODEJS backend, tuwasiliane kupitia namba hizi 0788 826 982.
  5. Dr Orb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Muongozo wa software developer anaeanza part-3 (WEB BASED APPLICATION)

    Uzi huu unaletwa kwenu na Orb Tech LLC. Ni muendelezo wa uzi huu Muongozo wa software developer anaeanza part-2 Sehemu hii tutazumgumzia Web based applications. Kama tulivyoainisha hapo awali hizi ni program zinazotumia internet katika kufanikisha jambo lililokusudiwa mfano Kupatana...
  6. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wewe kama Developer/Tech Company unatumia vigezo gani kuithaminisha na kuipa bei kazi yako .?

    Habari zenu JF Nimekuwa nikipitia uzi mbalimbali huku JF, pamoja na majarida mengine mbalimbali mitandaoni, na kugundua kuwa kuna utofauti mkubwa sana kati ya developers au tech companies inapofika kipindi cha kuthaminisha kazi inayoletwa na mteja. Hi ni moja ya sababu inayochangia kutokukua...
Back
Top Bottom