A desktop computer is a personal computer designed for regular use at a single location on or near a desk or table due to its size and power requirements. The most common configuration has a case that houses the power supply, motherboard (a printed circuit board with a microprocessor as the central processing unit (CPU), memory, bus, and other electronic components), disk storage (usually one or more hard disk drives, solid state drives, optical disc drives, and in early models a floppy disk drive); a keyboard and mouse for input; and a computer monitor, speakers, and, often, a printer for output. The case may be oriented horizontally or vertically and placed either underneath, beside, or on top of a desk.
ZINAUZWA:LAPTOP NA DESKTOP ZENYE UBORA
In Mint Condition/Good Condition
Maelezo yapo katika picha wasiliana nasi 071689489
ni imara,wrantty,software unapewa
Habari wana JF?
Nahitaji kujua aina za desktop computer ambazo ni nzuri zinazopiga kazi kwa ufasaha na zinadumu kwa muda mrefu nalifikisha kwenu naombeni ufafanuzi
Ahsante!🙏
Habari za mchana,
Ninaomba kwa anayefahamu sehemu duka/ kampuni/ kiwanda ambapo ninaweza pata desktop na laptop kwa bei ya jumla au ya chini zaidi.
Ninahitaji destop 300 na laptop 50 kuna mahali zinatakiwa kuwekwa.
Kama kichwa kinavyoelezea hapo juu,
Kwa upande wa Mobile Application iwe Android au iOS platform ,
Katika mifumo miwili hiyo hapo juu unaweza kujipatia
App za mifumo
App za kioffice
App za majukwaa
App za Biashara nk
Pia katika maorodhesho hayo hapo juu inaweza kuwa ni Desktop App au Website...
Salamu sana kwenu JF experts na sisi wengine ma newbies.
Najichanga bajeti alau niwe na around 350k hivi. Kwa sasa imebakia kidogo tu ili itimie hiyo bajeti.
UHITAJI ni kwamba napenda kujifunza graphics hususani video editing na design mbalimbali kwa kutumia programs za Photoshop...
Habari waungwana!
Kuna muda nilikuwa nafanya kazi then umeme ukakatika.
Baada ya umeme kurudi nilipojaribu kuwasha, monitor ikawa haioneshi chochote. Baada ya ya karibu dakika moja hivi, feni ikaanza kuzunguka kwa kasi sana. Hilo tatizo lilijirudia kila nilipojaribu kuwasha.
Je, tatizo ni nini...
Salam ndugu zanguni.
Naomba kufahamu ni desktop computer yenye sifa zipi inauwezo wa kufanya kazi za kuzalisha na kuhariri picha za video, naomba kusaidiwa hili kwa wataalamu wa humu jukwaani wanaofanya kazi hizi na wasiofanya.
Inatakiwa iwe ya gharama za chini kabisa kuliko zote,Nataka kujua...
Habari wakuu,
Nauza desktop aina ya FUJITSU ipo full set , haina tatizo lolote ila naiuza kwa sabbau nataka ninunue laptop mana nimekua mtu wa safari sana siku hizi:
FUJITSU DESKTOP
HDD : 300GB
RAM : 4GB
PROCESSOR : INTEL PENTIUM 3.2GHz
OS : WINDOWS 10
PRICE : 280,000
CONTACT :
LOCATION ...
Habar za leo wana jamii forum naomba mnielekeze wapi naweza kupata motherboard ya dell desktop computer
Mashine ni optiplex 790 Mino tower
Na
Optiplex 3020
Desktop inauzwa Moshi mjini.
Imetumika mwaka mmoja tu
Cpu yake (Type) ni Packard Bell
Ram 4GB
HDD Ni 500 GB
Processor Type ni AMD 1.4GHZ
Bei 300K Full set.
Haina tatizo haijawahi kufunguliwa naiuza kwa sababu ninataka kununua laptop.
Karibu inbox for more information.
Namba yangu 0779756097
nauza SSD mpya zenye ukubwa wa GB 240 kwa ajili ya laptop na desktop, SSD hizi ni brand ya kingston (A400) unafungua mwenyewe zipo sealed na hazijawahi kutumika. hii model imetoka amazon na sasa hivi ndio ssd inayouzika kwa sana Duniani, kwa wale wanaotaka kuhama toka HDD. unaweza kuiangalia...
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia hadi Tanzania. Kwa sasa tumeleta computer za kipekee, chache aina...
- Used deskop inauzwa
- monitor inch 22 DELL
- CPU HDD 500 HP
- keyboard, mouse, wire zote zipo
- Bei 200,000 (laki mbili)
- contact: 0712518770
-eneo ilipo ni Temeke.
Wale woote wanaohitaji laptop za kuanzia laki mbili na nusu, zimekuja zipo pc 3
Sifa zake ni: hdd 80,ram 2gb,3 hours battery, warranty one year, bei tzs 250,000
Tupo Kariakoo , pia tuna tawi mbezi mwisho stand. Pia unaletewa ulipo Dar es salaam na mikoani tunatuma.
Piga :0713 03 98 75 kuwahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.