desktop

A desktop computer is a personal computer designed for regular use at a single location on or near a desk or table due to its size and power requirements. The most common configuration has a case that houses the power supply, motherboard (a printed circuit board with a microprocessor as the central processing unit (CPU), memory, bus, and other electronic components), disk storage (usually one or more hard disk drives, solid state drives, optical disc drives, and in early models a floppy disk drive); a keyboard and mouse for input; and a computer monitor, speakers, and, often, a printer for output. The case may be oriented horizontally or vertically and placed either underneath, beside, or on top of a desk.

View More On Wikipedia.org
  1. Danp36

    msaada remote desktop software

    Msaada ,ninahitaji kufanya kazi za wateja nikiwa mbali kutoka kwenye computer zao. Nahitaji remote desktop software nafuu au cracked. Nawasilisha
  2. Lawrance franci

    Computer4Sale Laptop na Desktop zenye ubora wa hali ya juu

    ZINAUZWA:LAPTOP NA DESKTOP ZENYE UBORA In Mint Condition/Good Condition Maelezo yapo katika picha wasiliana nasi 071689489 ni imara,wrantty,software unapewa
  3. Deja vu27

    Nahitaji kujua aina za desktop computer ambazo ni nzuri zinazopiga kazi kwa ufasaha

    Habari wana JF? Nahitaji kujua aina za desktop computer ambazo ni nzuri zinazopiga kazi kwa ufasaha na zinadumu kwa muda mrefu nalifikisha kwenu naombeni ufafanuzi Ahsante!🙏
  4. gkasambo

    Wapi wanauza desktop na laptop kwa bei ya jumla?

    Habari za mchana, Ninaomba kwa anayefahamu sehemu duka/ kampuni/ kiwanda ambapo ninaweza pata desktop na laptop kwa bei ya jumla au ya chini zaidi. Ninahitaji destop 300 na laptop 50 kuna mahali zinatakiwa kuwekwa.
  5. KijanaHuru

    Habari njema kwa wanaohitaji application,website and desktop apps

    Kama kichwa kinavyoelezea hapo juu, Kwa upande wa Mobile Application iwe Android au iOS platform , Katika mifumo miwili hiyo hapo juu unaweza kujipatia App za mifumo App za kioffice App za majukwaa App za Biashara nk Pia katika maorodhesho hayo hapo juu inaweza kuwa ni Desktop App au Website...
  6. Alex Gk

    Ninunue desktop computer yenye specifications gani ili baadae ni upgrade mwenyewe?

    Salamu sana kwenu JF experts na sisi wengine ma newbies. Najichanga bajeti alau niwe na around 350k hivi. Kwa sasa imebakia kidogo tu ili itimie hiyo bajeti. UHITAJI ni kwamba napenda kujifunza graphics hususani video editing na design mbalimbali kwa kutumia programs za Photoshop...
  7. Shin Lim

    Msaada: Desktop haioneshi chochote kwenye monitor nikiwasha, baada ya muda feni inazunguka sana

    Habari waungwana! Kuna muda nilikuwa nafanya kazi then umeme ukakatika. Baada ya umeme kurudi nilipojaribu kuwasha, monitor ikawa haioneshi chochote. Baada ya ya karibu dakika moja hivi, feni ikaanza kuzunguka kwa kasi sana. Hilo tatizo lilijirudia kila nilipojaribu kuwasha. Je, tatizo ni nini...
  8. GIRITA

    Msaada naomba kufahamu desktop computer ya kawaida sana kwa kazi za video editing

    Salam ndugu zanguni. Naomba kufahamu ni desktop computer yenye sifa zipi inauwezo wa kufanya kazi za kuzalisha na kuhariri picha za video, naomba kusaidiwa hili kwa wataalamu wa humu jukwaani wanaofanya kazi hizi na wasiofanya. Inatakiwa iwe ya gharama za chini kabisa kuliko zote,Nataka kujua...
  9. Mr.panya

    Computer4Sale Fujitsu Desktop inauzwa TZS 280,000/= tu!

    Habari wakuu, Nauza desktop aina ya FUJITSU ipo full set , haina tatizo lolote ila naiuza kwa sabbau nataka ninunue laptop mana nimekua mtu wa safari sana siku hizi: FUJITSU DESKTOP HDD : 300GB RAM : 4GB PROCESSOR : INTEL PENTIUM 3.2GHz OS : WINDOWS 10 PRICE : 280,000 CONTACT : LOCATION ...
  10. mizuno

    Computer4Sale HP desktop core 2 duo 110k

    Nauza HP desktop core 2 duo Ram 4 GB pia ina GB 320 ina music videos nyingi za 1920-1080p nipo Ukonga G'mboto 0763190849 -0718334325 tsh110,000.
  11. Magna Carta

    Msaada wa kutatua tatizo la enter power save mode kwenye desktop

    Habari Wataalamu, Naomba msaada wa kutaua tatizo kwenye desktop baada ya kudisplay maneno ya Enter Power save mode kwenye desktop Asanteni
  12. R

    Wapi naweza kupata motherboard za dell desktop computers

    Habar za leo wana jamii forum naomba mnielekeze wapi naweza kupata motherboard ya dell desktop computer Mashine ni optiplex 790 Mino tower Na Optiplex 3020
  13. IamMrLiverpool

    Computer4Sale Desktop Inauzwa.

    Desktop inauzwa Moshi mjini. Imetumika mwaka mmoja tu Cpu yake (Type) ni Packard Bell Ram 4GB HDD Ni 500 GB Processor Type ni AMD 1.4GHZ Bei 300K Full set. Haina tatizo haijawahi kufunguliwa naiuza kwa sababu ninataka kununua laptop. Karibu inbox for more information. Namba yangu 0779756097
  14. H

    Jipatie SSD kwa ajili ya laptop na desktop yao kwa bei nafuu

    nauza SSD mpya zenye ukubwa wa GB 240 kwa ajili ya laptop na desktop, SSD hizi ni brand ya kingston (A400) unafungua mwenyewe zipo sealed na hazijawahi kutumika. hii model imetoka amazon na sasa hivi ndio ssd inayouzika kwa sana Duniani, kwa wale wanaotaka kuhama toka HDD. unaweza kuiangalia...
  15. Dr. Zaganza

    Mac Apple na Laptop nyingine zimewasili na ofa ya software ya exportation analysis

    Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia hadi Tanzania. Kwa sasa tumeleta computer za kipekee, chache aina...
  16. Loraa sum's

    Computer4Sale Used Desktop

    - Used deskop inauzwa - monitor inch 22 DELL - CPU HDD 500 HP - keyboard, mouse, wire zote zipo - Bei 200,000 (laki mbili) - contact: 0712518770 -eneo ilipo ni Temeke.
  17. J

    Laptop za laki 2 na nusu zimewasili

    Wale woote wanaohitaji laptop za kuanzia laki mbili na nusu, zimekuja zipo pc 3 Sifa zake ni: hdd 80,ram 2gb,3 hours battery, warranty one year, bei tzs 250,000 Tupo Kariakoo , pia tuna tawi mbezi mwisho stand. Pia unaletewa ulipo Dar es salaam na mikoani tunatuma. Piga :0713 03 98 75 kuwahi...
Back
Top Bottom