Asante mkuuApa jibu ni subjective
Pc nyingi tunazotumia unakuta vifaa vimetoka kampuni mbali mbali, kampuni kama dell au hp sana sana zina design
cpu imetoka intel au amd
chipset imetoka intel au amd
graphics card imetoka nvidia au amd
motherboard imetengenezwa na foxconn ,asus au gigabyte
Pia je utanunua pc used au mpya?
motherboad yoyote inachoka baada ya mda kwa hiyo kama ukununua mpya kuna uwezekano wa kudumu nayo.
binafsi nishanunua desktop 4 za hp zote zilikufa, moja ilikuwa mpya kabisa.
nikanunua dell optiplex desktop 3 mbili zipo hai.
kwa mtazamo wangu dell na lenovo wana desktop nzuri kwa used, ila kama una uwezo tafuta mpya.
Binafsi nimefaifika na mchango wa saci cos in shaa Allah nataraji kununua desktop hivi karibuni. Ila siku zote, Inputs kutoka kwa wataalamu mbalimbali uongeza wigo wa uelewa wa mamboMchangiaji wa mwanzo ameeleweka Sana
Ni kweli. Last time nimenunua best laptop kutokana na ushauri mujarab kutoka kwa wataalamu wetu hawa wa jf.ndio unaongeza maarifa na uelewa mkuu
Unaweza nisaidia hii elimu kuhusu SSD na HDD na c i3 sijui ndio core nitashukuru sana kwa kuwa sina uelewa navyo
Ngoja aje Chief-Mkwawa na wataalamu mbalimbali wa jfUnaweza nisaidia hii elimu kuhusu SSD na HDD na c i3 sijui ndio core nitashukuru sana kwa kuwa sina uelewa navyo
👍Ngoja aje Chief-Mkwawa na wataalamu mbalimbali wa jf
👍Ngoja aje Chief-Mkwawa na wataalamu mbalimbali wa jf
Wengi wamechangia mkuu, Cha muhimu hapa ni budget yako inarange kiasi gani?Habari wana JF?
Nahitaji kujua aina za desktop computer ambazo ni nzuri zinazopiga kazi kwa ufasaha na zinadumu kwa muda mrefu nalifikisha kwenu naombeni ufafanuzi
Ahsante!🙏
Kwa matumizi ya internet na photo editingWengi wamechangia mkuu, Cha muhimu hapa ni budget yako inarange kiasi gani?
Kama mdau juu alivyosema desktop inatumia vifaa mbalimbali na desktop haifi yote kwa pamoja sababu ni modular, kinakufa kifaa kimoja kimoja, mfano umeme ukizidi itakufa power supply, ukidondosha inaweza kufa HDD, ukimwagia kimiminika inaweza kufa motherboard etc na vyote vinabadilishika.
Pia matumizi yako ni yapi?
Internet na photo editing ni matumizi ya kawaida tu. Desktop ya Core i3 ama i5 itakufaa. Kama una budget nzuri laki 3 kupanda lenga i3 gen ya 8.Kwa matumizi ya internet na photo editing