Waendesha mashtaka wa Marekani wamesema kuwa rais aliyeondolewa madarakani wa Venezuela, Nicolás Maduro, hapaswi kuruhusiwa kutumia fedha za serikali ya Venezuela kugharamia utetezi wake katika kesi ya biashara ya dawa za kulevya inayomkabili nchini humo.
Waendesha mashtaka walisema serikali ya...
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Zanzibar (DCEA), kwa kushirikiana na Kikosi Kazi cha Uhalifu wa Kupangwa Zanzibar (ZTOCTF), imebaini mbinu mpya zinazotumiwa kusafirisha dawa za kulevya kwa kuzificha ndani ya bidhaa za kawaida zinazotumiwa na wananchi kila siku.
Katika...
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza kuifuta usajili wake mara moja meli ya EAGLE (IMO No. 8203074) kufuatia taarifa za kukamatwa kwa chombo hicho nchini El Salvador kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya.
Kulingana na taarifa iliyotolewa Februari 27, 2026 na Mamlaka ya...
Sikumbuki yule member alikua anaitwa nani? Iko hivi HUYU member ni WA shinyanga alienda zenji KUTAFUTA MAISHA, miaka hiyo ZAMANI SANA, alikua anafanya KAZI KWA wahindi.
SIKU MOJA alifuatwa na MMOJA WA wahindi akamwambia ANATAKA afanye NAYE KAZI, AMPE MAISHA Yani HUYO member awe anafuata SAA...
Kwa Sasa Mbwa kichaa ni lazima apewe majina yote mabaya mabaya ili Tumuue.
Tangu 2021 kumekua na Ongezeko kubwa sana la Meli zinazopeperusha Bendera ya Tanzania na ambazo Zina Usajili wa Tanzania kukamatwa ama
👉Zinasafirisha Mafuta ya Magendo ya Wa Iran yalowekewa vikwazo ili yaingie katika...
Juma alianza kuvuta bangi akiwa form 2. Ilianza kama utani wa marafiki — kuvuta mara moja baada ya shule, kisha ikawa kawaida. Baadaye akaanza kuwafundisha wenzake kuvuta. Wengine walimuona kama “mjanja” na mwenye connection. Haikuchukua muda akaanza kuwauzia kidogo kidogo ili apate hela ya...
Wakuu,
Bendera ya Tanzania kuwa kwenye meli hii inamaanisha nini na ina athari gani kidiplomasia? Na hiyo mizigo hapo chini imefungwa kwa bendera yetu pia?🤔
====
Mnamo Februari 19, 2026, katika eneo la La Unión, El Salvador, Jeshi la Majini la nchi hiyo lilitangaza kufanya ukamataji mkubwa...
Hapa Nchini aliyepo juu ya Sheria ambaye tumesikia mara kadhaa anafanya atakavyo ni 'mmoja' tu!
Hakuna Mwingine mwenye jeuri ya kumtisha Kamishina wa madawa ya kulevya.
Halafu Polisi wanafuatilia watu wanaoandika Mitandaoni na kudaia Serikali ina Mkono mrefu, halafu wanashindwa kukamata mtu...
Nemesio Oseguera Cervantes, anayejulikana zaidi kama El Mencho, alizaliwa Juni 17, 1967 katika kijiji kidogo cha Michoacán, Mexico. Alikulia katika familia maskini, akikabiliana na ukosefu wa fursa na mazingira magumu ya vurugu na umasikini, ambayo yaliunda msingi wa akili yake ya kibiashara na...
“Mimi sina hatia. Sikujihusisha na kosa lolote. Mimi ni mtu mwema. Bado mimi ni rais wa nchi yangu,” alisema Maduro, mwenye umri wa miaka 63, kupitia mkalimani, kabla ya kukatizwa na Jaji wa Mahakama ya Wilaya ya Marekani, Alvin Hellerstein, katika mahakama ya shirikisho ya Manhattan.
Mke wa...
Chidi Benz - Madawa ya kulevya
Ray C - Madawa ya kulevya, kwa sasa kajirudi yupo ulaya
Vanessa Mdee - alinusuika kupotea kwa Unywaji wa pombe kupitiliza,
Langa - Madawa ya kulevya, RIP
Nhwea - Madawa ya kulevya , RIP
Kuna producer flani maarufu inasemekana nae alianza kutumia drugs alinusurika
Mwezi Novemba, 2025 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imefanya operesheni mbalimbali zilizofanikisha ukamataji wa jumla ya kilogramu 3,799.22 za dawa za kulevya, kuteketeza ekari 18 za mashamba ya bangi pamoja na kutaifisha mali za wahalifu wa dawa za kulevya zenye...
Lango kuu lenye shughuli nyingi zaidi Afrika Mashariki, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, upo katikati ya kashfa ya kimataifa ya dawa za kulevya. Kitengo cha uchunguzi cha KTN kimekusanya ushahidi unaoonyesha jinsi mojawapo ya viwanja vya ndege vyenye shughuli nyingi zaidi barani...
Huyu naye atupishe huko! Atupe ushahidi
Tangu vijana wa Gen Z tutangaze maandamano wanakuja na propaganda zao za hovyo tu!
Tuwakumbushe kwamba ndio kwanza kumekuchaaa!
==================
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, James Lyimo ameongeza kuwa asilimia...
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeeleza kuwa ipo tayari kushauri mamlaka husika kutunga sheria itakayoruhusu wauzaji na wasambazaji wa dawa za kulevya nchini kunyongwa.
Pamoja na pendekezo hilo, mamlaka imewataka watu wote wanaojihusisha na biashara ya dawa za...
Khun Sa (aliyejulikana pia kama Chang Chi-fu au Sao Mong Kwan) alikuwa kingpin wa biashara ya madawa ya kulevya na mwanaharakati wa kivita kutoka Myanmar (zamani Burma).
Alizaliwa tarehe 17 Februari 1934 katika kijiji cha Loi Maw, wilaya ya Mongyai, Jimbo la Kaskazini la Shan. Alikufa tarehe 26...
Tarehe 23 Septemba 2025, Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya Hemedi Juma Mrisho maarufu kama Horohoro, baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya.
Itakumbukwa kuwa mnamo tarehe 31 Oktoba 2023, katika eneo la Boko Magengeni...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linawashikilia watu 192 kwa tuhuma za kujihusisha na usafirishaji na uuzaji wa dawa za kulevya, uvuvi haramu na utengenezaji wa pombe haramu aina ya gongo, kutokana na oparesheni maalum zilizofanyika kwa nyakati tofauti katika mkoa huo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema katika kipindi cha Mwezi Julai na Septemba 7/ 2025 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imefanikiwa kukamata kilogramu 33,077.613 za dawa za kulevya aina mbalimbali, kilogramu 4,553 za mbegu za bangi pamoja na...
Rashidi Abdallah Mohamed Makwiro (Chid Benz) ambaye kwa miaka kadhaa alitumbukia kwenye uraibu wa dawa za kulevya, hivyo kudhoofika kiafya na kushindwa kutekeleza majukumu yake.
Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo amesema,Chid Benz ni miongoni mwa Watanzania milioni moja ambao wamepatiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.