daraja

Daraja Academy is a secondary school for Kenyan girls located outside of Nanyuki, Kenya.

View More On Wikipedia.org
  1. Fatma Mwassa: Ifanyike tathimini waliojenga eneo la Mto Kanoni (Bukoba). Inadaiwa wamepelekea ujenzi wa daraja kusuasua

    Ikiwa imepita miezi minne tokea Mwanachama wa JamiiForums.com adai kwamba kuna ujenzi holela wa 'Night Club & Bar' ambapo alidai sehemu ya miundombinu yake imejengwa kwenye eneo la Hifadhi ya Mto Kanoni, Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Fatma Mwassa amefanya ziara eneo hilo akiwa na wataalamu wa mipango...
  2. Rais Samia kufungua Daraja la JP Magufuli (Kigongo - Busisi), Juni 19, 2025

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya ufunguzi wa Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa kilometa 3 na barabara zake unganishi zenye urefu wa kilometa 1.66 utakaofanyika tarehe 19 Juni, mwaka huu. Hayo...
  3. Daraja la mbunge gambo ni milioni 21.

    Aisee tukisema wazungu wanatuona nyani tukubari sio kupanic. Jf kama ili swala litaki kuzungumziwa sababu ni CCm na wana CCm wao waliopo hapa JF wanaweza kusema leo ni usiku wakati mchana. Nimeona huko global TV wakionesha daraja la milioni 21 na wakisema ni awamu ya kwanza. Sasa ijajulikana...
  4. Mbunge Musukuma akoshwa na kazi ya Samia, apita daraja la Kigongo Busisi(JPM) Bridge akishangilia, aiponda No Reform No Election

    Mkikaa kimya mawe yataongea. Musukuma ameshangilia kazi za awamu ya sita.
  5. N

    Afisa mazingira daraja la ii tunapaswa kusoma wapi angalau kuvuka usaili wa kuandika

    Naomba kujuzwa wapi tusome nafasi ya afisa mazingira daraja la II kwa ailiyewahi kufanya usaili kwenye hii kada
  6. Rasmi Timu Ya Kagera Sugar Imeshuka Daraja

    Timu ya Kagera Sugar FC ya mjini Bukoba, imeshuka rasmi daraja na hatutakuwanayo msimu ujao kwenye ligi kuu kufuatia ushindi wa Pamba jiji iliopata leo dhidi ya KenGold FC. Kwa ushindi wa leo, Pamba jiji imefikisha alama 30 kwenye nafasi ya 11, ikifuatiwa na Tanzania Prisons nafasi ya 12...
  7. U

    Mossad waupata mwili wa Sajenti Zvi Feldman, aliyepotea miaka 43 iliyopita kwenye Vita ya Israel na Syria bonde la Bekaa nchini Lebanon

    Wadau hamjamboni nyote? IDF na Mossad wameupata mwili wa Sgt. Daraja la Kwanza Zvi Feldman, ambaye hajapatikana tangu Vita vya Kwanza vya Lebanon vya 1982 vya Sultan Yacoub, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu atangaza. Feldman alipotea pamoja na Sgt. Darasa la Kwanza Yehuda Katz na Sgt. Darasa la...
  8. K

    NINAISHAURI SERIKALI KWAMBA DARAJA LA KIGONGO -BUSISI LITAKAPOANZA KUTUMIKA KUWEPO NA TOZO

    Tumetangaziwa kuwa siyo muda mrefu Daraja JPM (Kigongo - Busisi) karibuni litafunguliwa na Mhe. RaIs wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Daraja hili limejengwa kwa gharama kubwa takriban Tshs.680bn. Watumiaji wa vivuko kwa hivi sasa wanalipa (1) Mtu mmoja Tshs.400 (1) Pikipiki Tshs.1,000 (3)...
  9. M

    Yanga inashuka daraja kipindi cha uchaguzi? Hizi hasira za wanayanga watazielekezea kwa utawala uliopo

    Nasemaje...? Ole wake hili liwe kweli, utawala huu uliopo utajutia, utajiongezea upinzani zaidi kwa wanachi hasa mashabiki wa Yanga watauchukia na kuwa sehemu ya upinzani Naiomba serikali isiruhusu hizi akili za kijinga TFF kuishusha daraja Yanga! Na ikiruhusu hili litokee, basi kile...
  10. S

    Yanga SC hawaitaki TFF na wapo tayari hata kushushwa ligi daraja la 3

    Kwingineko Yanga wameziandikia mamlaka za serikalini barua yenye kurasa 167 ambayo inapinga uonevu na dhiluma zinazofanywa na bodi ya ligi chini ya TFF. Yanga wamesema hawaitaki na hawana Tena imani na hii TFF. Wako tayari kucheza hata ligi daraja la tatu.
  11. KERO Ni lini Daraja la Milala Shongo lililopo Manispaa ya Mpanda litajengwa?

    Daraja la Milala Shongo lililopo Kijiji cha Milala, Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi ni tatizo sana kwetu Wananchi wa Milala. Sisi wakazi wa Milala tatizo hili limetuchosha kwa sababu limedumu kwa muda muda mrefu sana na kuwa kikwazo cha mawasiliano na kufanya shughuli zetu za kiuchumi...
  12. Rasmi Ken Gold Imeshuka Daraja Kwa Msimu wa 2023/2024

    Rasmi Kengold inakuwa timu ya kwanza kushuka daraja msimu huu baada ya kipigo cha 2 - 1 leo Dhidi ya Wanamangushi Coastal Union. Mpka sasa Kengold ipo nafasi ya 16 na alama zao 16 katika msimamo wa ligi ikiwa imecheza mechi 27 ikipata ushindi kwenye mechi 3 sare 7 na vipigo 17 Kimahesabu...
  13. Padri William Ntengi Wa Jimbo Katoliki Geita Aondolewa Daraja La Upadri(Ukasisi)

    Papa Francis ameridhia ombi kutoka kwa padri William Ntengi wa jimbo katoliki Geita la kuondolewa daraja takatifu la upadri. Barua ya uamuzi huo imesomwa kanisani na askofu Flavian Matindi Kassala wa jimbo katoliki Geita, kufuatia ombi binafsi la padri huyo. Mungu ambariki katika yake mapya...
  14. Afrika Mashariki yarindima, wana Kanda ya ziwa kufurika Mwanza 30 April 2025 Rais Samia akizindua daraja refu kuliko yote Afrika Mashariki

    Kazi iliendelea. Kenya wameandika Afrika Mashariki imetanda habari za uzinduzi wa daraja refu kuliko yote katika ukanda huu. .
  15. Ujenzi wa daraja la Mkuyuni na Mabatini Mwanza: wananchi wamkataa mzawa, wataka apewe mchina: Somo-tujifunze uchapa kazi, tusibebabe kwa uzawa

    Mkoa wa Mwanza unajenga madaraja makubwa mawili hapo mjini kati. Tenda kapewa Nyanza Construction Company. Kampuni ya hovyo kabisa ya kizawa ambayo pia ilijenga sehemu ya barabara ya Mwanza-Shinyanga ambayo tangu inakamilika ilikuwa takataka Madaraja hayo yamewashinda kiasi kwamba yamekuwa kero...
  16. M

    Viongozi wangu wa Coastal Union, msipoangalia huyo Joseph Lazaro ataishusha timu daraja

    Joseph Lazaro, beki wa zamani wa kushoto wa Coastal Union akiwa msaidizi wa marehemu Douglas Mhani enzi zile za marehemu Hamis Makene, benchi akiwa Mohamed Mwameja, kulia Saidi Kolongo, kushoto Douglas Mhani, nne Yassin Abuu Napili na sentahafu marehemu Idrisa Ngulungu, sita pale alikuwa...
  17. Ahmed Ally: Kama tulimuua Al Ahly, Wydad, Berkane… hutuwezi kumshindwa Mwarabu wa Daraja la Nne, huyu ni size yetu kabisaaa

    “Wapo watu wanasubiri tufeli waanze kutukebehi sasa tutumie kila tulichonacho kwenda nusu fainali. Na tukimuangalia mwarabu tunayecheza naye huyu ni wa kawaida kabisa. Katika waarabu tumewahi kukutana nao huyu tunamuweza kabisa na hii tunaweza kufuzu.” “Sifa ya Simba, sifa ya Mwanasimba sio...
  18. TANROADS yatengeneza Daraja la Muda Kinyerezi, Pikipiki, Bajaji na Watembea kwa Miguu waruhusiwa kupita

    Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Mohamed Besta, amesema njia ya muda (diversion) katika eneo la daraja la Kinyerezi sasa inaruhusu waenda kwa miguu, waendesha pikipiki na bajaji kupita, huku magari makubwa yakisubiri mpaka ujenzi ukamilike ndani ya siku mbili au...
  19. Magari kadhaa yapata ajali daraja la Tanzanite - Dar es Salaam

    Ajali tanzanite bridge Dar es salaam
  20. PreGE2025 TANROADS yatatua hitilafu ndogo iliyotokea katika eneo la barabara ya mchepuko la Daraja la Somanga Mtama

    Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imeshughulikia kwa haraka hitilafu ndogo iliyotokea katika eneo la barabara ya mchepuko la Daraja la Somanga Mtama, na kwa sasa barabara hiyo inapitika kama kawaida. Asubuhi ya leo Machi 24, 2025 majira ya saa 12:30, maji kutoka milima ya Kitumbi na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…