NYUMBA ZILIZOKUWAKO DAR ES SALAAM YA 1950s
Hapo chini ni mfano wa nyumba nyingi zilizokuwapo Dar-es-Salaam miaka ya 1950.
Nyumba hizi zilikuwa na vyumba sita vyumba vitatu kila upande vikiangaliana na katikati kulikuwa na ukumbi mrefu.
Uani kulikuwa na mabanda madogo jiko, vyoo na bafu...